Nimevunja uchumba wa watu

Nimevunja uchumba wa watu

Umekosea sana, ata kwenda huko hupaswi mkali. Ushauri omba udhuru usiende na kama ikiwezekana kataaa kata kata kua hamna mahusiano ila ni urafiki tu, ila kama ulishakubali umekwisha
 
Nataka nimwambie mama ake kuwa kama watashindwana na jamaa mm nitamuoa bint
karma karma karma .........na pia huoni type ya mwanamke ulie naye kama huyo aliaidiwa ndoa wewe unanini cha zaidi cha kumuaidi mkuu? ......unawafahàmu marafiki zake ambao walikuwa kama wewe ?
personaly ilishanitokea kama hivi na nimejutiaga sana sababu mwanamke mwenyewe nilikaaa nae almost miaka mitano ila niliachwa sababu simtafuti mara kwa mara ila nilifahamu tu kuna kidume kimeshatangaza nia uko iliniuma ila i did the same .....itakutokea puani mkuu

start a fresh mkuu umeshakosea njia
 
karma karma karma .........na pia huoni type ya mwanamke ulie naye kama huyo aliaidiwa ndoa wewe unanini cha zaidi cha kumuaidi mkuu? ......unawafahàmu marafiki zake ambao walikuwa kama wewe ?
personaly ilishanitokea kama hivi na nimejutiaga sana sababu mwanamke mwenyewe nilikaaa nae almost miaka mitano ila niliachwa sababu simtafuti mara kwa mara ila nilifahamu tu kuna kidume kimeshatangaza nia uko iliniuma ila i did the same .....itakutokea puani mkuu

start a fresh mkuu umeshakosea njia
Sasa nifanye nini wazee.
 
Mkuu, nimempigia simu mama nimemhulisha. Maana familia hawahui hili swala. Nilitaka nimalize pekeyangu naina inakuwa ngumu. Mama ameniambia nisiende. Nimemtii siendi. Nimemuuliza nifanye nini? Amejibu nisifanye kitu.
Subiri sasa uone kama Mahari itarudishwa mkuu... Hapo ndo utajua wapo serious na binti kaachwa!! Ukute jamaa alikuwa anatafuta sababu tu ambwagee...
 
Asante mkuu. Bado nampenda mwanamke. Kwa namna yake amejotoa kwangu. Ku risk uchumba wake kwa ajili. Yangu. Sina shaka juu ya huu upendo wake
Kuwa makini na hawa watu wanaoitwa mama zetu inapokuja suala la mapenzi, Ikiwezekana chunguza vizuri historia ya mapenzi yake ya nyuma haswa huyo aiyejitosa kulipa mahari, isije ikawa na yeye alivunja mahusiano serious ya mtu kumpata. Usiruhusu pride ikakufanya ukajiona kuwa wewe ni mwanaume zaidi ya wote waliowahi kuwa na mwanamke wako kabla yako. Nakwambia hivi kwa sababu kma mwanamke alifika hatua ya kukubali kulipiwa mahari na sababu kuu ya kukubali kuvunja mahusiano ni wewe na si nyingine nzito, basi huyo ni mwanamke dhaifu na usibweteke hata ukioa maana kama a=b na b=c basi a=c, uwezekano wa kupata sababu ya kukusaliti huko mbeleni upo kama alivyopata sababu ya kumsaliti huyu wa sasa ambaye alimwaminisha anampenda hadi jamaa kutoa mahari. Ila lisilojulikana ni usiku wa giza, naamini yapo mengi tusiyoyajua yanayokufanya na wewe uchukue risk hiyo. kila la heri.

NB: Kama kuna uwezekano wa kumake peace na x-fiance, fanya hivyo. Huwezi jua analoliwaza moyoni mwake. Na kama mtafunga ndoa pia huwezi jua atawaza nini juu ya hatua yenu.
 
Back
Top Bottom