Heisenberg
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 1,688
- 2,981
- Thread starter
- #41
Mkuu, jamaa alitoa mahari 1.5 ilikuwa bado 500k. Sidhani kama familia itashindwa kulipa hiyo mahari kama watafikia huko. Lakini nipo tayari kuoa
sasa ukienda unaenda kubadili nini? Kilio cha mzazi ni kwamba HANA pesa ya kurudisha kwa mkwe mtarajiwa. Maadam ushajinasibu kuwa pesa unazo waulize tu ni sh ngapi walilipwa, umalize
