Nimevurugwa sina hamu na mwanamke

Nimevurugwa sina hamu na mwanamke

90% mtoto si wako lakini kuna DNA Nenda kapime simple na sio sehemu moja tatu! na umuache kwa amani. Hata biblia inasema ndoa itavunjuwa kwa ajili ya UZINZI!! Pole.
 
pole mkuu hata mm kuna demu jap anaish .na jamaa mwingine anasema yule mtt c wajamaa niwangu nikijarib kupiga hesab muda tuliokutana kupeana hyo mimba inakataa ila anakomaa mtt niwangu .yule jamaa amembambika tuu duuh yaan nitab na nnadaiwa matumiz mara kw mara.ila kw ww mm nashauri ndoa ife tuu hamna jinsi kishakuw msaliti huyo utalea toto c lako nd badae yanakuja kuw na tabia za ajab linakuja kukuvunja na miguuu
 
Duuuu! pole sana mkuu...ila...wanawake wanajua sana ku-pretend...na anaweza kuongea kwa huruma na msisitizo ili uamini...mkuu kulea au kutunza damu ya mtu mwingine ni kitu ambacho sikipendi sana...hapo lazima upime DNA na uwe umishaandaa majibu...ya ikitokea kuwa damu yako na ya mtoto haziendani utafanya nini....yaan miezi yote hiyo mwanandoa yupo nje ya kwake? halafu na wewe upo tu? kwanza...ana kazi gani? alienda kikazi au? Usikubali kulea mtoto wa mwingine bhana...kama yeye alidhani kuwa anapanua miguu ili wengine wapigemo wewe uje ulee...hiyo haikubaliki...anza kutafuta mke mwingine taratibu ili ujiandae kisaikolojia...
 
DNA ndio kiboko ya msaliti kaka,kumbuka msaliti hana alama !
 
Aiseee Interest stories,,,, wanawake sijui wakoje ivi ulishawahi kumpiga kidog au kuna matatizo wakati wa mambo ya chumbani mana mpk kaamua kuzini nje ya ndoa sio jambo la kitoto lakin maji yalishamwagika na mchele ushapikwa na huna budi kuula kama una moyo.... laiti ingalikuwa ni mim ningesubiri nione hiyo DNA alafu uamuzi kama mtoto si wangu basi tunaachana kama mawingu na ardhi alafu maisha yanasonga ukibaki nae anaweza kuwa nyoka kwako kama mwanzo ameonyesha makucha makali kama hayo... pole sana mkuuu
 
Nadhani unachanganya kati ya wasiwasi (worry) na machale (sixth sense)...

Wanausalama hutumia hisia ya sita au machale na sio wasiwasi...

Pia jiulize je akimpima huyo mtoto na kugundua ni wake?

Wasi wasi nao wakat mwingne unasaidia( kwa wale walinzi na wanausalama huwa mara nyingi wanatanguliza wasiwasi kwa kila akionacho hakiko sawa) na je akiridhika akakaa kimya wakat mtoto sio wake?
 
Kuna sehemu umeandika kuwa mke wako alisafiri mwezi wa sita mwishoni akarudi mwezi wa nane. na inaonekana mimba alipata mwezi wa sita. Kwa maelezo haya nahisi inawezekana ulimtia mimba mwezi wa sita mwanzoni kabla hajasafiri. Jaribu kufanya uchunguzi ujiridhishe vya kutosha. Maana kuna wanawake wanapata mimba anakaa muda mrefu tu hajajua kama ana mimba. Usiporidhika basi DNA ndio itaamua. hata hivyo mtoto akionekana ni wa kwako sijui utaficha wapi uso wako. Ni mtazamo wangu tu.
 
Ngoja nikwambie kitu inawezekana mtoto siwako au wako1inawezekana mkeo alibeba mimba ck anaondoka naakawa anablid bilakujua ana mimba 2,au nikweli mimbasiyako kapime iliuwe nauhakika ndouchukue maamzi.hatahivyo kitanda hakizai haramu huenda aliteleza mlize kwaupole namwbie iwapo utakua mkweli nitakusamehe mbona nyinyi wanaume mnatulitea watt tunalea namaisha yanaenda?iweje ss?jipe ujasiri tunza siri zandani mwako usijechekwa na ndugu jamaa na marafiki wewe nimwanaume tatua tatizo usiongeze.unaweza muacha ukaoa mwingine akawa malay san ,mkorofi au mshirikina akakuwekea limbwata ukawa zezeta.kua mvumilivu fanyamaamzi sahihi usije kujuta nilicho jifunza kwako umkali san mamboyaka unataka watu ndowayatatue mfano nihapo ulipo kimbilia kwamchingaji pole.
 
