Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

thats very true nahis anaogopa zaid kuachwa kuliko kua free na nafsi yake

yaani anatia huruma huyu dada
awe na amani tu tena wala asingehama kanisa angeendelea kua pale pale tena ht km ingetokea rumors angefanya hajali

mbona watu wanapitia magumu mengi tuu
 
unaulizwa umeanza lini mahusiano chuo .. wakati darasa la saba ndiyo umeanza.... haya umetembea na wangapi mmoja we wa pili.. kudadeki ukiweka list hapo coaster inajaa.. ha haha shoga wee mie nakudanganya mpaka unaona ukweli,,, ukibisha kitandani nalia wakati wa kunjunjana

Hhhhaaaaaaaaaaaaaa,halaf ye aseme kweli thubutuuuuuuu
 
Unajua mamy Kama alipangiwa wako wala hainA maaana Ila Kama hakua wako lazima utamkosa tu ni saw a na kutaka kubadili cheupe kiwe chekundu duh haiwezekani

Saa nyingine inabidi upange maisha yako mwenyewe ukisubirii unaweza zeekea kwenu,uzuri hakufanya uchagundoa akiwa nae anyamazeee
 
Pole sana, ila hizi details ulizoweka humu mhhhhhh! Kama hayumo humu ni ahueni kwako au mtu mliyekuwa mnasali pamoja ambaye anaweza kujumlisha hizi details na kupata jawabu wewe ni nani. Pole sana tubu kwa mola wako kisha umuombe akusaidie. Ukiamua kufunguka hujui mwenzio ataumia vipi na maamuzi yake anaweza kabisa kukupiga chini. Pole sana.

Mwambie nawe nyie wanaume nyieee bora kuwanyamazia tu utatubu kwa Mungu hhhaaa
 
  • Thanks
Reactions: BAK
eti kaka yangu wewe unaweza kumwoa msichana aliyewahi kujiuza tena miaka kitatu?

Achana nao maana hao ndio wanaofanya uishi kwa hofu mpaka watu wanakushangaa unahama mpaka mahali pa kuabudia.!! halafu hao makahaba mpaka kanisani ni wameokoka au ndio busines as usual... they don't deserve ur attension you are no longer a prostitute
 
shosti weee ukianza uongo unakuwa forever hata picha ikija unabisha .. usije jaribu kusema ukweli.. si kila ukweli utajenga

niko mdhaifu sana mbele yake najihisi siwezi kabisa kukataa ikiwa ataelezwa
ukimpenda mtu unageuka mtumwa na zezeta na nampenda sana jamaa
 
usimuambie mpenzi kufa nalo moyoni
pole sana dada maisha haya jamani watu wanapitia mapito mengi sana
geniveros umeona ee tumemuambia apige kimya pia akae mbali ana hao marafiki zakeee ,kama anaitaka hiyo ndoaa
 
Last edited by a moderator:
VP ulivyokuwa unajiuza ushawahi kutoa PETE?
hapana at all sikuwa nakubali wateja wa full night ambao ni wapenda hiyo tabia
just part time wateja hata kama anatoa hela nyingi skutaka mteja la kulala naye....

now can u marry a woman like me...in case nkitoswa???
 
Unaifaham stara ya mwanamke

Siijui ndio ya rangi gani?
Nakubali ukweli sawaaa lakin ukweli mwingine hubomoa pia inategemea na akili ya mumee,kama mume akili yake mbayuwayu wataambiwa hadi mawifi hadi marafiki,labda kama huyo mwanaume ni malaikaa mi napinga hilo hakuna cha stara wala stata
 
niko mdhaifu sana mbele yake najihisi siwezi kabisa kukataa ikiwa ataelezwa
ukimpenda mtu unageuka mtumwa na zezeta na nampenda sana jamaa
kama unampenda basi usimuumize na historia yako ya maisha.... ingekuwa vyema kama ungefanikiwa kumuuleza mwanzoni kabisa yeye achagu e anakuwa na mtu wa namna gani.. we mambo yameiva unajifanya kusema bibi wewe utajitafutia safar..... usitengeneze fimbo ya kukuchapia hawa viumbe waone tu wanakojoa wamesimama ni hatari sana ... matatizo yako watayageuza yawe rungu ila kama unajua ana mdomo wa kukusitir mweleze kheeeee nani atakubali kuoa changudoa atajuaaje umeacha? akiona dalili za kuchitiwa bibi utaambiwa umeanza uchangudoa tena... my word usimweleze
 
Tumia ujuzi ulioupata wakati wa uchangudoa wako kulinda penzi/uchumba wako. Mengine yaachie wakati! Utajua mbele ya safari lakini sasa kufa na siri yako!
 
hi samora
umenichuniaga sana
je can u be ma husband in case likibumburuka na jamaa akaniacha?

Why not? kwani huyo jamaa yeye msafi kiasi gani? Kama alishalala na mwanamke zaidi ya mmoja na huyo mmoja sio wewe hamna tofauti hapo... but ndio maana nimesema bury the past and move on, ila kama unataka kua honest just tell him kama anakupenda kwa dhati hatakua shida kwake, kama penzi maghumashi atakuacha but that should not dissapoint you!
 
niko mdhaifu sana mbele yake najihisi siwezi kabisa kukataa ikiwa ataelezwa
ukimpenda mtu unageuka mtumwa na zezeta na nampenda sana jamaa

Naomba umwambie leo halafu utuletee jibu humu
 
Back
Top Bottom