Nimewakumbuka, MMU Legends

PakaJimmy uko wapi nakuita mwenzio baada ya kuona huu uzi nimekumiss sana you know
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Mbu

We mbaya wako alikuwa Yo Yo
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Mbu

We mbaya wako alikuwa Yo Yo
 
Last edited by a moderator:
Nawakumbuka Kaunga na ladydoctor kwa busara zao. Lara_1 kwa kuturusha roho na pasua kichwa wetu
 
Last edited by a moderator:
mr Mbu mie nipo tu naona siku hizi tumezeeka
alikuwepo pia Pearl lovely Preta @WOS au @WomenofSubstance nanilihu RR NGULI na wengine kibao kweli old is gold

siku hizi inapita miezi miwili hatujachungulia huku ni juu ya nini?

Wowwww!!!! So nice kukusoma tena. Yeah, acha kabisa....kumbukumbu taamu za miaka ile, siku nzima tunaganda kuijadili mada muhimu ya siku...

Kwakweli majukumu yametuzidia, alijisemea BelindaJacob, "ameiteka roho yangu!"
 
Last edited by a moderator:
Aksante Mbu kwa kutukumbuka. Wengine tushazeeka hata meno ya kutafunia ugoro hatuna.

Salamu kwa malijendi wote....

.......my one and only #SoulMate ...... acha kabisa,
Enzi hizo mzee Asprin anashangaa eti "alikuwa wapi siku zote!"

"Kujipendelea" was our motto na ilikuwa muhimu sana.
Respect to you madame MwanajamiiOne!

Peace & Love.
 
Last edited by a moderator:
.......my one and only #SoulMate ...... acha kabisa,
Enzi hizo mzee Asprin anashangaa eti "alikuwa wapi siku zote!"

"Kujipendelea" was our motto na ilikuwa muhimu sana.
Respect to you madame MwanajamiiOne!

Peace & Love.

Hahah Soulmate Mbu enzi zile Babu Asprin alikuwa analala na fimbo mlangoni..... Mjukuu Mtiifu asitoke.

Dah... MMU ya zamani ilikuwa kama one big family kwa kweli.
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Mbu
Hahah Soulmate Mbu enzi zile Babu Asprin alikuwa analala na fimbo mlangoni..... Mjukuu Mtiifu asitoke.

Dah... MMU ya zamani ilikuwa kama one big family kwa kweli.

Siku hizi mjukuu mtiifu amekuwa mtukutu. Babu akimwita aje akaguliwe anagoma.

cc moskwito Mbu. Nimekuachia soulmate wako, ukimshindwa mrudishe kwa wajomba zake.
 
Last edited by a moderator:
.......my one and only #SoulMate ...... acha kabisa,
Enzi hizo mzee Asprin anashangaa eti "alikuwa wapi siku zote!"

"Kujipendelea" was our motto na ilikuwa muhimu sana.
Respect to you madame MwanajamiiOne!

Peace & Love.

Hahahahaaha kweli mbali sana....

Enzi za mjukuu wangu MwanajamiiOne anauliza "Tukatike au tusikatike?" Ilikuwa raha na utamu.

Kingo za nini???
 
Last edited by a moderator:
Wowwww!!!! So nice kukusoma tena. Yeah, acha kabisa....kumbukumbu taamu za miaka ile, siku nzima tunaganda kuijadili mada muhimu ya siku...

Kwakweli majukumu yametuzidia, alijisemea BelindaJacob, "ameiteka roho yangu!"

Hivi ni kuzidiwa kwa majukumu utoto umetawala. Maana kwa sasa zinaanzishwa thread 200 kwa siku. Zote za kitotototo tuuuu.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaha kweli mbali sana....

Enzi za mjukuu wangu MwanajamiiOne anauliza "Tukatike au tusikatike?" Ilikuwa raha na utamu.

Kingo za nini???

Hahahha Babu Asprin hiyo ya "Tukatike au tusikatike" umenisingizia akhaa..... Mtiifu anaanzaje sasa kuulizia makitu kama hayo?
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Mbu
Siku hizi mjukuu mtiifu amekuwa mtukutu. Babu akimwita aje akaguliwe anagoma.

cc moskwito Mbu. Nimekuachia soulmate wako, ukimshindwa mrudishe kwa wajomba zake.

Akhaa.... Babu umesahau kuwa mamangu yaani Mwanao alisusiwa mimba yangu na wewe ukaapa ndio utakuwa mlezi kamili? Hao wajomba wanatokea wapi tena?

Na wala hatonishindwa basi ujue.... si kwa dua hilo.
 
Last edited by a moderator:
Akhaa.... Babu umesahau kuwa mamangu yaani Mwanao alisusiwa mimba yangu na wewe ukaapa ndio utakuwa mlezi kamili? Hao wajomba wanatokea wapi tena?

Na wala hatonishindwa basi ujue.... si kwa dua hilo.

Tangu ugome kukaguliwa.... wajomba zako walifufuka ghafla.....
 
mr Mbu mie nipo tu naona siku hizi tumezeeka
alikuwepo pia Pearl lovely Preta @WOS au @WomenofSubstance nanilihu RR NGULI na wengine kibao kweli old is gold

siku hizi inapita miezi miwili hatujachungulia huku ni juu ya nini?

Kukumbukwa na FirstLady1 ni zali la mentali.

Naona maisha yanabana, na kizazi kingine kina kuja kwa fujo. Wacha niinjoi pensheni yangu.
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Mbu
Kukumbukwa na FirstLady1 ni zali la mentali.

Naona maisha yanabana, na kizazi kingine kina kuja kwa fujo. Wacha niinjoi pensheni yangu.

Khaaaaaa!!!! Gwiji nilikusahau aisee kumradhi, upo lakini mkongwe?

RESPECT BRO.
 
Last edited by a moderator:
Reactions: RR
Hivi ni kuzidiwa kwa majukumu utoto umetawala. Maana kwa sasa zinaanzishwa thread 200 kwa siku. Zote za kitotototo tuuuu.

Hahhhahha! Chezea dotcom wewe? Wameacha nyonyo wamedakia keyboard ku type jf.....

Si MMU, siasa wala jf doctor kote wapo,......almuradi ukiwa free kusoma jf siku hizi unakuta mtu anaanzisha topic asb anauliza, anajijibu, kisha anajishangaa mwenyewe kwenye topic ya pili anayoanzisha mchana...

Wapi Teamo? Jamaa nae sijui kawa mchungaji siku hizi, kimyaaaaa.....
The Finest? ......hahhahh, ushaoa wewe ee?! Au ndio ule upako ushakukolea?

Respect bro.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…