Nimevunja uchumba wa watu

Nimevunja uchumba wa watu

Daaah mzee unanirudisha nyuma sana
Serious sababu demu bado hana msimamo ana mawenge flani hivi...!! Ukiona unamwambia mwanamke achagu kati ya wewe na jamaa anasema bado yupo Njia panda jua Huyo sio riziki yako.. Lililotokea ni kosa tu mbona wanafumaniwa wake za watu na wasameheana maisha yanaenda just sikilizia kwanza usiwe mwepesi wa kwenda kwao kutaka umuoe wewe...!!


Tulia kwanza muda utaamua Mkuu...
 
Dooooh. Mm nampenda lakini
Ila huyo msichana naye hana akili alikuwa anatamaa kabisa maana kama unakaribia kuolewa na mtu siutulie ??
Umekosa nini ??.
Kama hukuwa na uwakika naye siungemwambia akaoe pengine huyo sio binti huyo nikilaza kwa sababu if kama ni binti asingepigwa miti na watu mfululizo hicho nikibibi huko kumezeeka .
Pamechokeana.
Nahuyo jamaa kamchoka huyo malaya .
Ndio maana kaja kuchukua vitu vyake .
Hapa kunajirani kaolewa ni mke wapili ila anajiheshimu nakujitambua kuwa ni mke wa mtu sio kilaza??
Sasa watu huoa malimbukeni halafu mwishoni wanakuja kuliaga huku tuwasaidie kumbe alipenda papuchi.
 
Huwenda ukajiweka pabaya zaidi hasa pale binti asipoolewa na kubaki nyumbani kisha wewe ukaoa sehemu nyingine na wakuone ukiwa na furaha na familia yako huku binti yao yupo nyumbani, kumbuka hayupo mzazi aliye tayari binti yake kuzeeka akiwa nyumbani hiyo inaonesha alishindwa kumlea katika maadili mema.

Huku kila mmoja anasema lake ila haitokuwa sababu ya wewe kushindwa kufata maamuzi yako, unayo bado nafasi kwake na kwako wewe jiandae kwa lolote maana inategemea busara za huyo jamaa ila kama ni mtu wa visasi hata ukija kumuoa mwingine atafanya aliwezalo akulize nawewe.
Daaah. Baba ngoja niende . usiku ntawapa mrejesho
 
Wanawake achana nao mkuu...!! Kuwa na wanaume wengi hadi pale anapokaribia kuolewa kawaidaa sana..So anachofanya ni kuchagua ilaa hapa huyu kazingua sana mpaka anamuita jamaa kwake duu
Acha tu,mwanamke anajua kabisa anataka kuolewa,alafu hata haogopi anamleta mchepuko ndani,kweli...

Hata huyu jamaa akija kuoa huyo,huyo mwanamke hana akili kabisa,hajielewi.

Sisi wanaume tunatabia ya kuforce,hata ukijua mwanamke anamtu wake,ishu ni msimamo wa mwanamke basi.
 
aiseeee kiherehere cha wapi icho mkuu unaenda fanya nini uko kwani ulikuwa na mazoea na wazazi wake ....huyo rafiki yako sijui ndo crush ni mtoto mpaka hajui anachokifanya utakua tahira kwenda afu hayo mambo yanaanziaga mbali sana unadhani watu wanaachana haraka ivyo wana ishu zao tokea kitambo inaweza ikawa wewe ila mwanamke anaelewa vizuri .....wewe ulikuwa umekaaa tu kwenye kochi kuna watu wanakutwa wanapigwa miti ila hawaachiki bado acha ufala mkuu
 
Acha tu,mwanamke anajua kabisa anataka kuolewa,alafu hata haogopi anamleta mchepuko ndani,kweli...

Hata huyu jamaa akija kuoa huyo,huyo mwanamke hana akili kabisa,hajielewi.

Sisi wanaume tunatabia ya kuforce,hata ukijua mwanamke anamtu wake,ishu ni msimamo wa mwanamke basi.
Kabisa mkuu...Sasa huyu demu msimamo F hata akili za kujiongeza bhasi akagongewe kwa mshkaji hanaa...duu
 
Sifa ya mwanaume wa kweli ni kujua udhaifu wa wanawake na kuwaongoza vyema huku akikwepa laana za kipumbavu.....

Wewe umetumia pesa zako, na udhaifu wa mwanamke kama sababu ya wewe kumfanyia hiyana mwanamme mwezako....

Karma is a bitch, utapia kwenye the same road, kama hauamini keep haya maneno.....
 
aiseeee kiherehere cha wapi icho mkuu unaenda fanya nini uko kwani ulikuwa na mazoea na wazazi wake ....huyo rafiki yako sijui ndo crush ni mtoto mpaka hajui anachokifanya utakua tahira kwenda afu hayo mambo yanaanziaga mbali sana unadhani watu wanaachana haraka ivyo wana ishu zao tokea kitambo inaweza ikawa wewe ila mwanamke anaelewa vizuri .....wewe ulikuwa umekaaa tu kwenye kochi kuna watu wanakutwa wanapigwa miti ila hawaachiki bado acha ufala mkuu
Kabisa mkuuu... Huyo jamaa ake ni hasira tu zitapoaa!! Yani mwana kakutwa amekaa kwenye Kochi mbona yanaongeleka... Angemkuta anamlaa jee..
 
Huyo mwanamke kayataka wazee wakipokea mahali ya watu hutakiwi mwanamke kucheka na vibwengo wengine.ni halali yake aachike kabisa...

Kuhusu wewe pambana na hali yako.
 
Back
Top Bottom