Nimfanye nini huyu office-mate?

Nimfanye nini huyu office-mate?

Mshirikishe hii thread akiisoma atakuwa kaelewa.

u see na tatizo lipo hapa,kwanza jamaa alipaswa kumuelezea bint,kuleta bandiko hapa ni tatizo kuliko kumueleza,je bint/mdada akijisoma hapa??hop kutaibuka msuguano baina yao,tatizo ni kwamba anamuonea haya au slim5 anapenda kuona shanga shanga hizo
 
Last edited by a moderator:
Hapana mkuu, matatizo yaliyopo yanatosha, siitaji kuongeza zaidi!
 
u see na tatizo lipo hapa,kwanza jamaa alipaswa kumuelezea bint,kuleta bandiko hapa ni tatizo kuliko kumueleza,je bint/mdada akijisoma hapa??hop kutaibuka msuguano baina yao,tatizo ni kwamba anamuonea haya au slim5 anapenda kuona shanga shanga hizo

Fered hili haya lipo, ni kweli! lakini mimi msada nilioomba ni huo sasa, wa namna gani naanza kumvaa na kumueleza namna anavonikwaza tena kwa tahadhari kubwa ili kibao kisije nigeukia! Kumbuka hapa tunamzungumzia mtu mzima, tena mke wa mtu!
 
Mpotezee tu akakuuliza kunanini hapo mwambie ukweli jinsi anavyokukera.

Hili la kumpotezea ndio nalifanya sasa, natumia muda mwingi kumkwepa, ikiwemo kutoambatana pale ambapo haina ulazima! siku hz hata t na lunch kivyangu! hata staff meeting nakaa mbali nae! Sa sijui kama ataelewa somo!
 
Unavyozidi kumpotezea na anazidisha visa, ukimwambia ukweli mahusiano yenu hayatakuwa mazuri kihivyo. Hamna namna dawa yake ni kummega tuu

1. Mmege kidhaifu na kivivu sana kimoja tuu na lengo lako liwe ni kumkera na kutokumfikisha, usipige kavu na ukipiga kavu mwaga nje

2. Mgonge kikatili, kuna mshkaji wangu mmoja wa Florida kuna demu,alikuwa anamsumbua sana demu kaambiwa jamaa hamtaki lakini bado usumbufu na mitego haiishi, jamaa akaamua kumkomesha, akamuuliza demu kama ataweza mchezo wake maana ni wa tofauti sana, demu akamchimba mkwara kwamba ye ndo atamkimbia kitandani, jamaa akaingia mtandaoni kanunua mi dildo na midude gani sijui kilichomkuta demu alijuta kumfahamu jamaa, na heshima ikawepo na akaapa hatakaa ampe tena mzigo
 
Ukikupa ujiandae na wewe kutoa kwa mme wake.
 
huyo ni wa kumpuuza hadi mwenyewe ajione hana akili. Kwanza jitahidi kutomchangamkia kama zamani hasa anapofanya vituko kama hivyo, yaani kama unaweza mpotezea we mpotezee hadi ajione si mwanamke, we akikuuliza kitu mjibu kwa nidhamu halafu endelea na kazi zako, hata akikaa uchi wewe kuwa busy piga kazi, na acha kabisa kupiga naye story, wala usimuagize lunch, na akikuletea usile mwambie leo hujisikii kula, yaani kwa njia hiyo atabadilika. Huyo kwa taarifa yako anataka umzalishe, hapo akili yake inamuambie mume wake ndio hana uwezo wa kuzaa, yeye ndio anaweza kuzaa so anafanya hivyo ili mwisho wa siku umzalishe. kimbia sana kama Yusuf katika biblia
 
Nsuri, inawezekana ukawa sahihi katika mtazamo wako! Hebu nambie, huyu bidada nipo nae ofisi 1 huu mwaka wa 3! sio taasisi 1, nazungumzia ofisi 1 kwa maana ya we share the same door, the same door key, the same AC! tumetenganishwa kwa meza tu, meza yake, na mimi meza yangu. Computer yake na mimi yangu, kwa muda wa miaka mi3 ntakuwaje na makosa kumzoea? Kama watu wanazoeana kwa kukutana kituo cha dalala kila sk asubuhi, vp mimi nisimzoee mtu ofisi 1 kwa muda wote huo? Hebu nipe mbinu sasa, nikitaka nisimzoee mtu wa aina hii unaanzia wapi? Maana hata jug la chai tunashare!
Kaka unaweza kushare office ila lazima uwe na mipaka, una familia yako na yeye ana familia yake. Unaweza sasa kumwambia ukweli na jinsi unavyojiskia, ikishindikana angalia uwezekano wa kuhama office. Njia sahii ya kushinda jaribu ni kulikimbia!!!
 
Back
Top Bottom