DALA
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,259
- 4,690
Pole mkuu...! Wanawake bhana....! kweli nimeamini ni photocopy ya wanaume..
Nakuunga mkono mkuu. Hakuna ushauri mwingine zaidi ya huo!
Pole mkuu...! Wanawake bhana....! kweli nimeamini ni photocopy ya wanaume..
Nakuunga mkono mkuu. Hakuna ushauri mwingine zaidi ya huo!
Fanya zoezi moja nunua panga kila siku asubuhi ukiamka unalinoa alafu uniliweka somewhere unalifungia hazipiti siku 3 utarudi home hutamkuta nakwambia.
Samehe tu na kubali mtoto wako...kitanda hakizai haramu
Ilikuwa enzi zile technplojia haijakuwa.Samehe tu na kubali mtoto wako...kitanda hakizai haramu
ndugu zangu wa jf. salaam aleikum. ni mara yangu ya kwanza kujitokeza humu ndan kwa kutoa yaliyonisibu. naomba mnishauri wana jf. nimeoa na nimebahatika kupata mtoto mmoja.
mke wangu ni mzur na nimeish nae kwa aman. nimekuwa msaada kwa familia yake. nimewasaidia sana ndugu zake kwa kuwapa mitaji na wengine kuwasomesha mpaka elimu ya chuo.
tatizo lilianza mwaka jana mwez wa nane. mke wangu alisafiri kuanzia mwez wa sita mwishon na kurejea mwezi wa nane mwanzon. alipofika tulifanya mapenz kama ilivo ada kwa wanandoa. baada ya wiki mbili aliniambia kuwa anahis ana mimba. nikafurah as nilikuwa nahitaji mtoto wa pili.
hivyo nilimshauri aende akapime ili tuwe na uhakika tuanze kufanya maandalizi. baada ya kipimo kweli alionyesha ni mjamzito. nikafurahi na kuanza kufanya mipango ya kuweka akiba mahususi kwa ajili ya mambo ya ujauzito na hatimae mtoto.
baada ya miez mitatu nikamshaur aanze kuhudhuria clinic. akaanza na mambo yakaendelea vizur huku nikiendelea kulea mimba.
baada ya miezi kama sita hiv nikaamua kuchukua kad ya clinik ili nione maendeleo ya mke wangu na pia nijue kama kuna taarifa zozote hatarish kwa vile nilikuwa cjaiangalia tangu aanze clinic.
nilichokiona uko ndicho kilichonichanganya. kimenivuruga mpaka cjui nichukue uamuz gan. nilikuta taarifa kuwa mke wangu ana mimba iliyotungwa mwez wa sita na anategemea kujifungua mwez wa tatu mwaka huu.. niimuita na kumuuliza. alinijibu kuwa labda ma ness wamekosea. nilimwambia kuwa lazima nijue. nenda kapige utra sound. majibu ya utra sound yalionyesha kuwa kwel atajifungua mwez wa tatu.
alipima tena sehemu nyingine na majibu yalionyesha hivo hivo. nilitaman kumuua lakin niliamua kujipa moyo as mi ni mwanaume wa ukwel. yeye pia alisisitiza kuwa vipimo vimekosea ye anaamin kuwa alipata mimba mwez wa nane na atajifungua mwez wa tano na c vinginevo. akasisitiza kuwa hajazin. nikaamua kusubiri. ila nikamuahid kuwa nikigundua kuwa mimba co yangu ndo mwisho wa ndoa yetu. nikafanya utafit na kuongea na baadhi ya madoctors wote wanasisitiza kuwa akijifungua ndo ntajua ukwel. lakin pia kuna issue ya 2 wiki plus or minus. najua vizur as mi ni msomi na ni mzazi.
sasa tayar alishajifungua na ni mwez ule ule wa tatu na doctor anadai alijifungua on time. hakuchelewa wala kuwah. which means alipata mimba mwez wa sita wakat hayupo na mm. so kuna uwezekano mtoto sio wangu. lakin yeye ana insist kuwa hajawah kuzin na mtoto ni wangu. amesema hivo mbele ya mchungaji. sasa nimebaki njia panda. nimkubali kuwa mtoto wangu au niende nikapime dna. au nimfukuze. nivunje hii ndoa. nimechanganyikiwa. sijui la kufanya. yaan mpaka kazi zangu zote zinaharibika. nimevurugwa jaman naomben ushaur. nifanyeje.
Pole mkuu...! Wanawake bhana....! kweli nimeamini ni photocopy ya wanaume..
wakati mnachukuana mchungaji alishirikishwa?? au baada ya kuona maji yapo shingoni?, mlifunga ndoa? je,na ww hujawah kuchepuka wakati ukiwa nae? huyo mchungaji mlyeenda kwake na ameshindwa kujua kama ni kweli wa wapi huyo?? unaweza kwenda kupima iyo dna, au ww mpeleke tu kwa mchungaji alye vzr na mungu atamuumbua tu.
By Pastor E.K
Ingawaje shaka ya huyu bwana huenda ni kama mimba ilitungwa (na yeye) mwezi huo wa 6 ni kwa nini huyo mkewe hakuziona hizo dalili kwa mwezi wote alipokuwa safarini aje azione wiki mbili baada ya kurudi?.Kingine ni kwamba huenda kwa mwezi huo wa 6 jamaa hakuwahi kula mzigo. Vinginevyo infertility inamhusu! Nakubali DNA test, kama ulivyoshauri hapa, ndiyo jibu mujarabu kwa tatizo lakeCha ajabu kipi hapo? Inawezekana aliondoka na ujauzito usiku ule mlioagana.
Ni vile tu hakuona dalili mapema.
Nina hakika DNA itaonesha mtoto ni wako.
Inawezekana kabisa huyu mtoto ni wako maana umesema mkeo aliondoka June mwishoni. Si ajabu wakati anaondoka alikuwa tayari ni mja mzito hakustukia mpaka aliporudi na ukahesabu kuanzia huo mwezi wa June mpaka alipojifungua hiyo March ni miezi tisa. Kama una wasiwasi si vibaya kupima DNA lakini mwangalie mtoto kama ana kitu ambacho anashabihiana nawe kwa mfano kucha za vidole vya mikono na miguu basi unaweza kupotezea tu badala ya kuendelea kumshinikiza mkeo kwamba si ajabu amegegedwa na njemba alipokuwa safarini. Kila la heri kama hutajali usikose kupita mtaa huu kuleta mrejesho kama mtoto ni wako au la.
Duuuh hapo hata DNA haihitajiki(majibu yapo wazi), lakini lea tu huyu mtoto kama bado wampenda mkeo, kuchapiwa ni siri ya ndani mkuumke wangu alisafiri kuanzia mwez wa sita mwishon na kurejea mwezi wa nane mwanzon.
nilikuta taarifa kuwa mke wangu ana mimba iliyotungwa mwez wa sita na anategemea kujifungua mwez wa tatu mwaka huu.