Mh mahusiano na mtoto wa darasa la tano ticha!!!
Swali la kizushi unampenda au unadhan unampenda sababu ni bikra,huyu bado ni msichana mdg ambaye cdhan ht km anajitambua pia ana wakat wa kutosha mbele yake kufanya maamuz meng ikiwa ni pamoja na kuchagua mume.Kila mtu mzima kapita huko ni wachache sana walowah kuoa au kuolewa na watu waliowadhania ni wake au waumezao walipokua primary au secondary hivo jua maisha hayana formular ucshangae ukambikiri na akaja kukuacha vile vile au hata wewe ukamwacha kwan bado upo safarin mipango yako sio ya Mungu!Nionacho wataka kuwa wa kwanza kwake lina umuhim sana kwako kuliko mengineyo!ndo mana na was was na Upendo wako kwake!
Umejaribu hata kumuuliza kwanin anang'ang'ana iwe kesho? km kweli unampenda wapaswa kujua kila anachoamua na sababu zake kwakuwa wewe ni mkubwa kwake tunategemea uwe mshauri mkuu pia!
Mke mwema ni zaid ya kuwa bikra ndo mana hata ulowatoa mwanzo hukuwaoa kitu ambacho kina nifanya nijiulize km huyu utamuoa kwel km unavodhan!
Kwanza umeanza vibaya, kwa mtu unayemtegemea kuwa mkeo usingepaswa kutangaza hili maana mi naona unafanya matangazo hauitaji ushauri wala huna tatizo na hilo! Kwa uzofu wangu hamna mwanaume wa kweli anayetangaza mambo ya ndani ya mkewe au mkewe mtarajiwa!
Neno langu sio Sheria ila nisingekushaur kuendelea kutangaza maana mpk umehaid marejesho Khaaa....!!!kaz kweli kweli!