s.crony
JF-Expert Member
- Jul 25, 2012
- 1,286
- 465
Jibaba linataka tu dudu yake mkwe, hamna kingine..
Mpe tuuu...kwani kitu gani????vizawadi unapokea,kumpa kidogo hutaki asa ndo nini?....
Jibaba linataka tu dudu yake mkwe, hamna kingine..
Nikikataa anaongea mpaka basi
Hahahaaaaaa mkwe kumbe unauwezo wa kujua matakwa ya mtu!!! ntakuja PM maana kuna babu ananisumbua ila sijui anataka nini...
Usimwite baba,huyo sio baba yako unataka kumnyima nini?
Na usichukue chochote toka kwake. Ukipokea tu,jiandae kutafunwa. We binti unawapenda wazee,hutaki kuchoshwa na mapigo ya farasiNawaza sana mwisho wa haya mambo utakuwa lini lakn simpi chchte nimeshaapa
Ananijali sana
Ndiyo ananpa
Nawaza sana mwisho wa haya mambo utakuwa lini lakn simpi chchte nimeshaapa
Ukitaka akuache mpe anachokitaka....
Sh ngapi kubwa aliyowahi kukupa??
haifiki 10M lol...
mng'ate pua lake atakuacha
Inawezekana ananipenda cz ni tofauti na wanaume wengne haiwezkan mtu miez zaidi ya 4 unaangaikia kitu na hakuna dalili za kukipt then he dont gv up ywezkn kuna upnd pia
Mambo wakuu
Leo nmekuja kiutu uzima coz wanasema mie cjui utoto vikapanda vikashuka
Ni hivi?kuna baba mmoja huu ni kama mwezi wa nne sasa kiukweli anaonesha ananijali sana,na kwa vitendo na maneno yake inaonesha ananipenda kutoka moyoni kwani amenifanyia mambo (siyo yule niliyewahi kumzungumzia apa kipnd cha nyuma )
Mengi tu mazuri na hajawahi hata kuniambia maswala cjui ya kuonan wapi wapi huwa ananiomba antoe lunch kama sna nafasi nkimwambia anaelewa kifupi hana haraka na mimi anadai ana malengo na mm ila sijawah muuliza n malngo gani nafaham ana mke ila familia ipo nchi ya jirani yy huku yupo kikazi Tu.
Huwa ni mteja wa ofisini kwangu basi akija akikuta naongea na mwanaume au namfanyia kazi mwanaume badae atapiga simu ooh roho inaniuma sana coz I love u!
Basi me namshangaa coz cjajicomit kwake hata kidg lakn namshangaa
Sometmz nafikiria nimfanyaje huyu baba kiukweli mimi simpendi na nilishamwambia lakn the way anavyojitoa kwangu smtmz nawaza how can I du aniepuke.
Nishaurin nifanyaje wapnda
NBA sy lazma uchangie kama huna la maana na siyo lazma pia usome kama nakuboa okay??
umukagame je na huyo baba ni mtu maarufu? Maana wewe unapenda wanaume maarufu... https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/678345-napenda-wanaume-maarufu.htmlMambo wakuu
Leo nmekuja kiutu uzima coz wanasema mie cjui utoto vikapanda vikashuka
Ni hivi?kuna baba mmoja huu ni kama mwezi wa nne sasa kiukweli anaonesha ananijali sana,na kwa vitendo na maneno yake inaonesha ananipenda kutoka moyoni kwani amenifanyia mambo (siyo yule niliyewahi kumzungumzia apa kipnd cha nyuma )
Mengi tu mazuri na hajawahi hata kuniambia maswala cjui ya kuonan wapi wapi huwa ananiomba antoe lunch kama sna nafasi nkimwambia anaelewa kifupi hana haraka na mimi anadai ana malengo na mm ila sijawah muuliza n malngo gani nafaham ana mke ila familia ipo nchi ya jirani yy huku yupo kikazi Tu.
Huwa ni mteja wa ofisini kwangu basi akija akikuta naongea na mwanaume au namfanyia kazi mwanaume badae atapiga simu ooh roho inaniuma sana coz I love u!
Basi me namshangaa coz cjajicomit kwake hata kidg lakn namshangaa
Sometmz nafikiria nimfanyaje huyu baba kiukweli mimi simpendi na nilishamwambia lakn the way anavyojitoa kwangu smtmz nawaza how can I du aniepuke.
Nishaurin nifanyaje wapnda
NBA sy lazma uchangie kama huna la maana na siyo lazma pia usome kama nakuboa okay??