wazinzi nao wana mahakama zao?Shukurani kwa ku-share nasi na pole kwa unayopitia.
Huyo mwanamke ni evil.. na muuaji.. Nchi zingine sasa hivi angeshtakiwa kama ungeyasema kwa mamlaka..
Huyo muache angie kwenye kundi la 20%
wazinzi nao wana mahakama zao?Shukurani kwa ku-share nasi na pole kwa unayopitia.
Huyo mwanamke ni evil.. na muuaji.. Nchi zingine sasa hivi angeshtakiwa kama ungeyasema kwa mamlaka..
Angepakaa mafuta kichwani asingekua anakula pep mda huu bebekea,
Kuna dawa zinaitwa Prep yaan hizo unameza halafu unadunda kwa mwezi mzima kavukavu na hupati maambukizi. Kwa sasa hizi dawa serikali inatoa kwa wauguzi (madaktari/manesi), wasaganaji na mashoga only.
Kashatoa feed back kwenye post nyingine nimeonambona majibu hatoi au kashatangulia madukani!?
KasemajeKashatoa feed back kwenye post nyingine nimeona
Kasemaje
Nimesoma nimeona kaweka kipimo baada ya kumaliza PEP kiko fresh aiseeKasemaje
naomba unitagieKashatoa feed back kwenye post nyingine nimeona
Mrejesho uko hapa mkuu...njoo ulete majibu mwamba Aramun
naomba unitagie