Kwakuwa umeweza kuvumilia miezi yote na kuishi kwa hofu,kapime dna ili kujiridhisha maana kuendelea kuishi na hofu ni mbaya na hasa ndani ya ndoa.mwisho utaichukia na kuitelekeza familia yako kwa jambo usilokuwa na uhakika nalo.

kapime dna,ukikuta mtoto c wako,then mama atabidi amtaje mhusika na hapo wewe utafanya maamuzi yako kama ni kumsamehe au la.maana hili lipo ndani ya uwezo wako.
 
Kijana unaonekana wewe ni mtu wa kufuga wasiwasi na mashaka...

Ukianza kujiuliza maswali kama hayo utaishia kuishi bila amani...

Hivi hata tukikuuliza kuwa una uhakika huyo mwanao wa kwanza ni wako kweli utakuwa na jibu gani?

Lea mimba hiyo usije ukaishia kupata dhambi ya kukataa mtoto na hatimaye mwanenu kuishi akisumbuliwa na roho ya kukataliwa...

Ushauri mzuri sana mkuu, hamna kitu kinachoathiri maisha ya mtu kama roho ya kukataliwa
 
I think you only have a bad attitude, kama amekndoka mwezi wa sita mwishoni unashangaa nini au mwezi huo hukulala nae?
FOR BETTER FOR WORSE ndio ndoa ya kikristo. Mimba yako hiyo acha kujiumiza kijinga jinga tu
 
Mkeo alisafiri mwezi wa sita mwishoni.
Ina maana mwezi wa sita mwanzoni mpaka katikati mpaka karibia na mwishoni mlikuwa mnabanjiana...sasa washangaa nini?????

What if baada ya shutuma zote na kumuona mkeo mbaya akazaliwa mtoto copyright na weww???

Unless kama mwezi wa sita wote kabla ya kusafiri mkeo hukulala nae

Anyway kapime dna
 
kapime ngoma na magonjwa mengne za zinaa…na uwe unapima mara kwa mara na pengne tumia kinga kuanzia sasa. Kama mkeo anamahusiano na mtu time will tell…and if not then you will make happy family no regrets…usikimbilie kufanya maamuzi magumu (kumwacha). Hizi ndizo changamoto za ndoa ulipaswa kujua. Isitoshe mna mtoto tayari.


Usiende pima uyo mtoto DNA…mainly kutokana na maelezo yako… unaonekana ni responsible dady…uwezi jua kesho yako..labda uyo mtoto unayedhani siyo wako ndiye atakusaidia zaidi ya uyo wa kwanza unayedhani ni wako. Life can be tricky


Msaada kwa ndugu zake toa kama uko na ziada. Ucfanye jukumu lako.
 
Nadhani unachanganya kati ya wasiwasi (worry) na machale (sixth sense)...

Wanausalama hutumia hisia ya sita au machale na sio wasiwasi...

Pia jiulize je akimpima huyo mtoto na kugundua ni wake?

Akikuta ni wake hapo ndo itakuwa aman ya moyo wake na familia yake .... Hivi ukimwona mtu anakuja maeneo ya nyumban kwako anazunguka zunguka bila sababu yoyote hapo utamhisi kivp? Utakuwa was wasi au machale?
 
Ngoja nikwambie kitu inawezekana mtoto siwako au wako1inawezekana mkeo alibeba mimba ck anaondoka naakawa anablid bilakujua ana mimba 2,au nikweli mimbasiyako kapime iliuwe nauhakika ndouchukue maamzi.hatahivyo kitanda hakizai haramu huenda aliteleza mlize kwaupole namwbie iwapo utakua mkweli nitakusamehe mbona nyinyi wanaume mnatulitea watt tunalea namaisha yanaenda?iweje ss?jipe ujasiri tunza siri zandani mwako usijechekwa na ndugu jamaa na marafiki wewe nimwanaume tatua tatizo usiongeze.unaweza muacha ukaoa mwingine akawa malay san ,mkorofi au mshirikina akakuwekea limbwata ukawa zezeta.kua mvumilivu fanyamaamzi sahihi usije kujuta nilicho jifunza kwako umkali san mamboyaka unataka watu ndowayatatue mfano nihapo ulipo kimbilia kwamchingaji pole.

Mnadanganya sana aisee! Hivi unafikir ni kazi rahisi kulea damu ya mtu? Tena mbaya zaidi ya mchepuko?
Halafu msidanganywe na maneno ya diamond hivi unaijua siri ya ndani?
 
Back
Top Bottom