Njopino
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 3,470
- 5,050
Siwezi kukufanyia hivyo nitakulinda hadi umalize kuchota wese hata sigara siwashi. Niamini.Wewe ndo utachomoa betri nife kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi kukufanyia hivyo nitakulinda hadi umalize kuchota wese hata sigara siwashi. Niamini.Wewe ndo utachomoa betri nife kabisa
Njoo Pm tuyajenge. Achana na huyo wa milembe huko.
pole ila ungenunua hata vya kuzugia
Siwezi kukufanyia hivyo nitakulinda hadi umalize kuchota wese hata sigara siwashi. Niamini.
Nzuri, Sana ubarikiwa sanaSalama za kwako
Huyo jamaa hajielewi kabisa. Unamlazimisha mwanamke akununulie vitu? Utakuwa umekutana na mgogoHuyo jamaa ndo alitaka anunuliwe Mimi ni ke
Mtu anakuja kwako unamlazimisha akununulie vitu? Huo ni uwendawazimu kabisapole ila ungenunua hata vya kuzugia
Lilikua jini hilo!Mtu anakuja kwako unamlazimisha akununulie vitu? Huo ni uwendawazimu kabisa
Lilikua jini hilo!
Aiseee hajanipata bado kwa hilo hiyo pesa yangu saa hizi nishatoka CHAKO NI CHAKO kutafuta Kuku nadhani wenyeji wa Dom wanapajua
Kuku mzima bei gani hapo
Ngoja nikakomaze ubongo great thinkers ivi vistori vinaweza kukudumaza ubongo
kudadadeeeekiii....!!Zote