Nimfanye nini huyu office-mate?

Nimfanye nini huyu office-mate?

Mimi nina buddy wangu, ni handsome na ana mwili wa mazoezi, kapanda hewani, msafi. Sasa hapo ofisini kwake wake za watu wanafanya kugongana.
Kila mmoja anataka awe naye, mwenzako anawapa live kabisa hatembei na mke wa mtu, akitaka mpenzi atatafuta aliye single.

Sasa wewe mchekee huyo atakubadilishia kibao wewe kuwa unamsumbua. Heshima yako yote itashuka. Huyo anataka umkandike mimba ambambikie mumewe.
Za kuambiwa changanya na zako.
 
Mimi nina buddy wangu, ni handsome na ana mwili wa mazoezi, kapanda hewani, msafi. Sasa hapo ofisini kwake wake za watu wanafanya kugongana.
Kila mmoja anataka awe naye, mwenzako anawapa live kabisa hatembei na mke wa mtu, akitaka mpenzi atatafuta aliye single.

Sasa wewe mchekee huyo atakubadilishia kibao wewe kuwa unamsumbua. Heshima yako yote itashuka. Huyo anataka umkandike mimba ambambikie mumewe.
Za kuambiwa changanya na zako.

Binadamu viumbe wa ajabu sana! Hapo na mke wangu anamfahamu, wanaongea kwa simu mara kwa mara, lkn mtoto wa kike kajito fahamu mpk siamini!
 
Speak out in a serious and respective manner in a right place at a right time. Maanisha unachokiongea! Be a man!
 
.....muendelezee story zako za wanao na mkeo, atakuacha, na ikibidi weka fremu ya picha ya familia yako mezani kwako.

Wana - JF nawasalimu sana!

Mwenzenu nina mtihani! Hapa ofini kwangu ni na bidada mmoja (ni mrembo wa haja tu, anatoka ule mkoa karibu na Dodoma na wadada wa mkoa huo wana ile sifa kama ya ule mkoa wa kanda ile isiotakiwa kutoa Mkulu). Ni mfanyakazi mwenzangu, tuliajiriwa mwezi mmoja, tumeishi kwa miaka mi3 kama kaka na dada, huku tukiheshimiana sana! Kama mnavyojua ofisi za serikali, huwa tunashirikiana sana katika mambo mengi sana ya kiofisi kuanzia kushare stories mpaka kupeana ushauri, asipokuwepo nafanya kazi zake, nisipokuwepo anafanya kazi zangu! Tunashirikiana ktk NIDO, majani ya chai, maji ya kunywa, vitafunio - hivi huwa tunapewa na ofisi, mpaka nauli!

Katika lunch pia hivo hivo, nina hela namuagizia lunch box, na yy akiwa nazo hivo hivo! Yaani tumekuwa dada na kaka wapenzi mpk ofisi zingine wanatuonea wivu! Wakati ofisi zingine wanashindana umbea na majungu, sisi kwetu ni kupendana na kujaliana! wakati mwingine majungu yakiwazidia wenzetu huwa wanakuja ofisini kwetu kupata relief!

Mimi nimeoa na yeye ameolewa! Mwenzangu ndoa yake ina mtihani, hawajabahatika kupata mtoto! Bahati mbaya ni kuwa, bi dada umri umeenda! Mimi amenizidi 2 years! Mimi kwa upande wangu mungu amenijaalia watoto wawili! Mwanzoni kabla sijamsoma, ilikuwa rahisi mimi kumueleza ama kupiga story kuhusu watoto, reference kwa wanangu! Kumbe mwenzangu moyoni alikuwa anaumia sana! ktk story zote tunazopiga, hizi za watoto hazipendi! zinamchoma! Baada ya kujua na mimi nimeacha kumuelezea lolote lile kuhusu watoto wangu! Hata kama naenda hospital kupeleka mtoto, basi yeye nitamuambia naenda k'koo ama posta, ili tu nisimuumize!

Sasa balaa ni hili hapa! Kaja na mpya!
Alianza kwa kuntumia video ya PILAU whatsapp! kwa kuwa ni mtu ambae uhusiano wetu haukuwai kufikia ktk kutumiana vitu km hivo, nikashtuka! nikahisi kakosea wa kumtumia! mimi sikumjibu bali nikai-delete fasta kabla mama nanii hajaiona! nikasubiri sms yake ama call ya apology! kimyaaaa! Baada ya siku kama 3, akanambia samahani ile video haikuwa yako, nilikosea kukutumia, nikamuambia sawa ila kuwa makini!

