Nimevurugwa sina hamu na mwanamke

Nimevurugwa sina hamu na mwanamke

ndugu zangu wa jf. Salaam aleikum. Ni mara yangu ya kwanza kujitokeza humu ndan kwa kutoa yaliyonisibu. Naomba mnishauri wana jf. Nimeoa na nimebahatika kupata mtoto mmoja.
Mke wangu ni mzur na nimeish nae kwa aman. Nimekuwa msaada kwa familia yake. Nimewasaidia sana ndugu zake kwa kuwapa mitaji na wengine kuwasomesha mpaka elimu ya chuo.
Tatizo lilianza mwaka jana mwez wa nane. Mke wangu alisafiri kuanzia mwez wa sita mwishon na kurejea mwezi wa nane mwanzon. Alipofika tulifanya mapenz kama ilivo ada kwa wanandoa. Baada ya wiki mbili aliniambia kuwa anahis ana mimba. Nikafurah as nilikuwa nahitaji mtoto wa pili.
Hivyo nilimshauri aende akapime ili tuwe na uhakika tuanze kufanya maandalizi. Baada ya kipimo kweli alionyesha ni mjamzito. Nikafurahi na kuanza kufanya mipango ya kuweka akiba mahususi kwa ajili ya mambo ya ujauzito na hatimae mtoto.
Baada ya miez mitatu nikamshaur aanze kuhudhuria clinic. Akaanza na mambo yakaendelea vizur huku nikiendelea kulea mimba.
Baada ya miezi kama sita hiv nikaamua kuchukua kad ya clinik ili nione maendeleo ya mke wangu na pia nijue kama kuna taarifa zozote hatarish kwa vile nilikuwa cjaiangalia tangu aanze clinic.
Nilichokiona uko ndicho kilichonichanganya. Kimenivuruga mpaka cjui nichukue uamuz gan. Nilikuta taarifa kuwa mke wangu ana mimba iliyotungwa mwez wa sita na anategemea kujifungua mwez wa tatu mwaka huu.. Niimuita na kumuuliza. Alinijibu kuwa labda ma ness wamekosea. Nilimwambia kuwa lazima nijue. Nenda kapige utra sound. Majibu ya utra sound yalionyesha kuwa kwel atajifungua mwez wa tatu.
Alipima tena sehemu nyingine na majibu yalionyesha hivo hivo. Nilitaman kumuua lakin niliamua kujipa moyo as mi ni mwanaume wa ukwel. Yeye pia alisisitiza kuwa vipimo vimekosea ye anaamin kuwa alipata mimba mwez wa nane na atajifungua mwez wa tano na c vinginevo. Akasisitiza kuwa hajazin. Nikaamua kusubiri. Ila nikamuahid kuwa nikigundua kuwa mimba co yangu ndo mwisho wa ndoa yetu. Nikafanya utafit na kuongea na baadhi ya madoctors wote wanasisitiza kuwa akijifungua ndo ntajua ukwel. Lakin pia kuna issue ya 2 wiki plus or minus. Najua vizur as mi ni msomi na ni mzazi.
Sasa tayar alishajifungua na ni mwez ule ule wa tatu na doctor anadai alijifungua on time. Hakuchelewa wala kuwah. Which means alipata mimba mwez wa sita wakat hayupo na mm. So kuna uwezekano mtoto sio wangu. Lakin yeye ana insist kuwa hajawah kuzin na mtoto ni wangu. Amesema hivo mbele ya mchungaji. Sasa nimebaki njia panda. Nimkubali kuwa mtoto wangu au niende nikapime dna. Au nimfukuze. Nivunje hii ndoa. Nimechanganyikiwa. Sijui la kufanya. Yaan mpaka kazi zangu zote zinaharibika. Nimevurugwa jaman naomben ushaur. Nifanyeje.

umesema kasafiri miezi 2. Inawezekana alipata ujauzito kabla ya kuondoka ila hakujua kama keshapata. That is quite possible. Kuna wanawake wanakaa hata miezi mitatu hawajui km mimba imeingia
 
Inategemea wengine hawastuki kama wajawazito mpaka miezi hata mitano na wengine mpaka siku ya kujifungua ndio wanastuka kama walikuwa wajawazito.

