Inawezekana ananipenda cz ni tofauti na wanaume wengne haiwezkan mtu miez zaidi ya 4 unaangaikia kitu na hakuna dalili za kukipt then he dont gv up ywezkn kuna upnd pia
Mambo wakuu
Leo nmekuja kiutu uzima coz wanasema mie cjui utoto vikapanda vikashuka
Ni hivi?kuna baba mmoja huu ni kama mwezi wa nne sasa kiukweli anaonesha ananijali sana,na kwa vitendo na maneno yake inaonesha ananipenda kutoka moyoni kwani amenifanyia mambo (siyo yule niliyewahi kumzungumzia apa kipnd cha nyuma )
Mengi tu mazuri na hajawahi hata kuniambia maswala cjui ya kuonan wapi wapi huwa ananiomba antoe lunch kama sna nafasi nkimwambia anaelewa kifupi hana haraka na mimi anadai ana malengo na mm ila sijawah muuliza n malngo gani nafaham ana mke ila familia ipo nchi ya jirani yy huku yupo kikazi Tu.
Huwa ni mteja wa ofisini kwangu basi akija akikuta naongea na mwanaume au namfanyia kazi mwanaume badae atapiga simu ooh roho inaniuma sana coz I love u!
Basi me namshangaa coz cjajicomit kwake hata kidg lakn namshangaa
Sometmz nafikiria nimfanyaje huyu baba kiukweli mimi simpendi na nilishamwambia lakn the way anavyojitoa kwangu smtmz nawaza how can I du aniepuke.
Nishaurin nifanyaje wapnda
NBA sy lazma uchangie kama huna la maana na siyo lazma pia usome kama nakuboa okay??
Hahaha nilishanunua na hiyo pete naw dayz naivaa cozd ya yeye lkn hata hashangai
"the way anavyojitoa kwako" anajitoaje............
Mambo wakuu
Leo nmekuja kiutu uzima coz wanasema mie cjui utoto vikapanda vikashuka
Ni hivi?kuna baba mmoja huu ni kama mwezi wa nne sasa kiukweli anaonesha ananijali sana,na kwa vitendo na maneno yake inaonesha ananipenda kutoka moyoni kwani amenifanyia mambo (siyo yule niliyewahi kumzungumzia apa kipnd cha nyuma )
Mengi tu mazuri na hajawahi hata kuniambia maswala cjui ya kuonan wapi wapi huwa ananiomba antoe lunch kama sna nafasi nkimwambia anaelewa kifupi hana haraka na mimi anadai ana malengo na mm ila sijawah muuliza n malngo gani nafaham ana mke ila familia ipo nchi ya jirani yy huku yupo kikazi Tu.
Huwa ni mteja wa ofisini kwangu basi akija akikuta naongea na mwanaume au namfanyia kazi mwanaume badae atapiga simu ooh roho inaniuma sana coz I love u!
Basi me namshangaa coz cjajicomit kwake hata kidg lakn namshangaa
Sometmz nafikiria nimfanyaje huyu baba kiukweli mimi simpendi na nilishamwambia lakn the way anavyojitoa kwangu smtmz nawaza how can I du aniepuke.
Nishaurin nifanyaje wapnda
NBA sy lazma uchangie kama huna la maana na siyo lazma pia usome kama nakuboa okay??
Nawaza sana mwisho wa haya mambo utakuwa lini lakn simpi chchte nimeshaapa
Usimwite baba,huyo sio baba yako unataka kumnyima nini?
hiki nawasifu wanawake mnatuhurumia sana mtu akilia lia tu unaona anakupenda sasa mpe papuchi uone hapo ofisini humuoni utakuwa unampigia badala ya kukupigia
hayo ndio maisha yetu
Heaven on Earth jmn usiniangushe ina maana kusoma hujui na pcha huoni
Aya m nilvyoelewa uyu baba itakua anampga tafu endapo amekwama mahala anahtaj msaada bas bonge la bwana anajitoa kutatua tatizo
Zawadi zake unapokeaga?
umemaliza mkuu!
kama anakupa vitu usithubutu kukataa si unajua kutoa ni moyo? hahahaaaaa ila wew usithubutu kutoa vyako utaliwa ubaki unajutia
Bila wanaume ulimwengu wako haukamiliki eeeh