Hapo kabla alikuwa ni mpenzi wa sketi ndefu na blauz za kuficha matiti, siku hz ni mwendo wa vimini na blauz za manyonyo nje! Mbona nakoma mwenzenu!Siamini kama ananivalia mimi ama mwengine, lkn kazi ninayo! Na pia kesi za kuitwa nikamsaidie kitu ktk computer yake sk hz zimekuwa kibao, hasa za kumwelekeza program mbali mbali, tena wkt mwingine anakuja kwangu kuniinamia nimuelekeze, nakomaje! manyonyo yote, tiiii kwangu!

Likaja la kuonyeshwa chachandu! mimi sijui kama tangu zamani anavaa ama ameanza kuvaa siku hz, na kama anavaa siku hz, ananivalia mimi ama mr wake, mm sijui! ila kila siku naonyeshwa chachandu, lazima nionyeshwe chachandu, kama si asubuhi basi mchana! na anajua style nzuri za kunionyesha chachandu zake! tena anajua kuchagua, zinamkaa vzr kweli kiunoni! (bahati mbaya hajui kama mimi ni ugonjwa wng, hii bidhaa mimi huwa naumwa nikiiona! daah kila m'me na madhaifu yake jamani)

Yote kwa yote mimi si mfuasi wa michepuko! Na bado tunaheshiana sana, japo nimeshaanza juhudi za kupunguza mapenzi ya udada-ukaka ili huko mbele yasije yakawa mazito! Shida yangu wanaJF, naomba mnisaidie njia sahihi ya kumuomba kama ananitega, basi mimi hapana, siko huko! anionee huruma, coz mateso ninayopata, kila siku nakuwa wa kwanza kusepa ofisini na wa mwisho kuingia, na hii inanipunguzia ufanisi kazini! Nambieni nitumie njia gani ili nimrekebishe na turudi ktk undugu wetu kama zamani, nia yangu ujumbe umfikie japo naogopa mashushu ya bimdada! Msaada jamani!




#MosKwito !
 
Mwambie kwamba hizo nguo fupi hazimpendezi na ukiona kakuonesha chachandu, mwambie pandisha skirt kiuno kinaonekana..... lazima ataacha ila mwambie kama masihara masihara hiv ila ujumbe utamfikia.

Pia amkatishe tamaa like sipendi madudu haya wanawake wanaovaa vitu hivi wananishangaza, naona kama waganga wa kimasai, apende kumuongelea mke wake pia like I real love and respect my wife yaani anavaaga nguo ndefu anapendeza saana, na ukiona matiti yake anza kusifia za wife wako tu like my wife ana saa 6 utasema hajanyonyesha, yani akimkatisha tamaa itapunguza kidogo
 
Kwani ukimpotezea, ukamdharau na mambo yake utapungukiwa nini
au ndi sitaki nataka?
 
Watu wengine wananishangaza sana, hukujua kuzoeana na mke wa mtu kuna hasara zake?? au ulijiona very understanding person?? wewe ndio source ya matatizo yako and you will be the only solution of your problems. Badilikeni bwana, think ahead and not where you are!!!
 
Kaa nae chini mwambie unavyojisikia kuhusu yeye, sababu mnajuana tangu zamani nina uhakika atakuelewa, mwambie wewe dada yangu ninakuheshimu sana sikuwahi kukuona na mavazi ya namna hii, mbona siku hizi umebadilika sana kitabia

Kuwa muwazi atakuelewa
 
kaka huyu mtu ana njia zote za kufanya na akakwepa haya matatizo wala hahitaji kuomba msaada. Tatizo anataka sisi tu justify makosa yake. No way!!!!!!! He need to carry his own cross!!!!
.....muendelezee story zako za wanao na mkeo, atakuacha, na ikibidi weka fremu ya picha ya familia yako mezani kwako.





#MosKwito !
 
Wana - JF nawasalimu sana!

Mwenzenu nina mtihani! Hapa ofini kwangu ni na bidada mmoja (ni mrembo wa haja tu, anatoka ule mkoa karibu na Dodoma na wadada wa mkoa huo wana ile sifa kama ya ule mkoa wa kanda ile isiotakiwa kutoa Mkulu). Ni mfanyakazi mwenzangu, tuliajiriwa mwezi mmoja, tumeishi kwa miaka mi3 kama kaka na dada, huku tukiheshimiana sana! Kama mnavyojua ofisi za serikali, huwa tunashirikiana sana katika mambo mengi sana ya kiofisi kuanzia kushare stories mpaka kupeana ushauri, asipokuwepo nafanya kazi zake, nisipokuwepo anafanya kazi zangu! Tunashirikiana ktk NIDO, majani ya chai, maji ya kunywa, vitafunio - hivi huwa tunapewa na ofisi, mpaka nauli!

Katika lunch pia hivo hivo, nina hela namuagizia lunch box, na yy akiwa nazo hivo hivo! Yaani tumekuwa dada na kaka wapenzi mpk ofisi zingine wanatuonea wivu! Wakati ofisi zingine wanashindana umbea na majungu, sisi kwetu ni kupendana na kujaliana! wakati mwingine majungu yakiwazidia wenzetu huwa wanakuja ofisini kwetu kupata relief!

Mimi nimeoa na yeye ameolewa! Mwenzangu ndoa yake ina mtihani, hawajabahatika kupata mtoto! Bahati mbaya ni kuwa, bi dada umri umeenda! Mimi amenizidi 2 years! Mimi kwa upande wangu mungu amenijaalia watoto wawili! Mwanzoni kabla sijamsoma, ilikuwa rahisi mimi kumueleza ama kupiga story kuhusu watoto, reference kwa wanangu! Kumbe mwenzangu moyoni alikuwa anaumia sana! ktk story zote tunazopiga, hizi za watoto hazipendi! zinamchoma! Baada ya kujua na mimi nimeacha kumuelezea lolote lile kuhusu watoto wangu! Hata kama naenda hospital kupeleka mtoto, basi yeye nitamuambia naenda k'koo ama posta, ili tu nisimuumize!

Sasa balaa ni hili hapa! Kaja na mpya!
Alianza kwa kuntumia video ya PILAU whatsapp! kwa kuwa ni mtu ambae uhusiano wetu haukuwai kufikia ktk kutumiana vitu km hivo, nikashtuka! nikahisi kakosea wa kumtumia! mimi sikumjibu bali nikai-delete fasta kabla mama nanii hajaiona! nikasubiri sms yake ama call ya apology! kimyaaaa! Baada ya siku kama 3, akanambia samahani ile video haikuwa yako, nilikosea kukutumia, nikamuambia sawa ila kuwa makini!

Hapo kabla alikuwa ni mpenzi wa sketi ndefu na blauz za kuficha matiti, siku hz ni mwendo wa vimini na blauz za manyonyo nje! Mbona nakoma mwenzenu!Siamini kama ananivalia mimi ama mwengine, lkn kazi ninayo! Na pia kesi za kuitwa nikamsaidie kitu ktk computer yake sk hz zimekuwa kibao, hasa za kumwelekeza program mbali mbali, tena wkt mwingine anakuja kwangu kuniinamia nimuelekeze, nakomaje! manyonyo yote, tiiii kwangu!

Likaja la kuonyeshwa chachandu! mimi sijui kama tangu zamani anavaa ama ameanza kuvaa siku hz, na kama anavaa siku hz, ananivalia mimi ama mr wake, mm sijui! ila kila siku naonyeshwa chachandu, lazima nionyeshwe chachandu, kama si asubuhi basi mchana! na anajua style nzuri za kunionyesha chachandu zake! tena anajua kuchagua, zinamkaa vzr kweli kiunoni! (bahati mbaya hajui kama mimi ni ugonjwa wng, hii bidhaa mimi huwa naumwa nikiiona! daah kila m'me na madhaifu yake jamani)

Yote kwa yote mimi si mfuasi wa michepuko! Na bado tunaheshiana sana, japo nimeshaanza juhudi za kupunguza mapenzi ya udada-ukaka ili huko mbele yasije yakawa mazito! Shida yangu wanaJF, naomba mnisaidie njia sahihi ya kumuomba kama ananitega, basi mimi hapana, siko huko! anionee huruma, coz mateso ninayopata, kila siku nakuwa wa kwanza kusepa ofisini na wa mwisho kuingia, na hii inanipunguzia ufanisi kazini! Nambieni nitumie njia gani ili nimrekebishe na turudi ktk undugu wetu kama zamani, nia yangu ujumbe umfikie japo naogopa mashushu ya bimdada! Msaada jamani!

Naomba Kuuliza Je Wewe ni Mwanaume Halisi au Ni Mliberali? Unataka Sisi Wanaume Wenzako Tukushauri Nini Tena Hapo? UNAULIZA MADAWA YA KULEVYA MWANANYAMALA? au UNAULIZA UCHAWI MBAGALA? au UNAULIZA BANGI LONGIDO na TARIME? Ukinijibu Kama Wewe ni Dume Kamili au Mliberali Ndipo Nitakushauri.
 
lara1 kuna mtu anahitaji councelling huku!
 
Last edited by a moderator:
Wana - JF nawasalimu sana!

Mwenzenu nina mtihani! Hapa ofini kwangu ni na bidada mmoja (ni mrembo wa haja tu, anatoka ule mkoa karibu na Dodoma na wadada wa mkoa huo wana ile sifa kama ya ule mkoa wa kanda ile isiotakiwa kutoa Mkulu). Ni mfanyakazi mwenzangu, tuliajiriwa mwezi mmoja, tumeishi kwa miaka mi3 kama kaka na dada, huku tukiheshimiana sana! Kama mnavyojua ofisi za serikali, huwa tunashirikiana sana katika mambo mengi sana ya kiofisi kuanzia kushare stories mpaka kupeana ushauri, asipokuwepo nafanya kazi zake, nisipokuwepo anafanya kazi zangu! Tunashirikiana ktk NIDO, majani ya chai, maji ya kunywa, vitafunio - hivi huwa tunapewa na ofisi, mpaka nauli!

