Nimeyatimba: Nimesex na mtu mwenye HIV, ni kipindi kigumu sana maishani mwangu

Nauliza, hivi kondomu isipochanika, je, inazuia UKIMWI? Mimi ndiyo michezo yangu, natumia kondomu tu sijui kuna siku virusi vitapenya kwenye kondomu!
 
Naomba connection mkuu
Kuna dawa zinaitwa Prep yaan hizo unameza halafu unadunda kwa mwezi mzima kavukavu na hupati maambukizi. Kwa sasa hizi dawa serikali inatoa kwa wauguzi (madaktari/manesi), wasaganaji na mashoga only.
 
Inapo tolewa elimu kuhusu UUNGU UPO NDANI MWETU nyinyi mnapuuza nakujiona wasomi wa phd.ona sasa unajilaumu kwaujinga ulio ufanya wakuto kutumia AKILI ipasavyo.
Umeweka mbele hisia zako naleo unajuta hapa..sasa sisi unataka tukushauli nini ndugu yangu???
 
Back
Top Bottom