Inawwezekana sana mleta mada hana hela kama mimi hapa, sasa amekuja kujiliza hapa jamvini pengine atapata mbuzi wa kafara....teh
pole mama siku akikutafuta chomoa betri
Nimefurahi sana kukutana na hii comment....Nilijua ninawaza hili peke yangu
Haki wewe si mtu mzuri kabisa
We fala umekosa papuchi kizembe ungemnunulia hivyo vitu ukale papuchi nipe namba zake pm
we jamaa....ukaona kununua ivo v2 utaishiwa saaana
Amekuona si rafiki/mgeni mwenye faida.
Karibu geto kwangu coco bella
Kakwambiaje?
nikikukamata ama zako au zangu siondoki mpaka nikukamate
Basi huyo jamaa ni falaMimi ndio papuchi mwenyewe
Hata minaona, na pengine lile lori la mafuta linge dondokea humu, pengine wewe ndie ungekimbilia kuchomoa battery... tehNdio sina hela
Dah nikisoma hizi comments zenu nachoka tu anyway usimwelekeze mtu ukutane nae kama mwenyewe hujiwezi I mean mlo mmoja utamtesa mgeni na ukicheki huna pakumuweka daah aise binadamu tumebadilika Sana
Hata minaona, na pengine lile lori la mafuta love ngedondokea humu, pengine wewe ndie ungekimbilia kuchomoa battery... teh
Karibu mwanzaKama nilivyokuja na uzi wangu wa kuomba wenyeji kwenye baadhi ya mikoa, nashukuru nimetoka Mtwara ahsante kwa mwenyeji wangu kwa ukarimu wako, juzi wakati nipo Mtwara nikapata mwenyeji wa Dodoma lakini mwenyeji huyu maongezi yake ilikuwa anataka tu nimletee vitu kama Nguo sijui viatu halafu anataja vitu vya bei, nikamjibu mbona hata Dodoma vipo?
Yeye akajua fika mimi nitabeba hivyo vitu leo nimepanda gari kuelekea Dodoma tumewasiliana vizuri nimefika njia panda ya Gairo ananiuliza umenibebea vitu nikamwambia sijabeba, jamani kanitolea maneno ya shombo na kuniambia utajijua mwenyewe tafuta mwenyeji mwingine. Nimejaribu kumpigia simu hapokei na kwa sasa ameizima kabisa!!! Labda nikuambie ulichofanya ni utoto mkubwa Kama ulitaka wa kumchuna kwangu umenoa Dodoma ndogo sana hii siwezi kupotea.