Nimewaona,nimemshukuru Mungu

Nina amani sana tu na maisha yanaendelea kama kawaida. ahsante ashsdi
Hivyo ndivyo inatakiwa SaraM my dear. Kuukubali ukweli na hali halisi. Kuishi kulingana na hali iliyopo na si kujutia. Nimekugongea LIKE pale juu, kaikague.
 
Uzuri ni kuwa anajua salamu kazipitishia kwenye mikono salama.........


Wee unafikiri kwa nini nakuita My Great old shem??.... I am safe with you.... let alone yale yanayopitishiwa mikononi mwako..... hata salam pia...
 
Karen dear... Mie naamini saana moja ya njia ya kua na Amani... ni kutambua ulipo is the best thing na kwamba Mungu ndio kakuwezesha - hivo kukufanya siku zinapozidi kuenda uendelee kubarikiwa... Thus kutambua kwako hivo... means una bahati ya huo utambuzi meaning uko appreciative ya maisha yako... Hongera kwa hili pia... Stay blessed.

Thanks my dear! Stay blessed too.
 
Hivyo ndivyo inatakiwa SaraM my dear. Kuukubali ukweli na hali halisi. Kuishi kulingana na hali iliyopo na si kujutia. Nimekugongea LIKE pale juu, kaikague.
Ahsante nimeikagua aspin,mbona nikibinya ina feint?
 
Well sisi tulianza darasa la kwanza tukiwa 75 ila tuliomaliza nadhani tulikua around 60...wengi walirudia darasa la nne .
Zaidi ya 15 tulifaulu...waliobaki nna uhakika kuna baadhi walifanikiwa kuendelea kwenye shule za private...wengine wakarudia darasa la saba na wengine well i don‘t know waliamua kufanya nini.
Kwasababu ya kuhama nimewapoteza wengi wa waliokua marafiki zangu.Ila mwaka 07 nilifanikiwa kuwaona baadhi bado wakipiga kitabu nikafurahi kweli. Sasa hivi kuna wawili najua wako chuo...mmoja Dodoma na mwingine UDSM ila hatuna mawasiliano.... nikipata nafasi ntawatafuta.

Good memories...

Wow,short and clear.
Safi sana,siweze elezea furaha unayopata pale unapokutana na rafiki zako
wa utotoni.
Wengine mlikua mnapigana sana,baada ya masaa mawili mnageuka kuwa marafiki sana.
Marafiki wa ukubwani mkikosana kidogo tu,achilia mbali kupigana kupatana ni shughuli.
 
Dinnah kumbe bado uko chuo? Soma dada, angalia usije ukawa addicted na JF nawe ukaishia mwaka wa pili.........

Haya log out, kashike kitabu..........:A S crown-1:

Hii thread imenifundisha mengi sana,achilia mbali kumbukumbu za
watu,ila nimejiona mdogo kupita wote maana utasikia mwingine.
"classmate wangu anafanya PHD saivi,mwingine sijui yuko wapi",...wakati
wengine hapa mh,hata degree bado tunahesabu miezi kadhaa mbele.
 
Mara nyingi tunaangalia mbele na kusema "sijafanya chochote maana ninapo enda ni mbali sana"

Week iliyopita nilikutana na class mates wangu tulio maliza wote darasa la saba (LY,haha)
Nikakumbuka,katika darasa lile,tulimaliza watu 68 mwaka huo ila:-
*ni watu wa nane (8) tu tulio chaguliwa kuingia kidato cha kwanza.
*katika hao wanane,ni watu 6 tu tulio maliza form four
*katika hao 6,ni wawili tu tulio ingia advance.
*katika hao wawili,tuliingia wote chuo.

Nikafikiria,hao wengine 66 wako wapi?
Ofcourse,wengine hawakusoma lakini wana maisha mazuri tu,ni kama wa3 kati ya wote
ninao wafahamu.

Nilitokwa na machozi kwani hii ilikua sababu tosha kwangu
kumshukuru Mungu kwani alipo nitoa ni mbali haijalishi naenda wapi.

Unawakumbuka watu ulio maliza nao darasa la 7(maana hawa ndio mlikua wote utotoni)?
wako wapi na wana hali gani?

Dah, umenikumbusha mbali mkuu. Ni kweli nina kila sababu ya kumshukuru Mungu. Hadi kufika hapa tulipo ni mengi yametokea. Tumekutana na marafiki wengi na wengi hawapo.
Class mate wangu wa mwaka wetu wa LY, mmoja tumesoma naye chuo kikuu, wengine wapo tu mtaani.
Wengine wametangulia mbele za haki,
Wengine ni wajasiliamali wazuri,
Wengine ndo hivyo,
Lakini ni kweli tuna kila hali ya kumshukuru Mungu.
 
love hapo kwen underline...nakubaliana na wewe kabisa, in a hard way....thats how life is

kwenye blue...I wish kuwe na ka reunion flani hivi, lakini how would they deal with inferiority complex? kwamba while yeye anafikiair watoto labda 6 hivi na amechoka, anajichanganya vipi na mtu aliyekuwa anakaa naye, kula naye, kucheza naye at the same level leo hii ni 'ntu mkubwa tu'? inauma sana aisee

Love, please give me my favourite drink before I go down....


Sidhani kama watapata inferiority complex kama utakaa nao
na kuongea nao bila kuonesha changes yoyote.
I mean,uwe wewe yule yule walie kuzoea.

Kwa mfano mimi tulipo kutana,ghafla nilikumbuka majina yote niliyokua nawatania na waliyokua
wananitania,tukaanza kutaniana tena while having a few drinks na kubadilishana mawazo ya kimaisha.

trust me,hata kama wameishia std 7,wana ndoto na mawazo mazuri sana ila hawawezi kuyafanyia kazi.
Kaa nao,pamoja na utani wa zamani ambao utawaonesha kwamba "he/she is still the sama clemmy we used to go swim in the ponds with"
hawata feel inferiority complex.
 
Back
Top Bottom