Nimezimiwa simu

Dah nikisoma hizi comments zenu nachoka tu anyway usimwelekeze mtu ukutane nae kama mwenyewe hujiwezi I mean mlo mmoja utamtesa mgeni na ukicheki huna pakumuweka daah aise binadamu tumebadilika Sana
 
Dah nikisoma hizi comments zenu nachoka tu anyway usimwelekeze mtu ukutane nae kama mwenyewe hujiwezi I mean mlo mmoja utamtesa mgeni na ukicheki huna pakumuweka daah aise binadamu tumebadilika Sana

Mimi sikutaka kufikia kwa mtu, nilitaka mwenyeji anipokee anielekeze mji ulivyo, hoteli nzuri ziko wapi basi mwenyewe niko full na pesa yangu
 
Kama nilivyokuja na uzi wangu wa kuomba wenyeji kwenye baadhi ya mikoa, nashukuru nimetoka Mtwara ahsante kwa mwenyeji wangu kwa ukarimu wako, juzi wakati nipo Mtwara nikapata mwenyeji wa Dodoma lakini mwenyeji huyu maongezi yake ilikuwa anataka tu nimletee vitu kama Nguo sijui viatu halafu anataja vitu vya bei, nikamjibu mbona hata Dodoma vipo?

Yeye akajua fika mimi nitabeba hivyo vitu leo nimepanda gari kuelekea Dodoma tumewasiliana vizuri nimefika njia panda ya Gairo ananiuliza umenibebea vitu nikamwambia sijabeba, jamani kanitolea maneno ya shombo na kuniambia utajijua mwenyewe tafuta mwenyeji mwingine. Nimejaribu kumpigia simu hapokei na kwa sasa ameizima kabisa!!! Labda nikuambie ulichofanya ni utoto mkubwa Kama ulitaka wa kumchuna kwangu umenoa Dodoma ndogo sana hii siwezi kupotea.
Karibu mwanza
 
Back
Top Bottom