Nimfanye nini huyu kidudu mtu?

Nimfanye nini huyu kidudu mtu?

Kwa Bahati Nzuri Hizo Process Ulizonipa hata MWANASHERIA WANGU pia alishaniambia kuhusiana na hicho unachosema, Hata Hivyo Nashukuru Sana ndugu Hute Kwa Ushauri wko wa ziada, NIMEAMUA KUMSAMEHE HUYU KIDUDU MTU cz nimeona NITTAPOTEZA MUDA WANGU BURE kwa w2 WENYE UELEWA MDOGO KAMA HUYU..!!!!
usiamini wanasheria, achana na dhana kwamba "nina mwanasheria wangu". kwa kifupi ni kwamba, kuwa na mwanasheria usidhani ni security tosha, bado kuna wanasheria waliojitangaza na wanaokandamiza fee kubwa lakini tumeona wakienda pale kisutu, wanaaibishwa na kugalagazwa na vitoto ambavyo vimefanya kazi miaka hata mitano haijaisha. kwasababu hata kama wanao uzoefu wa miaka mingi, hawana update ya case law za siku hizi na akili zao zinazeeka hawawezi kushindana na damu changa. hivyo pamoja na kuwa na uyo "mwanasheria wako"bado wewe kuna siku unaweza kujikuta upo korokoroni behind the bars. kwa masuala hayo mtu ambaye yuko secure kupita kiasi ni mwanasheria mwenyewe aliyesoma na kuwa na degree ya sheria au zaidi, na ambaye amepractice sheria.

kujidai kuwa wewe ni mtu wa system, ni ushamba mkubwa sana. kuna watu wengi tu humu jf wametulia, wengine maafisa usalama wa taifa wakubwa sana wenye network ya kila aina lakini wamenyamaza kimyaaa, zaidi ya yote siku hizi unaweza kuwa kwenye system ukagaragazwa hata na mwendesha bodaboda tu. dunia imebadilika system zinaenda zikisambaratika, uhuru wa watu umegunduliwa hivyo cha maana si kutishia watu, ni kuishi kwa nidhamu bila kujidai na kutishia watu hiyo system yako.
 
kwani mkiweka appointment muonane alafu katikati ya muda tatizo likatokea mmoja akaahirisha kuonana huo ni uswahili..??na taarifa amekupa?? WAKISHUA unaonekana ulikuwa na kimulemule cha kuona siku hiyo..ulilipuka mbayaa(kidding)
 
WA KISHUA dada anayeomba vocha ya mia tano wewe unadate naye mlimani city kweli anapajua,
na nauli ya kukukuta angeipata wapi?
mbona wapo watu wenye akili zao timamu kwanini usidate nao unafuata watoto wadogo tena wa uswazi,
wakati mwingine angalia na upepo mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Hapana shida mtu wangu Mamndenyi , yaani nimejilaumu sana kwani naona alikuwa anataka kushusha STATUS yangu huyu KIDUDU MTU ,.ila sio kawaida yangu kuchat na hawa WATOTO WA MBWA sema niliona ningemchunia angeniona NAJISIKIA sana , kwaiyo nikataka nipunguze iyo Gap kumbe JASIRI HAACHI ASILI yaani, Na kusema UKWELI nilitaka kumsaidia kwa mengi sana sema ndio ivyo ameshanitibua na sitaki tena mawasiliano nae , Eti! baada ya kuona huu UZI ananifata na kuniomba MSAMAHA, bnafsi nimemsamehe ila ctaki tena mawasiliano na hizi kasumba, kwani nahisi kuna rafiki zake humu ambao wanajaribu kumdefence cjui wakina SALT SALT mptuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu , akiendelea kunisumbua tena nitaweka wazi ID yake humu JAMVINI,..Be Blessed Mamndenyi
 
WA KISHUA dada anayeomba vocha ya mia tano wewe unadate naye mlimani city kweli anapajua,
na nauli ya kukukuta angeipata wapi?
mbona wapo watu wenye akili zao timamu kwanini usidate nao unafuata watoto wadogo tena wa uswazi,
wakati mwingine angalia na upepo mkuu.
Ndo viwango vyake hivyo, nyie mnaotaka kuhongwa ma-NOGI hawawezi
 
Hahahaaa lol kweli ukistaajabu ya Musa..
Kwahio uyo bidada kaanzia dau jero..af ukute anazo ila akikupima tuuu.
Af pili unahela na upo kwenye system..hmmmm ya serikali hii hii yakina sugu na nape..mwehh nawe upo mzungukoni!!hmmm
Af kama vip ungemuweka hewani maana ukute anakuchoora tuu au dume alikuchezea trick..au ukute demu wako alijua..mweeh
af hasa nia na dhumuni la kumeet nae ni jus kujamiiana (socialization) tuu ama kuna lingine.
Af unadharau sana..ukute mshahara wako marupurupu yake...
Jus thinking.. Ungekutana nae af akawa wa kishua zaidi yako..hmmm sipati picha ungeloajeee... Uwiiii na apo ukute ulinyoosha nguo ad Tanesco wakakata umeme..!!
Ila kama ni kweli mtaje.
Hmm mwanaloya tena,why wasting ur time for such nonsense..ungepotezea tuu..duh ila pole..can imagine bidada alivokuchamba na uroho woote ukaingia kerosine!!🙂
 
