Nimevunja uchumba wa watu

Nimevunja uchumba wa watu

Lakini pia ana moyo sana maana anakula sehemu ambayo anajua kabisa kuna jamaa mwengine nae anakuja kuingiza mzigo
Sasa kumnyandua demu ambaye unajua ana mtu mwingine ugumu unatokea wapi??..si ndo cheating yenyewe ambayo ni common tu kwenye dunia ya sasa??
 
Mkuu uoga wako ni kuwa kuna siku jamaa atagongewa na mshkaji??

Muda mwingine mwanaume unaweza kubadilisha akili ya mwanamke..
Aaha mkuu tena anaweza mpa penzi siku ilee ambayo unaenda kumuoaa... Maana hujui mkuno aliokuwa anampa jamaa na wewe una utafauti gani...
 
Habari za eid

Kuna binti niponae kwenye mahusiano kwa miezi kadhaa toka mwaka huu uanze. Nimekuwa nikimpenda sana kiasi cha kujitoa sana kifedha na ki hali kwa muda wote huu.

Lakini binti amekuwa akinisisitiza kuwa yeye ni mchumba wa jamaa fulani na wanasubiri ndoa tuu. Hiyo hali haikunirudisha nyuma kwa mapenzi niliyokuwa nayo kwake.

Juzi jioni Baada ya kutoka kutafuta Ugali wa watoto nikampigia bint kuwa niende kwake au yeye aje kwangu. Binti akasema niende. Basi bila kusita nilifunga safari nikaenda. Tukawa kwake akapika tukala

Hamad mida ya saa4 mlango ukagongwa. Sikuwa na wasiwasi kumbe ni mchumba wake. jamaa akaingia ndani akanikuta nimekaa kwenye sofa, jamaa akaniangalia akaniuliza hivi bado unaendelea na mchumba wangu?? Mm nikawa kimya jamaa akaingia chumbani kwa mwanamke akabeba vitu vyake na kuondoka. Mm nikabaki na yule mwanamke.


Amelia usiku kucha na kunitupia mm izo lawama. Asubuhi jana jamaa ameambatana na mshenga wake wameenda nyumbani kwa akina Binti kudai mahari. Ndugu wa mwanamke wameomba jamaa na mshenga waende Jumamosi ili kikao cha familia kilichopokea mahari kikutane. Baba na mama ya binti wameshindwa kumtuliza jamaa ili wayamalize. Jana jioni nilipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mzazi wa binti, niliongea nae aiwa analia sana. Nimeomba leo niende nyumbani kwa akina binti nikawasikilize wazazi wake.

Nimemuuliza binti kuwa niende kwao au nisiende binti hataki kusema. Nikampigia dada ake binti kuwa vipi niende kwao?? Dada yake akasema niende.

Hapa nilipo najiaandaa kwenda. Ni mkoa jirani. Ni mwendo wa masaa 4 tu ntakuwa nimefika.
Kosa sana...ila lisafishe kwa wema...muoe...
 
Habari za eid

Kuna binti niponae kwenye mahusiano kwa miezi kadhaa toka mwaka huu uanze. Nimekuwa nikimpenda sana kiasi cha kujitoa sana kifedha na ki hali kwa muda wote huu.

Lakini binti amekuwa akinisisitiza kuwa yeye ni mchumba wa jamaa fulani na wanasubiri ndoa tuu. Hiyo hali haikunirudisha nyuma kwa mapenzi niliyokuwa nayo kwake.

Juzi jioni Baada ya kutoka kutafuta Ugali wa watoto nikampigia bint kuwa niende kwake au yeye aje kwangu. Binti akasema niende. Basi bila kusita nilifunga safari nikaenda. Tukawa kwake akapika tukala

Hamad mida ya saa4 mlango ukagongwa. Sikuwa na wasiwasi kumbe ni mchumba wake. jamaa akaingia ndani akanikuta nimekaa kwenye sofa, jamaa akaniangalia akaniuliza hivi bado unaendelea na mchumba wangu?? Mm nikawa kimya jamaa akaingia chumbani kwa mwanamke akabeba vitu vyake na kuondoka. Mm nikabaki na yule mwanamke.


Amelia usiku kucha na kunitupia mm izo lawama. Asubuhi jana jamaa ameambatana na mshenga wake wameenda nyumbani kwa akina Binti kudai mahari. Ndugu wa mwanamke wameomba jamaa na mshenga waende Jumamosi ili kikao cha familia kilichopokea mahari kikutane. Baba na mama ya binti wameshindwa kumtuliza jamaa ili wayamalize. Jana jioni nilipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mzazi wa binti, niliongea nae aiwa analia sana. Nimeomba leo niende nyumbani kwa akina binti nikawasikilize wazazi wake.

Nimemuuliza binti kuwa niende kwao au nisiende binti hataki kusema. Nikampigia dada ake binti kuwa vipi niende kwao?? Dada yake akasema niende.

Hapa nilipo najiaandaa kwenda. Ni mkoa jirani. Ni mwendo wa masaa 4 tu ntakuwa nimefika.
Acha ufala wee!

NAWE YATA KUKUTA, KAMA SIO KWAKO, KWA MWANAO AU WIJUKUU ZAKO.
 
Huyu anachukulia hili swala kama sifa kwake kwa hadhira anayoisimulia, hajiulizi kama binti ameweza kumkaribisha home na akampikia akala huku akijua ndoa ipo karibu kbs, yeye pia anaweza fanyiwa hivyo maana hakuna maajabu yasiyojirudia.
Itakugharimu wewe na uzao wako, asilimia 99 ya matatizo yanayowakumba wanadamu na uzao wake ni ya kujitakia.
 
Sikia huyo demu anakuwa Njia panda sababu still anampenda jamaa na roho inamsuta sana.. So hapo wewe hata kwao usiendee kata mawasiliano na huyo binti mkuu wewe ndo unaweza msaidia mwanaume mwenzako maana maumivu anayopitia hata asipopanga kukufanyi jambo baya bhasi hakika Karma yupo..!! Jitahdi umpotezee huyo demu ataumia lakini na uhakika watakaa watayaonge yataisha hasa kama jamaa alikukuta tu umekaa sebuleni..
Daaah mzee unanirudisha nyuma sana
 
Got something here.
Kufanya hivyo si kulitibu tatizo na ikiwa utafanya hivyo subiri na wewe uje umwachie mtu kama ulivyoachiwa wewe, japo naamini sasa atakuwa amejifunza haitakuwa rahisi kurudia lile lile.

Kwasasa usiende kwao binti na badala yake naye mpe muda kidogo yaani ukimjulia hali usimtumie tumie msg saa zote na kumpigia kutwa bali mpe muda apumzishe akili zake, baada ya hapo mfate zungumza nae na majibu yake ndiyo yatakupa nguvu siku ukienda kwao manake uende ikiwa utaitaji kumuoa.
 
Back
Top Bottom