Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

Marytina

Usijaribu huo upuuzi.Kuwekana wazi mara nyingi ni mambo ya kufikishana kileleni na sio past zako
 
Last edited by a moderator:
Vp na T.G. iligongwagongwa kidogoo
Na utamu wake Vp bado waukumbuka?

Je? unatamani siku moja tena u...T.G.gike
sikuwahi kufanya kinyume, ELIZABETH alinielekeza namna ya kuchuja wateja na mmojawapo ya mbinu ni usikubali kunywa pombe wala soda ya usikubali mteja wa usiku kucha...i just pick short time clients ambao hawawezi kukulazimisha matakwa yao
 
Hayo yalishapita ushaomba msamaha kwa muumba wako,kwa wanaume w kibongo ukimuambia ukweli siku mkikosana ndio silaha ya kukuumiza wewe utaambiwa ndio maana ulikua changudoa ,mwambie sasa utayaona tunayokuambia

sasa mnazidi kuniumiza, na ananishangaa kwa nini sipendi mikusanyiko kama sherehe na harusi, pia nilihama kanisa baada ya kukutana na mdada mkenya pale kanisani mjini nlihofia anaweza kuvujisha siri
 
Utakuwa ndani tayari, not now ndio anataka kuchukua mzigo atakimbia kama kaona nyoka ubaki na Padre kanisani.

sasa tukishaoana nkaachika akaanza kusema mtaani si itakuwa bonge la aibu
 
Ndio uwe mbali nao wataanzaje kumuambia mumeo hayo mambo ,kua mbali usiwe na mazoea nao,ukiwaweka karibu lazima watakuharibia maana mtaweza gombana siri ikatokaa

huwajui wakenya wanavyopenda kulazimisha urafiki yaan ni ngumu kuwakimbia wakijua napoishi nimekwisha
 
read between the lines am proud of what you did as a sisiter to your siblings. and looks like what you want is only marriage you dnt care the consequences anyway utajisikiaje pale ushaolewa halaf anakuja kujua kuhusu hyo tabia yako na akakuacha cz ya hilo swala? ipi ni aibu kubwa kwako?
anyway mi kwangu ukija ntakutreat kama ambavyo walikutreat
mmh ngumu kuamua
so...in any way hutaki kuwa na shemeji aliyewahi kuchangudoa????? mbona mnataka nijiue
 
Sio kila ukweli humuweka mtu huru. Labda nafsini mwako tu ila kwa mwingine ukweli wako unaweza kuwa tofauti. Me naona kama unahisi hao wakenya waliopo chuga watakisanua kwa bf wako bora useme tu naamini kwa ulivyoelezea hapa japo kwa ufupi mtu mwelewa na anaekupenda atakuelewa na kukuonea huruma. Ila kama wakenya hao hawana connection na bf wako me naona hamna haja ya kusema maana kuna siri zingine zakubaki nafsini mwa mtu hadi anazikwa nazo.
 
Piga kimya ulifanya hyo biashara haramu c kwakupenda bali matatizo. Na biashara ulifanyia Nairobi si arusha labda kama ulikitembeza ad arusha hapo itakua noma.
 
uongo kwenye mapenzi ni silaha tosha
...mpaka leo zaidi ya wakenya nliokuwa najiuza nao ni mama tu anayejua, hata wadogo zangu hawajui kuwa nilijiuza

ila shosti what if akijajua tukiwa ndani ya ndoa nkaachika sii bonge la aibu????
 
mmh ngumu kuamua
so...in any way hutaki kuwa na shemeji aliyewahi kuchangudoa????? mbona mnataka nijiue
kama nlivyokwambia kua hukufanya kwa mapenz yako ila mazingira yalikulazmu kufanya hvyo? kuna tatzo gan kumwambia as long mpka sasa hujaonyesha tabia tofaut kwake so ataumia ila kama kwel ni muelewa talichukulia hilo swala in positive way! ila warning usje ukafnya chochote relating to uchangudoa hapo utamfanya aamin kua baado una hizo tabia

anyway kujiua iweke last option kama hata kama mim ntakukataa
 
unazidi kuniumiza
hata wadogo zangu hawajui kama nlikuwa najiuza NAIROBI wakati wa LIKIZO....so i do believe hata mchumba wangu anaweza asijue hii siri maisha yake yote.Only my mama anajua hata baba na mjomba wahajui

ndo mana nimekuambia hakuna siri chini ya jua mama
 
Mwambie huyo mchumba wako kuwa maisha ya Arusha yamekuchosha hivyo ungependa mkatafute maisha Lindi au Mtwara ili kuwa mbali na hao rafiki zako.
 
sikuwahi kufanya kinyume, ELIZABETH alinielekeza namna ya kuchuja wateja na mmojawapo ya mbinu ni usikubali kunywa pombe wala soda ya usikubali mteja wa usiku kucha...i just pick short time clients ambao hawawezi kukulazimisha matakwa yao
Basi haina taabu mueleze tu
Sababu hajakukuta Bikra.
Ila usitumie neno changu
tumia neno'' wakati ninakuwa''
Pengine na yeye amewagonga wengi kushinda wewe ulivyogongwa.
N.B.
Aanze kujieleza yeye.
kwa ushauri zaidi karibu PM.
 
huwajui wakenya wanavyopenda kulazimisha urafiki yaan ni ngumu kuwakimbia wakijua napoishi nimekwisha

Kama unapenda kuolewa kaa mbali na marafiki hao hao wanaweza kukupiku ,,,unaweza kuwaepuka tu na wasije kwako kwa kujifanya haupo umesafiri kila wakikytafuta waambie umesafirii na badilisha mawasikiano
 
Sio kila ukweli humuweka mtu huru. Labda nafsini mwako tu ila kwa mwingine ukweli wako unaweza kuwa tofauti. Me naona kama unahisi hao wakenya waliopo chuga watakisanua kwa bf wako bora useme tu naamini kwa ulivyoelezea hapa japo kwa ufupi mtu mwelewa na anaekupenda atakuelewa na kukuonea huruma. Ila kama wakenya hao hawana connection na bf wako me naona hamna haja ya kusema maana kuna siri zingine zakubaki nafsini mwa mtu hadi anazikwa nazo.
baada ya matatizo yote ya utotoni kwa sasa nimekuwa mpole sana
nilikuwa kiongozi wa vijana kanisani ila nlilazimika kuhama baada ya MKENYA MDADA flani kuanza kuhudhuria huduma ya hapa kanisani.
BF alinishangaa kwani nahama kanisa ninaloheshimika kwa namna nlivyowaongoza vijana na mchungaji aliingilia akinitaka nisihame....mwishowe nikahama kilazima mkaanza kusali kikanisa kidogo njee ya mji....nayaona maisha yangu yoote yamejaa uongo nateseka sana
 
Back
Top Bottom