Heisenberg
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 1,688
- 2,981
- Thread starter
- #201
Mimi ndio sababuBinti nae ilikuwaje akawa na mpenzi mwingine ili hali ana mchumba?
Mimi ndio sababuBinti nae ilikuwaje akawa na mpenzi mwingine ili hali ana mchumba?
Hapa ndo sijui. Ila nimeshauriwa na wengi kuwa nisiendeunategemea kuulizwa nn ukienda.
Asante sana bossKuwa makini na hawa watu wanaoitwa mama zetu inapokuja suala la mapenzi, Ikiwezekana chunguza vizuri historia ya mapenzi yake ya nyuma haswa huyo aiyejitosa kulipa mahari, isije ikawa na yeye alivunja mahusiano serious ya mtu kumpata. Usiruhusu pride ikakufanya ukajiona kuwa wewe ni mwanaume zaidi ya wote waliowahi kuwa na mwanamke wako kabla yako. Nakwambia hivi kwa sababu kma mwanamke alifika hatua ya kukubali kulipiwa mahari na sababu kuu ya kukubali kuvunja mahusiano ni wewe na si nyingine nzito, basi huyo ni mwanamke dhaifu na usibweteke hata ukioa maana kama a=b na b=c basi a=c, uwezekano wa kupata sababu ya kukusaliti huko mbeleni upo kama alivyopata sababu ya kumsaliti huyu wa sasa ambaye alimwaminisha anampenda hadi jamaa kutoa mahari. Ila lisilojulikana ni usiku wa giza, naamini yapo mengi tusiyoyajua yanayokufanya na wewe uchukue risk hiyo. kila la heri.
NB: Kama kuna uwezekano wa kumake peace na x-fiance, fanya hivyo. Huwezi jua analoliwaza moyoni mwake. Na kama mtafunga ndoa pia huwezi jua atawaza nini juu ya hatua yenu.
Yaah Hizo busara za Mama..!! Sasa wewe anza kuweweseka uone yatakayokukuta..
Yaah mkuu makosa yapo so kuwa mpolee..Muda utaamua!Hapana broo. Nimetii.
Mama Yako kakupa uamuzi mzuri sana..!! Yani kausha mkuu usijidai kiherehere.. Mama anajua tabia na hulka za wanawakee.. Hakuna namna![]()
Pa1 sanaYaah mkuu makosa yapo so kuwa mpolee..Muda utaamua!
Yaa litapita mkuu...Asante sana mkuu kwa ukaribu wako
Wewe kichuri kweli kweli utakuja kulia Kama walima korosho au waliopata tetemeko la ardhi.heeeee jichanganye uje ugongewe kigongeo cha kulipa kisasi hadi waanike kwenye paa ya mama njorocho.Mm nataka kumuoa binti
Wewe kichuri kweli kweli utakuja kulia Kama walima korosho au waliopata tetemeko la ardhi.heeeee jichanganye uje ugongewe kigongeo cha kulipa kisasi hadi waanike kwenye paa ya mama njorocho.
uende ukiwa unajua unaenda kufanya nn usiende kama poyoyo..kule umeutwa kuulizwa unampango gani na huyo binti..if ww ni mwanaune ungemuoa ww na si kwenda huko kupiga storiHapa ndo sijui. Ila nimeshauriwa na wengi kuwa nisiende
Kwnn alikuwa anakukubali ilihali alikuwa nae mwingine?Mimi ndio sababu
uende ukiwa unajua unaenda kufanya nn usiende kama poyoyo..kule umeutwa kuulizwa unampango gani na huyo binti..if ww ni mwanaune ungemuoa ww na si kwenda huko kupiga stori
sijawah kuona jamaa mpuuz kama wewe, ukienda kubakwa huko ? Umeharibu mipango ya watu alafu unataka kwenda kuongea nao? wakikudhuru ? we huna makosa mwenye makosa ni binti, You guys mbona mpo soft ivyo sikuiz ? mkitekwa mtasemaje ??




yani imenibidi nicheke tuuNi kweli bro sasa tutafanyaje
Kama una nia nenda nyumbani kwao, watakuelewaMahari ikirudishwa namuoa
yani imenibidi nicheke tuu