c ameshakwambia ni "kajamba nani" au me cjaelewa
Nashukuru Wakubwa Na Wadogo Wenzangu Kwa kuweza Kunipa USHAURI, Pia Na Wale Ambao Wameioppose Kwa namna Moja au Nyingne kama Evelyn Salt ambaye nahisi na yy hana Tofauti na huyu dada niliyekorofshana nae , Lakini Nataka Niwaambie Hiki Ki2 Kimenitokea Kweli Na wala sio story ya kutunga, Cjashindwa Kukaa mimi na MWANASHERIA WANGU hapana, Ila Nikaona NIpate MAWAZO ya W2 wengi kwani naamin umoja ni NGUVU , UTENGANO ni UDHAIFU...Regards To y'all
This story is too good to be true...i bet this kid is only bragging here about himself and boasting for nothing..
Hivi kweli yupo binti anayetumia mtandao mpaka akaweka kifurushi atakupiga ndui ya jero???.....acha mambo hizo bwana mdogo....Na hata kwenye maisha halisi kama unapata mademu basi wana kazi hao mademu zako!!!......i don't buy this nonsense.....
Asalaam Alleykhu Wale ndugu Zangu na Bwana Asifiwe , Hope Wanajamvi wote mpo poa.,
Kuna Demu nilikutana nae kwenye mtandao huu wa J.F juzi juzi tuu hapa., Nikaona ananiPM Kwa Sana Nikaona Kama AnaInterest Na mm, Basi 2kachat kwa JF mpk ikafkia hatua 2kapeana Namba,..Kiufupi Kwa Jinsi nilivyomuona ni mwanamke mwenye uelewa mdogo alafu naona Bdo anaelement za KISWAHILI , kama Mizinga Ya Vocha Alafu bora ingekuwa Mizinga Mikubwa Eti NAomba Nirushie Vocha Ya Mia 5 Kwa Simu, Kwa Kuwa Mimi MOTTO wangu ni kutokuonga nikamchomolea siku ya kwanza aliponipiga Mzinga Huo,..2kaendelea kuchat ikafka muda wa Kumeet, Mtoto Nikamwambia 2mit Mlimani City Pale Chicken Heart, akasema Poa, sasa Jana Mimi Npo Na Goons Yangu maeneo yale ananipigia Simu Anakuja ila kuna sehemu kapitia, Nikamchana kwmb c o kesi Mimi bdo nipo kwani kikao changu ni kikubwa , nikamweleza Majeshi nanyanyua saa Sita, Ilipofka Mida ya saa2 akani2mia Txt Kwamba ameghairi kuja cz kuna mambo anafanya kwaiyo 2fanye cku nyingine, Nikamwambia Mbona unakuwa Mswahili Namna Hiyo, Basi Nilipomwambia Hivyo akaanza kuporomosha lugha za kwao Tandale kwa Tumbo Plus matusi Kibao Yaani.,Mimi nikamwambia hawezi kushinda na mtu mwenye hela na ambaye yupo kwenye system ambaye ni mimi, Akaendelea kunitukana,Na Matusi Juu.,Eti anasema ninamforced sana .Sasa Leo asubuhi Nimeongea na Mwanasheria Wangu Kuhusu hili Jambo Amesema yeye ananickiliza Mteja Wake,.Kitu Kilichofanya nilete Uzi huu Hapa Ni kwamba, Uwezo Wa Kumpata na Kumchukulia Hatua Ninao , Sema naona Nitapoteza Muda wa Kutafuta Hela,.Ictoshe huyo Mtoto Wa JF ni Kajamba NaNi, WANAJAMVI NIMFANYAJE MTU WA NAMNA HII , USHAURI NITASHUKURU ILI NICJE NIKAFANYA JAMBO BAADAE NIKAMUONEA HURUMA...
Unajua nini ngoma droo.mwanaume kawaza nyapu mwanamke kawaza mbesa sasa kama dau lake jero kwa nini asiombe jero?hapa mmu wapo watu wa aina tofauti na sababu tofauti ya kuwa hapa so bro usishangae mbona wapo wengi twawajua.
Ila mleta mada naye mpenda sifa balaa dizaini ya yoyoyo whatsapp
Usinambie kuna wadada wanapiga mzinga wa jero hapa?
Kama uliovosema wote wamekutana wa Masaki kwa Tumbo na wa Tandale kwa mfuga mbuzi..lolz
Full usaniii nakuambia....
leo comment yako ina mashiko, keep it up mama. I like it.She is smart amesikiliza intuition yake na amepata cold feet.mwanasheria kwa sababu hakutaki ?she rejected you na hakutaki tena .she is very luck inaelekea kuwa very controlling and abusive and insecure .she rejected you fine move on get somebody else .unamrishia mwanasheria kwa ajili ya penzi bwana .pesa ulituma mwenyewe
mchumba umekuwa mkali mno, usikute unatapeli wengine wakati uko na mimi,Kwenda kidudu mtu wewe!!!!
serengeti boys mmekuja na mbinu ya kujizolea ujiko hapa eti wadada wa jf wanawachuna, hela zenyewe mnazotolea povu sasa....ptuuuuuuuu!
mchumba umekuwa mkali mno, usikute unatapeli wengine wakati uko na mimi,
eti sweet Salt, hebu nipe ukweli mamaa.
Hapana aisee, huyo atakuwa mwingine, sio wewe.Bebito unavoniona mi ni wa kuomba jero kweli???
This story is too good to be true...i bet this kid is only bragging here about himself and boasting for nothing..
Hivi kweli yupo binti anayetumia mtandao mpaka akaweka kifurushi atakupiga ndui ya jero???.....acha mambo hizo bwana mdogo....Na hata kwenye maisha halisi kama unapata mademu basi wana kazi hao mademu zako!!!......i don't buy this nonsense.....
Wewee na wee huna tofauti nae.yaani huyoo ndo anasumbua akili yako.dah kweli watu tumeubwa tofauti.
Achana nae.Mijitu ya JF loh inaboa ajabu mie pia nilikutana na limwanaume la JF likaniboa ajabu nikalichana live achana na mie.