ndio. alishirikishwa. ni mchungaji wa kanisa tunaloabudu. ndio yetu ni ya ki kristo na imefungwa kanisan na harusi kubwa kabisa. hakuna kitu ambacho katika ndoa yetu naweza kusema hakiko sawa. maisha yetu ni mazuri. uwezo wa kufanya mapenz ninao tena uliozidi kidogo. mtoto wa kwanza nimefanana nae kila kitu. nina uhakika ni wangu. hii hali ya utulivu na mapenz nilioonyesha kwa mke wangu na familia ya kwao pamoja na ucha mungu wetu. ndivo vinavyoniumiza nikifikiria kuwa mtoto anaweza kuwa sio wangu. kwa sabb zip. kwa mapungufu gan hayo mpaka niletewe mtoto asie wangu.
Kama aliondoka kwa miezi miwili huyo mtoto ni wako ila hata ukifanya DNA ukadhibitisha ni wako ndoa haipo tena. Pole sana