Nimewamiss!!!!!!!!!!!!!!

Hivi huyu ni mumeo ama mchepuko wako?? Maana naona unajipa cheo sio chako aisee rekebisha kauli yako kabla sijakubadilikia

Dena Amsi ni mchepuko wangu samahani sana duh unajua ukipenda kitu unajikuta unaongea tu maneno mabaya... mmmh dada Dena Amsi mume wako kaenda wapi sijamwona nataka nitoke nae
 
Daaah mkuu Tized kang'oa hivihivi tunamuangalia
 
Last edited by a moderator:
ahhh sasa DA mbona umekuwa na haraka hivoooo?? umeshindwa kunisubiri aisee turudi wote, mimi nimebakiza kama ekeri mmoja hivi ya mahindi na mm nirudi town, leo nimekuja dareda mjn kununua magunia ndo maana nimekaotea ka network bhana.....
NWY; wasalimie hasa hasa mke mdogo wa Mr Rocky.(miss chagga)
 

Sikujua kama na wewe upo huko
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…