Asalaam Alleykhu Wale ndugu Zangu na Bwana Asifiwe , Hope Wanajamvi wote mpo poa.,
Kuna Demu nilikutana nae kwenye mtandao huu wa J.F juzi juzi tuu hapa., Nikaona ananiPM Kwa Sana Nikaona Kama AnaInterest Na mm, Basi 2kachat kwa JF mpk ikafkia hatua 2kapeana Namba,..Kiufupi Kwa Jinsi nilivyomuona ni mwanamke mwenye uelewa mdogo alafu naona Bdo anaelement za KISWAHILI , kama Mizinga Ya Vocha Alafu bora ingekuwa Mizinga Mikubwa Eti NAomba Nirushie Vocha Ya Mia 5 Kwa Simu, Kwa Kuwa Mimi MOTTO wangu ni kutokuonga nikamchomolea siku ya kwanza aliponipiga Mzinga Huo,..2kaendelea kuchat ikafka muda wa Kumeet, Mtoto Nikamwambia 2mit Mlimani City Pale Chicken Heart, akasema Poa, sasa Jana Mimi Npo Na Goons Yangu maeneo yale ananipigia Simu Anakuja ila kuna sehemu kapitia, Nikamchana kwmb c o kesi Mimi bdo nipo kwani kikao changu ni kikubwa , nikamweleza Majeshi nanyanyua saa Sita, Ilipofka Mida ya saa2 akani2mia Txt Kwamba ameghairi kuja cz kuna mambo anafanya kwaiyo 2fanye cku nyingine, Nika

Dhambi ya uzinz inaktafuna Wakishua!!
 
Ngalikihinja si umeona eeh,
hawezi kudate na mimi mlimani city asinitumie gari la kunifuata,
kama vipi lazima atume pesa ya kununulia mafuta kwenye gari ndo nimfuate
wanatafuta vya bei ndogo tena wanakuja kulalamika humu jf.

sana sana anaweza kwenda kwa mwanasheria wake akajikuta na kosa la kudate na mwanafunzi.

Ndo viwango vyake hivyo, nyie mnaotaka kuhongwa ma-NOGI hawawezi
 
Last edited by a moderator:
ngoja nikwambie ndugu Kemchoo . KULA, KUVAA, KUNYWA c o kesi kwangu na sikuwa na nia mbaya ya kutaka kumuona BIBI cku hiyo ila kwa jinsi KAULI zake alizokuwa anatoa ndio hasa nikamuona ni MTOTO WA DOG , haikuwa rahisi kwa mwanamke mwenye BUSARA zake na mwenye kujiheshimu kutoa KAULI KALI kama alizotoa huyu KIDUDU MTU ambaye nilipanga kumit nae, ictoshe ana2kana mpk w2 wasiohusika yaan WAZAZI hapo ndipo aliponiboa yaani, Kama angenitukana binafsi nisingeweza hata kuleta huu UZI hapa..nataka nieleweke hivyo.
 
Hapana shida mtu wangu Mamndenyi , yaani nimejilaumu sana kwani naona alikuwa anataka kushusha STATUS yangu huyu KIDUDU MTU ,.ila sio kawaida yangu kuchat na hawa WATOTO WA MBWA sema niliona ningemchunia angeniona NAJISIKIA sana , kwaiyo nikataka nipunguze iyo Gap kumbe JASIRI HAACHI ASILI yaani, Na kusema UKWELI nilitaka kumsaidia kwa mengi sana sema ndio ivyo ameshanitibua na sitaki tena mawasiliano nae , Eti! baada ya kuona huu UZI ananifata na kuniomba MSAMAHA, bnafsi nimemsamehe ila ctaki tena mawasiliano na hizi kasumba, kwani nahisi kuna rafiki zake humu ambao wanajaribu kumdefence cjui wakina SALT SALT mptuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu , akiendelea kunisumbua tena nitaweka wazi ID yake humu JAMVINI,..Be Blessed Mamndenyi
mh...napita tu hapa
 
Digital problems ni kwamba hujui huyo unayemtukana nae ni wa system au ni bosi wako mkikutana ndo mtajiona wajinga nani wa kishua na nani kabwela . rahisisha mambo mtu humjui hakujui unahaha kwa mwanasheria sijui nn unanaonekana huna shughuli za kufanya.temana nae kaka.
 