Mkuu hapa unampa moyo tu. Angeondoka na mimba, wiki 8 alizokuwa safari angeshalijua hilo na angemfahamisha akiwa huko huko au mara tu baada ya kurudi. Hii ya kusubiri wiki 2 baada ya kurudi ndo amfahamishe inaelezea janja ya mwanamke. Kwa picha hii kuna uwezekano mdogo sana hii ikawa ni mimba ya mume wa ndoa.
 
Pima DNA wakati kama alijea mwez wa nane na kujifungua mwezi wa tatu
Nisahihi tu,ila pima kwa uhakika zaid
 
As weird as it sounds, the phenomenon of surprise birth is not as rare as one may think. Statistics show that one in 600 mothers-to-be will be unaware they are pregnant until they give birth, or just before. This is more common among busy women, those who may already be overweight or those approaching menopause. It tends to happen in menopausal women and younger busy women because they are not expecting to be pregnant and won't be looking for signs.


1
The woman training for half-marathon who gave birth, didn't know she was pregnant




Trish Staine thought the severe back pain she was experiencing stemmed from intense training for a half-marathon. Turns out that “back pain” was actually labor pain, and one day later, she was holding her newborn baby girl.


Staine, 33, says she had no idea she was pregnant before the surprise birth. The Duluth mother of three said she hadn't gained any weight or felt fetal movement in the months before. Also, her husband had a vasectomy.


On June 22, 2013, she ran for about two hours in preparation for the Garry Bjorklund half-marathon. She complained of a sore back and when she got home, she thought a bath might help her pain.


As she talked to her husband on the phone, Staine said her pain was becoming unbearable. Her husband called an ambulance.


During the emergency room examination, Staine and her husband were stunned to learn medical staff had detected a fetal heartbeat. She was whisked to the delivery room and in what she said seemed like 5 minutes later, her daughter was born. She weighed 6 pounds, 6 ounces, and was 18.9 inches long.


Born about 5 weeks early, the Staines named their little girl Mira — short for Miracle. (Source)




2
The woman who gave birth on the toilet because she thought she had stomach flu




Gaynor Rzepka had no idea she was pregnant – until she gave birth on the toilet. The 25-year-old was at her parents' house in Llantwit Major, Glamorgan, when she awoke with a sharp pain in the early hours of February 16 2014.


Thinking she needed the toilet, Gaynor went to the bathroom but instead gave birth. Little Olly-James weighed 2.9kg (6lb 5oz) and was perfectly healthy.


Gaynor insists she had no idea about the pregnancy, claiming she continued to have periods and experienced little weight gain throughout. She continued her job at a supermarket in Cowbridge, completing a ten-hour shift the day before she gave birth, and even ran the Cardiff Half Marathon five months into her pregnancy.


She added, with hindsight, that the only clue to her pregnancy was a craving for Mars bars, which she usually hates. (Source)




3
The woman who didn't know she was pregnant and surprised the 911 dispatcher who took the call




The dispatcher in Kimball County, Nebraska who took the emergency call recognized the address before she recognized the voice of her nephew, Anthony Kuhns. He was asking for an ambulance because his fiancée had just delivered a baby at home. The response from the dispatcher was "Dakota's not pregnant."


Anthony and Dakota didn't know she was pregnant either. Hard to believe, until you hear their version of events.


Dakota had complained of back pain, but she was in a car crash a couple of years before and has to sit for extended periods of time at work. She was feeling ill in the fall. When her boss suggested she might be expecting, she took a pregnancy test and it came back negative. She took a second one a month later. It was also negative.


A couple of months later, she was feeling very tired and experienced some stomach pains. Anthony told her rest to on the couch. It was on that couch that Dakota gave birth to their son. Anthony helped with the delivery and called 911.