Katika lunch pia hivo hivo, nina hela namuagizia lunch box, na yy akiwa nazo hivo hivo! Yaani tumekuwa dada na kaka wapenzi mpk ofisi zingine wanatuonea wivu! Wakati ofisi zingine wanashindana umbea na majungu, sisi kwetu ni kupendana na kujaliana! wakati mwingine majungu yakiwazidia wenzetu huwa wanakuja ofisini kwetu kupata relief!

Mimi nimeoa na yeye ameolewa! Mwenzangu ndoa yake ina mtihani, hawajabahatika kupata mtoto! Bahati mbaya ni kuwa, bi dada umri umeenda! Mimi amenizidi 2 years! Mimi kwa upande wangu mungu amenijaalia watoto wawili! Mwanzoni kabla sijamsoma, ilikuwa rahisi mimi kumueleza ama kupiga story kuhusu watoto, reference kwa wanangu! Kumbe mwenzangu moyoni alikuwa anaumia sana! ktk story zote tunazopiga, hizi za watoto hazipendi! zinamchoma! Baada ya kujua na mimi nimeacha kumuelezea lolote lile kuhusu watoto wangu! Hata kama naenda hospital kupeleka mtoto, basi yeye nitamuambia naenda k'koo ama posta, ili tu nisimuumize!

Sasa balaa ni hili hapa! Kaja na mpya!
Alianza kwa kuntumia video ya PILAU whatsapp! kwa kuwa ni mtu ambae uhusiano wetu haukuwai kufikia ktk kutumiana vitu km hivo, nikashtuka! nikahisi kakosea wa kumtumia! mimi sikumjibu bali nikai-delete fasta kabla mama nanii hajaiona! nikasubiri sms yake ama call ya apology! kimyaaaa! Baada ya siku kama 3, akanambia samahani ile video haikuwa yako, nilikosea kukutumia, nikamuambia sawa ila kuwa makini!

Hapo kabla alikuwa ni mpenzi wa sketi ndefu na blauz za kuficha matiti, siku hz ni mwendo wa vimini na blauz za manyonyo nje! Mbona nakoma mwenzenu!Siamini kama ananivalia mimi ama mwengine, lkn kazi ninayo! Na pia kesi za kuitwa nikamsaidie kitu ktk computer yake sk hz zimekuwa kibao, hasa za kumwelekeza program mbali mbali, tena wkt mwingine anakuja kwangu kuniinamia nimuelekeze, nakomaje! manyonyo yote, tiiii kwangu!

Likaja la kuonyeshwa chachandu! mimi sijui kama tangu zamani anavaa ama ameanza kuvaa siku hz, na kama anavaa siku hz, ananivalia mimi ama mr wake, mm sijui! ila kila siku naonyeshwa chachandu, lazima nionyeshwe chachandu, kama si asubuhi basi mchana! na anajua style nzuri za kunionyesha chachandu zake! tena anajua kuchagua, zinamkaa vzr kweli kiunoni! (bahati mbaya hajui kama mimi ni ugonjwa wng, hii bidhaa mimi huwa naumwa nikiiona! daah kila m'me na madhaifu yake jamani)

Yote kwa yote mimi si mfuasi wa michepuko! Na bado tunaheshiana sana, japo nimeshaanza juhudi za kupunguza mapenzi ya udada-ukaka ili huko mbele yasije yakawa mazito! Shida yangu wanaJF, naomba mnisaidie njia sahihi ya kumuomba kama ananitega, basi mimi hapana, siko huko! anionee huruma, coz mateso ninayopata, kila siku nakuwa wa kwanza kusepa ofisini na wa mwisho kuingia, na hii inanipunguzia ufanisi kazini! Nambieni nitumie njia gani ili nimrekebishe na turudi ktk undugu wetu kama zamani, nia yangu ujumbe umfikie japo naogopa mashushu ya bimdada! Msaada jamani!

Kigegedio chako kimekwenda wapi kwani?
 
Alianza kwa kuntumia video ya PILAU whatsapp! kwa kuwa ni mtu ambae uhusiano wetu haukuwai kufikia ktk kutumiana vitu km hivo, nikashtuka! nikahisi kakosea wa kumtumia! mimi sikumjibu bali nikai-delete fasta kabla mama nanii hajaiona! nikasubiri sms yake ama call ya apology! kimyaaaa! Baada ya siku kama 3, akanambia samahani ile video haikuwa yako, nilikosea kukutumia, nikamuambia sawa ila kuwa makini!
ndio video ya aina gani hiyo? nataka kufahamu
 
Back
Top Bottom