ngoja nikwambie ndugu Kemchoo . KULA, KUVAA, KUNYWA c o kesi kwangu na sikuwa na nia mbaya ya kutaka kumuona BIBI cku hiyo ila kwa jinsi KAULI zake alizokuwa anatoa ndio hasa nikamuona ni MTOTO WA DOG , haikuwa rahisi kwa mwanamke mwenye BUSARA zake na mwenye kujiheshimu kutoa KAULI KALI kama alizotoa huyu KIDUDU MTU ambaye nilipanga kumit nae, ictoshe ana2kana mpk w2 wasiohusika yaan WAZAZI hapo ndipo aliponiboa yaani, Kama angenitukana binafsi nisingeweza hata kuleta huu UZI hapa..nataka nieleweke hivyo.

daah, msamehe tu lakini huyo bidada
 
Hapana shida mtu wangu Mamndenyi , yaani nimejilaumu sana kwani naona alikuwa anataka kushusha STATUS yangu huyu KIDUDU MTU ,.ila sio kawaida yangu kuchat na hawa WATOTO WA MBWA sema niliona ningemchunia angeniona NAJISIKIA sana , kwaiyo nikataka nipunguze iyo Gap kumbe JASIRI HAACHI ASILI yaani, Na kusema UKWELI nilitaka kumsaidia kwa mengi sana sema ndio ivyo ameshanitibua na sitaki tena mawasiliano nae , Eti! baada ya kuona huu UZI ananifata na kuniomba MSAMAHA, bnafsi nimemsamehe ila ctaki tena mawasiliano na hizi kasumba, kwani nahisi kuna rafiki zake humu ambao wanajaribu kumdefence cjui wakina SALT SALT mptuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu , akiendelea kunisumbua tena nitaweka wazi ID yake humu JAMVINI,..Be Blessed Mamndenyi

Nyambafffff wa kishua utakuwa wewe.....!!!!
huyo anaekutaka wewe atakuwa ni fyatu tu kama wewe.....
 
Utawajua maPROTEGES tyr wameshaanza SHOBO ..hahhahahahaaaa ..dont waste ur time seeking someone who's nat interest wid u..
 
ngoja nikwambie ndugu Kemchoo . KULA, KUVAA, KUNYWA c o kesi kwangu na sikuwa na nia mbaya ya kutaka kumuona BIBI cku hiyo ila kwa jinsi KAULI zake alizokuwa anatoa ndio hasa nikamuona ni MTOTO WA DOG , haikuwa rahisi kwa mwanamke mwenye BUSARA zake na mwenye kujiheshimu kutoa KAULI KALI kama alizotoa huyu KIDUDU MTU ambaye nilipanga kumit nae, ictoshe ana2kana mpk w2 wasiohusika yaan WAZAZI hapo ndipo aliponiboa yaani, Kama angenitukana binafsi nisingeweza hata kuleta huu UZI hapa..nataka nieleweke hivyo.

wakishua, kama ametukana wazazi...hapo pakali..ila kama ulikuwa unauwezo wa kusema kuwa wazazi wako wametukanwa...why dont u anika her here!!!!maana nadhani wazazi wanathamani than that lady.
 
Last edited by a moderator:
Kama utanukuu UZI ambao nimeutoa Tangu Mwanzo nilisema kwamba AMENITUKANA MATUSI MENGINE AMBAYO CWEZI KUYASEMA YAAN Swts nwy nimeamua kumpotezea tuua, lakini kuna MASHOGA zake wa Karibu ambao anaishi nao huko KWA MFUGA MBWA kama wakina nani cjui wanaojihita SALT SALT SALT cjui nn ..aaahhhaahahaa WA KISWAZI utawajua hata the way wanavyoandika UZI wao humu...
 
ha ha ha....yaan kama kusoma hujui hata picha!!!...loya kasema anamsikiliza yeye kama mteja, kwamba peleka kesi mahakamani nifanye kazi yangu kama wakili unilepe changu nicheze na fani. hivyo hapo WA KISHUA anatakiwa aone kuna haja gani ya kupoteza hela kwa kupambana na issue za kijinga...cha msingi hapo ni kumpotezea tuu hakuna haja ya kesi wala kuendelea kutafutana. ni kupotezeana muda na heshima. Au wewe una maoni gani King'asti. Mzima lakin...:confused2:
Hahahahahahahahahahhaha!
Yaani umenichekeshaje! Sasa ushauri wetu badaka ya kumsikiliza loya wako?

(sorry, loya wako ni ruttashoborwa?)
 
Last edited by a moderator:
Pole sana. Ila kaka usimdharau mtu usiemjua. Napia hata kama kakutukana basi ulitakiwa kumpuuza tuu kwakua umeshasema anauelewa mdogo. Unapoyakuza mara kwamwanasheria mara huku mwisho wewe ndio utaonekana huna akili. Inamaana kila anaekutukana kwako inakua kesi?? Bora mpuuze uendelee namambo yako.
 
Back
Top Bottom