Mi nilitaka kulipiza kisasi naye angalau nimmege ili nimuone naye akiwa mtupu kama mie ila nafikiria sana kuwa kitawaka manake itakuwa mazoea nikishalianzisha, na kitu kizuri ni kwamba tulishakaa nae pale miaka minne sasa
utugee basi historia yake ya nyuma maana naona kuna kauongo flani hivi
Mkuu litakuwa kosa kubwa sana kama utatembea na mfanyakazi wako wa ndani.. Mwanaume anaejiheshimu hawezi kujishusha hivyo.. Kama unataka kuchepuka nenda mbali huko ukachepukie.. Ili hata kama mke wako akisikia inakuwa haina nguvu kivilee.. Lakini kutembea na mfanyakazi wa ndani ni kumkosea heshima mke wako.. Mheshimu sana mke wako maana ndo ubavu wako huo..
Tena unatakiwa kuhakikisha huyo mfanyakazi ameondoka hapo nyumbani mara moja..
mbanjue tu naona kama ndiyo unataka iwe hivyo... haha au wewe endelea kutembea uchi muone matokeo yatakuwaje?
huu ni uongo maana akili yangu inagoma kukubalana na mtoa mada
kubanjua ndio nn?
Umewahi kubanjuliwa?
kufanya matusi
umeona wanadamu tunavokosea?
Kufanya kitendo kilichohalalishwa na Mungu tunaita matusi ila tunasahau matusi kama nisisema shenzyy... Hayo ndio matusi lakn kufunua utupu hyo ni kitendo chema kabisa
Shukurani kwa ushauri wako mkuu, hata mie nafikiria kuliacha ilo, ila nitatafuta njia gani za kumuondoa bila sababu yoyote? Wife atanifikiriaje nikichukua maamuzi ayo