Paramedics arrived and transported the baby to the hospital in Kimball. Able James was born at just 29 weeks. His oxygen levels were low, but he's made quick improvements. (Source)


4
The Catholic nun who gave birth and claimed she didn't know she was pregnant




Roxana Rodriguez, a Salvadoran nun, gave birth in Italy in January 2014, claiming she had absolutely no idea she was pregnant. She said she was in her convent in Campomoro when she felt stomach cramps and was rushed to a hospital in the nearby city of Rieti. She ended up giving birth to a boy.


The 31-year-old nun named her son Francis, which also happens to be the name of the current Pope.


Apparently she got pregnant when she went to El Salvador to get her passport renewed. Her fellow nuns back at the “Little Disciples of Jesus” convent said they were “very surprised” about all this. And the convent's mother superior, Sister Erminia, said, “It seems she was not able to resist temptation.” You said it, Sister. (Source 1 | Source 2)




5
The 45-year-old woman who gave birth at ski resort without knowing she was pregnant




A 45-year-old French woman says she had no idea she was pregnant until her baby literally popped out while she was on holiday at a ski resort in the Alps in February 2014.


The new mother, named only as Karine, was at the Val Thorens ski resort on holiday with her family when she rushed to the bathroom because she was not feeling well. However she soon realized it wasn't a case of stomach flu.


Incredibly, within 15 minutes of the first pain she had given birth to a healthy baby girl. The couple already had two children, but it had been 12 years since the birth of the youngest.


Quick thinking on the part of the father allowed for the birth to go as well as it did. When the dad-to-be realized this was not just a case of cramps, he grabbed his brother and sister-in-law who were sleeping in an adjacent room.


After a brief assessment his sister-in-law, a trained prenatal nurse, realized the pains were contractions and even spotted the tiny head of the child beginning to emerge from her mother. She delivered the baby before paramedics even arrived. (Source)




6
The teenager who didn't know she was pregnant and gave birth following a kickboxing match




In 2006, 17-year-old Pamela Vugts, a junior fighter from Den Bosch, was rushed to the hospital following a kickboxing match, only to give birth to a healthy baby girl.


Unbeknownst to Pamela, or her opponent, the youngster was seven months pregnant when she entered the ring. Following a kick to the stomach, the fighter began bleeding, triggering her trip to the emergency ward.


Neither Pamela nor her parents were aware she was pregnant, despite the fact she was 17 lbs overweight. According to reports, her stomach looked large and her belly button was sticking out in the ring. (Source)




7
The teen who didn't know she was pregnant and gave birth in McDonald's bathroom




Most mothers have months to prepare for a child, but Danielle Miller had just minutes.


In 2007, 16 year old Miller was working the nightshift at the McDonald's in Vancouver, WA when she suddenly ran into the restroom feeling ill. Her co-worker, Jaynae Herrera ran in after her. Herrera asked Miller if she was okay, but something was definitely wrong. Miller was in pain and shaking. To her shock, she was giving birth to a baby, right over the toilet.


Jaynae called 911 and with the assistance of a dispatcher, helped deliver the baby. One of the first things the dispatcher said to do when the baby was delivered was to get the baby out of the toilet. Miller had a six-pound baby boy and named him Austin. (Source)




8
The woman who didn't know she was pregnant and gave birth at home as boyfriend sleeps through it




Nadia Watson woke up with what she thought were period pains but then collapsed on the bathroom floor of her Weston-super-mare home and went into labor. The confused 22-year-old screamed as she delivered 7lbs 11oz baby Poppy all by herself as partner Lewis McSweeney dozed throughout the one hour ordeal in the next room.


Her screaming didn't wake her partner but certainly alarmed the neighbors who called police. Police cars and ambulances arrived minutes after the birth.


Ms Watson said her boyfriend, 22, initially went back to sleep when she presented their newborn daughter. However when he woke again he was shocked to realize just what had happened.


She also said she had no clue that she was pregnant and remained a size 10 throughout her pregnancy. She had and only put on a bit of weight. (Source)




9
The woman who gave birth at her front lawn didn't realize she was pregnant




An unsuspected 21-year-old woman was heading to the hospital for what she thought was a stomach ailment, but the pain was so unbearable that she didn't make it. She soon found out however, that she was pregnant and gave birth to a baby boy in the front yard of her New Jersey home.


Thankfully, Barnegat Township Police officers Vinnie Damiano and Michael Moore arrived at the home a short time later. Damiano says the baby, who appeared to be about three months premature, was not breathing. They delicately performed CPR on the boy, revived him and helped an ambulance crew clear his airway before he was brought to the hospital. (Source)



Mkuu hapa unampa moyo tu. Angeondoka na mimba, wiki 8 alizokuwa safari angeshalijua hilo na angemfahamisha akiwa huko huko au mara tu baada ya kurudi. Hii ya kusubiri wiki 2 baada ya kurudi ndo amfahamishe inaelezea janja ya mwanamke. Kwa picha hii kuna uwezekano mdogo sana hii ikawa ni mimba ya mume wa ndoa.
 
hizi ishu ni ngumu sana.kama una moto kapime DNA ujue mapema.ukiendelea kukaa hivi hivi na hasira mwishowe utamchukia huyo Mtoto na hautampa malezi mazuri
 
Inawezekana kbs mtoto akawa wako ila sema mama hakujua exactly lini alipata mimba.
Na pia kwa maelezo yake klinik hd yakaandikwa kwenye kadi huenda mtoto si wako maana kwa nesi kukosea ni ngumu kwsbb anaandika kile anachoambiwa.
 
Jichunguze kwanza wewe mkuu kabla ya kuanza maamuzi. Ndoa siyo jambo la kulichukulia km ulizanivyo. Mwezi wa tano wote na wa sita wote mlikutana kimwili na mwenzio?.
 
wakati mnachukuana mchungaji alishirikishwa?? au baada ya kuona maji yapo shingoni?, mlifunga ndoa? je,na ww hujawah kuchepuka wakati ukiwa nae? huyo mchungaji mlyeenda kwake na ameshindwa kujua kama ni kweli wa wapi huyo?? unaweza kwenda kupima iyo dna, au ww mpeleke tu kwa mchungaji alye vzr na mungu atamuumbua tu.
By Pastor E.K

Nina wasiwasi ni kichwa chako kama sio kamasi basi ni bangi
 
Ukicheka na nyani mbaya sana,cheki DNA then chukua hatua mapema kabisa.
 
Jichunguze kwanza wewe mkuu kabla ya kuanza maamuzi. Ndoa siyo jambo la kulichukulia km ulizanivyo. Mwezi wa tano wote na wa sita wote mlikutana kimwili na mwenzio?.
We kitasa unasoma huelewi au unajifanyisha mbona kasema hiyo miezi hakuwepo home mkewake badala yake alisafiri.
 
Kijana unaonekana wewe ni mtu wa kufuga wasiwasi na mashaka...

Ukianza kujiuliza maswali kama hayo utaishia kuishi bila amani...

Hivi hata tukikuuliza kuwa una uhakika huyo mwanao wa kwanza ni wako kweli utakuwa na jibu gani?

Lea mimba hiyo usije ukaishia kupata dhambi ya kukataa mtoto na hatimaye mwanenu kuishi akisumbuliwa na roho ya kukataliwa...

Labda wewe unamshauri afanye nn?
 
Pole sana rudisha kumbkumb zako je hamku do kabla ya mkeo kuondoka? Kingine kam kakusaliti ustumie hasira kuw mpole sana mpaka mtt anazaliwa amekua ndo umfanyie suplise kwakumfanyia kasherehe kakifamilia yenu na umbembeleze kunako sita kwa sita ndo mda wa kumuulza taratb tena unamwambia kuw upo tayr ata km mtt c wako utamlea asiwe na hof apo atamwaga ukwel.
 
