Nimevumilia sasa nimeona nitafute mchumba

Nimevumilia sasa nimeona nitafute mchumba

kila la kheri mtafutaji, na Mungu akusimamie ktk hili....!
upate ubavu wako kweli na si wa mwingine....!
ukimpata tujuze tafadhali as for me nakuombea....!

Pamoja mkuu nimepata Kadhaa Leo ntaingia kwenye Maombi then ntaanza kukutana nao mwezi Huu na wa Tisa ntapanga nao ratiba
 
Chagga is the tribe that's the ODD MAN OUT kwenye list ya wachumba ninaowatafuta-sorry to say but it's the truth,truth hurts but heals the wounds

Ni vizuri pesa ikipiya mlangon penzi inapita dirishani mi si mwongo nasema kweli nenda kwa wanaokudanganya wanakupenda hata ukiwa huna hela
 
Mchumba mbona mkali hivi, huko ndoani si itakuwa ni vitasa tu?

mad-smiley-bending-rod.gif
spank.gif
strangling.gif
head-bash.gif
knee-to-head-knockout.gif
 
Ni vizuri pesa ikipiya mlangon penzi inapita dirishani mi si mwongo nasema kweli nenda kwa wanaokudanganya wanakupenda hata ukiwa huna hela

Wewe unafikiri Mimi Sina hela,nawezaje kumuhudumia Mke bila hela acha pupa wakati wa kujadili Ishu Za msingi
Nimeshaweka nlichonacho and more Kwa waliofit naongea nao wewe naona una matatizo please give me some space
 
Wewe unafikiri Mimi Sina hela,nawezaje kumuhudumia Mke bila hela acha pupa wakati wa kujadili Ishu Za msingi
Nimeshaweka nlichonacho and more Kwa waliofit naongea nao wewe naona una matatizo please give me some space

hahahahahaha space ya PM haitoshi mura? ........ huna hela bwana acha hizo mbona hasira?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom