Yaani nimechekaa kama dk 10 hivi..Wakuu kwema!
Jana jumamosi nilikuwepo kwenye Kikao kilichofanyika Tegeta Tangibovu.
Nikamwambia Piga chini wala usijishauri na wala usisubiri nikushauri zaidi.
Huyo mwanamke atachakarika sana kwa waganga kumroga jamaa amuoe. Jamaa awe makini sana asikaribishe mjadala wowote mwingine na huyo msichana. Usishangae ukisikia ndoa inaendelea.Wataoana. Trust me. Na wewe utakuwa adui yao namba moja. Usipende kujihusisha na mambo ya watu wawili hadharani hasa wenye akili za kitoto kama huyo mdogo wako
Hata wakiona hakuna cha maana kitakacho endelea kwenye maisha yao kwasababu mwanaume hawezi kumuamini tena mwanamke.Wataoana. Trust me. Na wewe utakuwa adui yao namba moja. Usipende kujihusisha na mambo ya watu wawili hadharani hasa wenye akili za kitoto kama huyo mdogo wako
Hata wakiona hakuna cha maana kitakacho endelea kwenye maisha yao kwasababu mwanaume hawezi kumuamini tena mwanamke.Yani uoe mwanamke ambae umemfumania kipindi ambacho maswala ya ndoa yametamalaki? Hakuna mwanamke wa ndoa hapo, huyo ni malaya tu.
Jokajeusi umefanya kweli,wakiona watajuana wenyewe mbele ya safari.
Huyo mwanamke atachakarika sana kwa waganga kumroga jamaa amuoe. Jamaa awe makini sana asikaribishe mjadala wowote mwingine na huyo msichana. Usishangae ukisikia ndoa inaendelea.
Ndoa zilivyo ngumu kwa wadada hawezi kukubali imponyoke, atafaiti hadi dakika ya mwisho. Ila akifaulu kuolewa atakuwa malaya sana ndani ya ndoa.
Point sio kwamba ni bikra sana tatizo ni kwamba huyu bibi harusi kashindwa hata kuficha makucha kwa kipindi kifupi tu hicho hadi ndoa ipite ye kaamua kugawa
Ndo maana tunakomalia bikra tu
BIKRA MATTERS
Mkuu umefanya jambo gumu sana...ila kuoa malaya unayemjua kuliko malaya usiyemjua.........
Mimi mwenyewe jambo kama hili limeikumba ndoa tarajiwa ya ndugu yangu na sijui pakuanzia we acha tuuu....natamani nikukode ukakiwashe maana ndugu yangu mwenyewe hana la kufanya amechanganyikiwa anashindwa kufanya maamuzi
Nakuunga mkono lakini naogopa!Binti angekuwa bikra angekuwa na uwezo wa kumuambia mshikaji yupo tayari kuthibitisha hajalala na mwanaume mwingine. Lakini ndio hivyo tena
Hahaahaaa ila wewe jamaa una kipaji Cha Asili,daaa huyo Binti atakua anakuona Kama jini mkata Kamba
Utakua unaogopwa hatari haahaaa
Watu watakua wanajistukia Sana kwenye familia yenu ukitimba kikao chochote kile maana daaa hatari na nusu!
Joka Jeusi katika ubora wako!
Salute!
😁😁😁😁
Safi sana mkuu Jokajeusi , wanaume kama wewe wamebaki wachache sana, Msimamo, naamini ata siku ya kumvisha pete mke wako hukupiga magoti, maana kuna hawa wanaume suruali wameibuka wanapiga magoti wakiwa wanawavisha pete wachumba zao, fucken,
Wakifika kwenye ndoa wakiambiwa wapike au waoshe vyombo na kufua nguo wanakua wakali wakat ujinga waliuanza toka siku ya kwanza, pumbavu sana