Tiketi hiyo rudisha unaenda kufa unaweza usiuone mwaka 2013, unajifariji katika upumbafu wewe akili zako zimehama?, usije ukasababisha hasara kama Yona wa Biblia ukasababisha ndege utakayofariria kuanguka au basi utakalo panda kupata ajari unaweza kuwa ndio mtego wako huo. acha upumbavu! kama anakupenda si asubiri, au unataka ufungue ili uwaachie wengine waendeleze! utapata mtoto si wako ohoo. ushindwe na ulegee.Mkuu yeye mwenyewe kapendekeza iwe hivyo sasa mimi nikikataa nadhani madhara yake unajua yatakavyokuiwa,kuna watu vipanga,madam ameamua na kusema yeye inabidi nifanye hivyo ili nisije kuta washagagadua!!!!
Eti na mama anafahamu kuwa ugeni huo ni wa kumpukuchuwa binti yake?
ndio maana nimesema wamama tunakosea kama kweli hai ndio hii. yaani mtoto wa iaka 17 ama 18 unaruhusu awe na mchumba wa kubanjuana?? my foot chini ya dari yangu usiingie.
Ndo nashangaa hizi guts sijui anazitoa wapi?..isitoshe anadai anaenda hadi kwao.
Kama amemsubiria siku zote, why leo ndo aone ni muafaka kumbandua mwenzie kizibo?
acha tu SnowBall. ila kwa karipio alilolipata hapa hataenda tena kama anaakili
Sasa sikadai kaitwa na binti tena kwa sapoti ya wazazi, na atafika hadi home..lolz!
Unadhani ataacha kwenda, wakati wazazi mmeshatoa sapoti..(by the way, hivi ticha yule binti yako anaweza kumleta home msela wake akiwa angali kwenye level hizi za form four?)
muelimishe kuhusu kujitunza mpaka muoane na umwambie asubiri maana kama asingesema ulikuwa tayari kusubiri if am not wrong... mi nimekutana na b mara moja tu, tena kwa mtu wa chuo.. niligundua tukiwa uwanjani nikashindwaizuia ila ningejua mapema ningengoja tu!! kuku wako manati ya nini????? tafakali chukua hatuaa... ngoja!! haiozzi utaikuta. ni hayo mwanawane.4M6 lazima amalize na kama ni chuo kikuu atakwenda kwa sababu tumeshakubaliana hivyo na kwa bahati nzuri uwezo anao,na mimi ndiye nitagharamika,lakini kwa hili kasema yeye ndiyo maana mimi sitaki kuacha naweza kuacha halafu wajanja wakapitia si unajua tena wakware?!!