Mimi nilifaulu peke yangu darasani, na wenzangu wachache walienda shule za private, wakati huo tunakaa wilaya ya Monduli, hivyo kwa mila za enzi hizoo wengi walikuwa wanatoroka kuolewa au kuingia kwenye umorani,
Mpaka sasa sijaweza kuwapata classmates was std 7 kwani mzee alihamishwa mwaka huohuo, siwakumbuki wengi majina yao maana ni miaka mingi sana
Lakini kwa waliosoma Mazoezi Primary School, kama mnamkumbuka Nsiande the monitress....
<br />Ingekua watu wana real id's maybe ingekua rahisi kukutana na classmates humu pia haha.
<br />Duh,aiseee inabidi nianza utaratibu wa kutoa "shikamoo" kabla<br />
sijaanza kuchangia mada humu.<br />
It's a challenge kumheshimu mtu hata kama humuoni au yuko mbali.
<br />Mimi kuna siku nilihisi kuna mtu anachomoa wallet yangu kwenye back pocket, ile nageuka tu nakumbana face to face na classmate wangu ndio kibaka wangu, nilimlembea bonge la mkono kwanza halaf ndio tukaulizana habari za shule na kupoteana.
<br />
<br />
khaaa! Wewe jambazi classmates wako vibaka. Umesoma shule gani wewe?
<br />darasa letu tulikuwa na Faiza Foxy na Malaria Sugu, sote tulifeli std seven na tukasambaratika mpaka tulipokutana tena hapa jf_hivi karibun tulivotembeleana ndipo nikajua MS anaish kwa mtogole, mimi kwa sokota na FF kwa tumbo
<br />Nimesoma shule moja na rais Mkapa. Huyu kibaka nazani alikuwa mutation tu.
hahaha ! kloro si uliniambia ulisoma darasa moja na Zombe ?Nimesoma shule moja na rais Mkapa. Huyu kibaka nazani alikuwa mutation tu.
<br />
<br />
inasemekana ulisoma madrasa tu. Lol.
heheeh kamanda nilikudefend sana aisee! kina ze finest walipakazia umeonekana igunga kwenye kampeni uko tumbo wazi na bendera lako la CUF. mimi nilibishahahaha ! kloro si uliniambia ulisoma darasa moja na Zombe ?
<br />Sasa mbona unaquote post yangu wakati mlengwa ni Uporoto? uko via mobile nini?
duh! ungejua mi hupiga kura tu tena kwa kufunga macho lol! thread gani mkuu niwape maneno yao ?heheeh kamanda nilikudefend sana aisee! kina ze finest walipakazia umeonekana igunga kwenye kampeni uko tumbo wazi na bendera lako la CUF. mimi nilibisha
<br /><br /><br />
<br /><br />
hahahaha! Watu mna visa.lol.
<br /><br /><br />
<br /Malaria Sugu na Faiza Foxy ndo walikuwa wanaongoza kwa tabia njema the rest tulikuwa balaaa
<br />
<br />
huyo bebi wangu amesoma hadi amekutana na kibao kimeandikwa mwisho wa elimu.
Uporoto bebiiiii!!
kumbe upo ? mambo mpangaji wa moyo wangu ? mwambie hamna cha via mobile siku hizi ni Macintosh lol!huyo bebi wangu amesoma hadi amekutana na kibao kimeandikwa mwisho wa elimu.
Uporoto bebiiiii!!
Ile sredi nimeisahau na sasa hivi ile password yangu ya Umod imekuwa deactivated mpaka kesho. unajua sku hizi mod tunafanya kazi kwa shift.duh! ungejua mi hupiga kura tu tena kwa kufunga macho lol! thread gani mkuu niwape maneno yao ?
Kweli Tracy hajui kiswahili ye ni kihehe tu lol!Hamni jump roho bana! hebu tembelea profile langu nimepata bonge la zali, kuna kamchumba kanaitwa tracymatusi, hata kiswahili hakajui kamenidondokea.