Subiri mtoto azaliwe mkapime DNA ama yeye mwenyewe anaweza akawa DNA au labda mkeo alivyoondoka alikua tayari ana ujauzito na hakujichunguza.
Halafu kwa nini wanaume mmekuwa mnapaniki kama watoto wa kike?
Ni aina ya vyakula mnavyokula siku hizi ama ni mabadiliko ya hali ya hewa.?
 
Pole sana kiongozi, ila jamii ya leo naona kama tuna Tatizo kubwa linalotukabili. Tatizo ulilonalo sioni kama ni kubwa kiasi hicho, maana kinachotakiwa hapo ni kwenda kupima vinasaba na baadae mengine yanafuata. Sasa unavyojiapiza hivi vinasaba vikionyesha mtoto ni wako itakuwaje?

Halafu hawajui haya mambo yanavyotuumiza.
Mie bwana alifoka sana mimba si yangu peleka ilipotoka nikamwambia sawa.
Miezi Tisa siyo mingi mtoto alivyozaliwa kila Mtu anamwambia jamaa una damu Kali umetoa copy ..mie nikamwambia chukua mtoto huyu hapa kapime DNA akaanza kujichekeshachekesha tu.
 
ndugu zangu wa jf. salaam aleikum. ni mara yangu ya kwanza kujitokeza humu ndan kwa kutoa yaliyonisibu. naomba mnishauri wana jf. nimeoa na nimebahatika kupata mtoto mmoja.
mke wangu ni mzur na nimeish nae kwa aman. nimekuwa msaada kwa familia yake. nimewasaidia sana ndugu zake kwa kuwapa mitaji na wengine kuwasomesha mpaka elimu ya chuo.
tatizo lilianza mwaka jana mwez wa nane. mke wangu alisafiri kuanzia mwez wa sita mwishon na kurejea mwezi wa nane mwanzon. alipofika tulifanya mapenz kama ilivo ada kwa wanandoa. baada ya wiki mbili aliniambia kuwa anahis ana mimba. nikafurah as nilikuwa nahitaji mtoto wa pili.
hivyo nilimshauri aende akapime ili tuwe na uhakika tuanze kufanya maandalizi. baada ya kipimo kweli alionyesha ni mjamzito. nikafurahi na kuanza kufanya mipango ya kuweka akiba mahususi kwa ajili ya mambo ya ujauzito na hatimae mtoto.
baada ya miez mitatu nikamshaur aanze kuhudhuria clinic. akaanza na mambo yakaendelea vizur huku nikiendelea kulea mimba.
baada ya miezi kama sita hiv nikaamua kuchukua kad ya clinik ili nione maendeleo ya mke wangu na pia nijue kama kuna taarifa zozote hatarish kwa vile nilikuwa cjaiangalia tangu aanze clinic.
nilichokiona uko ndicho kilichonichanganya. kimenivuruga mpaka cjui nichukue uamuz gan. nilikuta taarifa kuwa mke wangu ana mimba iliyotungwa mwez wa sita na anategemea kujifungua mwez wa tatu mwaka huu.. niimuita na kumuuliza. alinijibu kuwa labda ma ness wamekosea. nilimwambia kuwa lazima nijue. nenda kapige utra sound. majibu ya utra sound yalionyesha kuwa kwel atajifungua mwez wa tatu.
alipima tena sehemu nyingine na majibu yalionyesha hivo hivo. nilitaman kumuua lakin niliamua kujipa moyo as mi ni mwanaume wa ukwel. yeye pia alisisitiza kuwa vipimo vimekosea ye anaamin kuwa alipata mimba mwez wa nane na atajifungua mwez wa tano na c vinginevo. akasisitiza kuwa hajazin. nikaamua kusubiri. ila nikamuahid kuwa nikigundua kuwa mimba co yangu ndo mwisho wa ndoa yetu. nikafanya utafit na kuongea na baadhi ya madoctors wote wanasisitiza kuwa akijifungua ndo ntajua ukwel. lakin pia kuna issue ya 2 wiki plus or minus. najua vizur as mi ni msomi na ni mzazi.
sasa tayar alishajifungua na ni mwez ule ule wa tatu na doctor anadai alijifungua on time. hakuchelewa wala kuwah. which means alipata mimba mwez wa sita wakat hayupo na mm. so kuna uwezekano mtoto sio wangu. lakin yeye ana insist kuwa hajawah kuzin na mtoto ni wangu. amesema hivo mbele ya mchungaji. sasa nimebaki njia panda. nimkubali kuwa mtoto wangu au niende nikapime dna. au nimfukuze. nivunje hii ndoa. nimechanganyikiwa. sijui la kufanya. yaan mpaka kazi zangu zote zinaharibika. nimevurugwa jaman naomben ushaur. nifanyeje.

