Nimfanye nini huyu mwanamke?

Ana takko?😛
 
Na akiona huna pesa hujinunisha hata wikii nzima na unyumba ulambi najua baadhi ya wadau mtasema tafuta pesa
Mda mwingne mtu kinyimwa kile anachokipenda kisa kumekosekana kitu flan kuna muamasisha zaid kwenda kutafta hicho kilichokosekana ili aje apate kile alichinyimwa.
NB: ila isiwe kila siku unanyimwa.

Kasoro ya huyu mwanamke kwanza sio mkweli anaweza kukudanganya hata kwa jambo
Ambalo unaliona hili halipo hivi
Sasa sijajua huwa anamaanisha nini?
Licha ya kumuonya mara kadhaa ila hurudia hivyohvy
Hapa achana nae tena kimbia. Kama anauongo mwingi na hajui kukubari kosa bas huyo mwanamke ana kiburi na kujiona na hana akili.
 
Kiufupi hakufai,ukiona mwanamke ana tabia fulani kwenye uchumba usitegemee atabadilika ktk ndoa, la kuambiwa changanya na zako
Hivi ni kweli hii kitu kuwa hawezi akabadirika mkiwa kwenye ndoa
 
Kama me sikipi kama ke utaipata
Hivi ukimpeleka mkeo hospital, unaweza kuchagua atibiwe na daktari wa jinsia gani?.Sina nia mbaya nataka kutoa msaada wa ushauri kwa faida yako wala sio yangu.
 
Komaa mkuu pia tafuta pesa
 
Kwa akili zako unaisi ukimuowa ata badilika [emoji1787][emoji1787][emoji1787] brooo kuna vingi vya kutupa furaha sasa jichanganye ufunge Pingu naye
 
Kinasogea tuishi wanakaz.Yaan hapo ushamshiba tayari unataka ukache
 
Mkuu umetupa weakness zake tu tunaomba utuambie na mazuri yake ili tupime kwenye mzani tuone kilichozidi na tutoe ushauri sasa.
Mtu hapimwi Kwa mazuri ukitaka kumuweka karibu yako unapima Yale mabaya unayosikia na kuona pengine kwamba uyu dada ni Malaya Ila anajua snaa kupika au uyu dada ni mzurii Ila kwao ni wachawi tunaangalia madhaifu yako ili tuyapime je naweza kuyamudu kuvumilia na kurekebishana pale inapobidi
 
Mkuuuu usipende kuchekacheka kuwa Gentlemen na kuwa na huruma kwa mke wako mreteee vizawadi toa matumizi mpe biashara yakufanya na uwe unamuelekeza mara kwa mara,cha kufanya ili iboreke huto nyimwa amua kiume ndani usimfanye yeye ndo awe muamuz mambo yenu
 
Mkuu nadhani mazuri ni mengi kuliko mabaya, labda mengine anafanya kwa Sababu hajawa na uhakika 100%. Wewe fumba machoo andaa mahali mwambie sasa mama nataka kwenda kutimiza ahadi na tufunge pingu za maisha. From now sipendi A,B C... Maana hii safari tukikwamishana tutaumia wote. Then chukua wazee waende, omba na tarehe ya harusi. Nina imani badhi ya mambo atabadilika kama siyo kuisha atapungua. Hakuna mkamilifu mkuu
 
Sasa unakuja kuomba ushauri na unakuwa mkali tena? Sasa ni hiviii, huyo mwanamke wako hana tofauti na huyu wakwangu hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Owa fasta ama ukishindwa uje tubadilishane wanawake ndani ya siku tatu tuu usipojinyonga ama kuikimbia nyumba nakupa 1000,000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
to make story short utakuja kupigwa na kitu kizito medula ikae vizuri.
 
Lipa mahari ya watu haraka miaka miwili yote huyo tayari mke
 
Mwanangu hakufai huyo ukibeba utajua mwenyewe maana kesha kuonyesha rangi yake.

Anakulipa kutoka wapi uliuliza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…