miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
shosti weee ukianza uongo unakuwa forever hata picha ikija unabisha .. usije jaribu kusema ukweli.. si kila ukweli utajenga...mpaka leo zaidi ya wakenya nliokuwa najiuza nao ni mama tu anayejua, hata wadogo zangu hawajui kuwa nilijiuza
ila shosti what if akijajua tukiwa ndani ya ndoa nkaachika sii bonge la aibu????