Unataka kusema mwezi wa sita wote hukulala na mkeo? Si ameondoka mwezi wa sita mwishoni kwa mujibu wa maelezo yako? Kuna mimba zingine dalili zinachelewa kutokana na hormone za mhusika. Acha kumlaumu bure
 
Mi mwenyew nimegombana na majiran walijua nambaka mwana wao akapata ujauzito lakini nkihesabu mwezi aliotoka kwang na aliojifungua ni 11 nimegoma kudeclare interest na mpaka leo hatusalimiani na familia isipokua dem mwenyew ambae tunaendelea kupiga mech za kirafiki na nkimuulza mtoto vip anacheka afu ananiambia alizidisha mwez mmoja nyooo nkajua mwongo kwan yeye anaujauzito wa tembo manaake tembo ndo anazaa adi 2 years. Sasa mkuu angalia kama mtoto mnafanana then kathibitishe na DNA nna uhakika mkeo kakuona boya ndo maana kabisha hata mbele ya mchungaj ukijua tu mwambie akale alikopeleka mboga

Hivi wiki 40 huwa ni miezi mingapi vile au unaishi kwa kukariri?
 
Mkuu hapa unampa moyo tu. Angeondoka na mimba, wiki 8 alizokuwa safari angeshalijua hilo na angemfahamisha akiwa huko huko au mara tu baada ya kurudi. Hii ya kusubiri wiki 2 baada ya kurudi ndo amfahamishe inaelezea janja ya mwanamke. Kwa picha hii kuna uwezekano mdogo sana hii ikawa ni mimba ya mume wa ndoa.

Yaani jambo dooogo mnashindwa kutumia akili.
Mmekuwaje wanaume na nyie mnaongozwa na hisia???
Yeye ahesabu tarehe za hatari za mkewe huo mwezi wa sita zilikua kabla ya kuondoka au baada atakalopata ndiyo jibu kamili
 
Cha ajabu kipi hapo? Inawezekana aliondoka na ujauzito usiku ule mlioagana.
Ni vile tu hakuona dalili mapema.
Nina hakika DNA itaonesha mtoto ni wako.


Acha kumchanganya Mtoa mada
Mwanamke anafahamu kama mimba imetungwa ndani ya mwezi mmoja au chini ya kulingana na jinsi anavyojisikia
Baada ya hapo kila dalili inayoendelea hasa wakati wa kukaribia hedhi anakuwa anatoa taarifa kwa mtu husika ili kuweza kujihami

Sasa hapo imepita miezi miwili then anarudi home kauchuna anampa papuchi ambayo ilikuwa inagegedwa na Jemba nyingine, then baada ya wiki mbili anaripoti eti ana mimba SI KWELI KABISA

Jamaa anatakiwa kupata vipimo vya kitaalamu ili kujua kama mtoto ni wa nani, na baada ya hapo atajua afanya nini kama ataendelea KUGEGEDA AMA LA, Ila ajue kama ataendelea anatakiwa kujiandaa na mambo yafuatayo

1. Jamaa ataendelea kugegeda mzigo mpaka pale atakapotaka kuacha mwenyewe nina ushahidi wa kutosha kuhusu hili kwa kupitia mifano ya watu wengine

2. Ajiandae kulea mtoto ambaye tabia na mwonekano kwa kiasi fulani lazima utakuwa tofauti na watoto wake na hiyo itakuwa kama kidonda kisichopona "Donda Ndugu"
 
Back
Top Bottom