Nimevumilia sasa nimeona nitafute mchumba

Nimevumilia sasa nimeona nitafute mchumba

msaada jamani hv wanaotafutaga humu ni domo zege ama vp?
 
muzee wewe hutaki mwenye mutoto na wakati muke wako ana mutoto,kwani mumeachana bwana,haya bwana uko wapi masaki au.mamet wako wa uganda unatutenga sana lakin
 
muzee wewe hutaki mwenye mutoto na wakati muke wako ana mutoto,kwani mumeachana bwana,haya bwana uko wapi masaki au.mamet wako wa uganda unatutenga sana lakin

Tafadhali ni PM bwana tuongee kidogo
 
Hao Ndio utawapata sana.nilijaribu mwaka Jana mimi nilokutana nao ni vicheche tu........cjui labda wewe Unaweza kubahatisha lakini hapa mmmmmm

Kijalo nijaribishe mm mwaka huu maana umesema umejaribisha mwaka jana, mm niko seriously.
 
samahan ndugu. i have the same problem. NIKO MWAKA WA TATU DOCTOR OF MEDICINE NA KWA BAHATI NZUR NIMESOMA OLEVEL NA ALEVEL BOYS NA SEMINARI. Ckuwah kupata wazo la kuwa na mchumba kipindi hko lakin sasa naona ni muhmu kuwa nae. ninatafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo,
1. awe mkristo na muamini
2. awe mrefu kias
3. awe na elim ya form 4
4. asiwe mweupe sana wala mweus sana
5. awe hajawah fanya kaz bar au nyumba yeyote ya starehe
6. c lazma awe mfanyakaz
7. awe na umri wa below 20 kwan mm nina umr wa miaka 23
niko tayar kuish nae kama mchumba ndan ya mwaka mmoja na ndpo tutaanza maisha rasm
wakat namalizia masomo yangu. kwa alie tayar email: mikethon1991@gmail.com
ASANTENI

Mkulu si unge anzisha uzi wako maalum? Nje ya chaki, phamacology ya Sasi umevuka?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom