Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,336
- 10,895
Mkuu acha kucheka bhana. Huku ndani natanianaga na hawa Dada zangu humu. Basi kama ningekuwa karibu Walahi wangenimwagia maji kwa kunichamba
Hahahaaa,haya bhana!Heeeee tuvulana tena kuwa na adabu wewe, kwani na Wewe ulikuaje si ulikuwa kivulana tu afadhali ya yule
Na siku hizi magonjwa yalivyokuwa mengi, mara paap kafia miguuni, unambeba unaenda kupika supu.Inawwezekana sana mleta mada hana hela kama mimi hapa, sasa amekuja kujiliza hapa jamvini pengine atapata mbuzi wa kafara....teh![]()
Dada yangu, Habari za uzimaUmekuja kuanzisha uzi
Haa, ngoja kwanza...Jamaa ndo kaikimbia papuchi...Huyo jamaa ndo alitaka anunuliwe Mimi ni ke
Achana na hao wavulana, wanaume tupo kona huku gizani, tukipata moja moja.Heeeee tuvulana tena kuwa na adabu wewe, kwani na Wewe ulikuaje si ulikuwa kivulana tu afadhali ya yule
Hahahaaa,haya bhana!
Coco bella toto ya mjini!!


miss u thoughSasa si upange guest..shida ni nini
Achana na hao wavulana, wanaume tupo kona huku gizani, tukipata moja moja.


haya mwanaumeHaa, ngoja kwanza...Jamaa ndo kaikimbia papuchi...
Mkuu acha kucheka bhana. Huku ndani natanianaga na hawa Dada zangu humu. Basi kama ningekuwa karibu Walahi wangenimwagia maji kwa kunichamba
Kwa haraka haraka zima na yakwako. Akikublock nawe m'block. Asijione keki. Sijui umenisikia au niongeze sauti
Safi sana hapo tupo pamoja...sasa ukipita pande za A- town mwenyeji wako nipo na grass ya wine nakusubiri.Sauti inatosha kabisa kashachezea block kitambo sana
Mbona naona nyota nyota sasa ww ni me au me?
Safi sana hapo tupo pamoja...sasa ukipita pande za A- town mwenyeji wako nipo na grass ya wine nakusubiri.



Salama za kwakoDada yangu, Habari za uzima
Kwakweli usijali furahia maisha