Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
- Thread starter
- #101
Mimi nilifaulu peke yangu darasani, na wenzangu wachache walienda shule za private, wakati huo tunakaa wilaya ya Monduli, hivyo kwa mila za enzi hizoo wengi walikuwa wanatoroka kuolewa au kuingia kwenye umorani,
Mpaka sasa sijaweza kuwapata classmates was std 7 kwani mzee alihamishwa mwaka huohuo, siwakumbuki wengi majina yao maana ni miaka mingi sana
Lakini kwa waliosoma Mazoezi Primary School, kama mnamkumbuka Nsiande the monitress....
Ingekua watu wana real id's maybe ingekua rahisi kukutana na classmates humu pia haha.