Nimfanyaje huyu baba?

Nimfanyaje huyu baba?

Ukitaka akuache mpe anachokitaka....

Mhhhhh mkwe.. vibaya ivo, kwani unajua hilo jibaba linataka nini? kama ni roho yake je?


Anyway.... young girl, ukiruhusu tamaa zako za kujaliwa na MUME WA MTU zitawale ubongoni mwako, itabidi nikwambie "rest in peace" (sina hakika kama utanielewa.)
 
Mmmnh.....Mweleze ukweli na umkaukie... Unavyomchekea chekea na kupokea vyake una mpa matumaini..!! Sio vizuri kucheza na hisia za mtu....Humtaki mweleze...!
 
Mhhhhh mkwe.. vibaya ivo, kwani unajua hilo jibaba linataka nini? kama ni roho yake je?


Anyway.... young girl, ukiruhusu tamaa zako za kujaliwa na MUME WA MTU zitawale ubongoni mwako, itabidi nikwambie "rest in peace" (sina hakika kama utanielewa.)

Jibaba linataka tu dudu yake mkwe, hamna kingine..
 
Mhhhhh mkwe.. vibaya ivo, kwani unajua hilo jibaba linataka nini? kama ni roho yake je?


Anyway.... young girl, ukiruhusu tamaa zako za kujaliwa na MUME WA MTU zitawale ubongoni mwako, itabidi nikwambie "rest in peace" (sina hakika kama utanielewa.)
any way thnks ..bt cjakuwa na tamaa
 
Mhhhhh mkwe.. vibaya ivo, kwani unajua hilo jibaba linataka nini? kama ni roho yake je?


Anyway.... young girl, ukiruhusu tamaa zako za kujaliwa na MUME WA MTU zitawale ubongoni mwako, itabidi nikwambie "rest in peace" (sina hakika kama utanielewa.)

Jibaba linataka tu dudu yake mkwe, hamna kingine..
 
Mmmnh.....Mweleze ukweli na umkaukie... Unavyomchekea chekea na kupokea vyake una mpa matumaini..!! Sio vizuri kucheza na hisia za mtu....Humtaki mweleze...!

Nimeshamueleza sana sana
 
Kwani mtu anapovua samaki kwa ndoano anafanyaje...? Si lazima aweke chambo ili samaki aone kapata......kumbe mla nae huliwa.......!
 
Inaonekana unampenda, lakini hutaki kuamini kwamba unampenda. Kwa hiyo kama humpendi jinasue maana sisi wanaume tuna tabia moja ya kuwa tukitaka kitu tutafight lakini after sometimes tutaanza kupunguza mazoea taratibu.
 
Hivi papuchi huwa zina nini?
Kwanini kidume kikishakula tena mara moja kinakimbia mazima wakati kimehudumia kama mara 20 hivi?

Kwanini?
hiki nawasifu wanawake mnatuhurumia sana mtu akilia lia tu unaona anakupenda sasa mpe papuchi uone hapo ofisini humuoni utakuwa unampigia badala ya kukupigia

hayo ndio maisha yetu
 
Kwani akimega kimyakimya inakugharim nn kama huduma zake Unapeleka pwani
 
umukagame, status yako ni ipi?

Uko katika relation yoyote?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom