Nimevumilia sasa nimeona nitafute mchumba

Nimevumilia sasa nimeona nitafute mchumba

Hahaaa huyu mchumba ni mtataaa...sijui ntakuwepo kwenye shortlisted candidets? Asipaone miss chagga hapa lol
 
Last edited by a moderator:
jf bana ina raha yake. Pamoja na ukweli kua kila mtu anayo haki ya kuchagua anachokipenda lakini vigezo vingine vinatiga mashaka hata kwa wenye nia?mfano huyu anataaka sijui digree mara mwenye umbo la wastani.sasa mimi najiuliza huko ndani munaenda kuish kwa dgree zenu?au hilo umbo?mimi najua mke mume niyuletu mutkayeendana kitabia na kupendana mukaweza kuyaendesha maisha basi.hayo mengine ni mbwembwetu.mkuu hapa kupata mke mweama kwa mtaji huu sahau
 
jf bana ina raha yake. Pamoja na ukweli kua kila mtu anayo haki ya kuchagua anachokipenda lakini vigezo vingine vinatiga mashaka hata kwa wenye nia?mfano huyu anataaka sijui digree mara mwenye umbo la wastani.sasa mimi najiuliza huko ndani munaenda kuish kwa dgree zenu?au hilo umbo?mimi najua mke mume niyuletu mutkayeendana kitabia na kupendana mukaweza kuyaendesha maisha basi.hayo mengine ni mbwembwetu.mkuu hapa kupata mke mweama kwa mtaji huu sahau

Haya ni mawazo yako ni siyo property or rights for JF so unaweza ongea chochote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom