Njoo kwa gademu PM right now
Ila bia chupa naomba ziwe tofauti mura
Usijali I will begin this day with you-bia tu sema Smirnoff and the likes of savannah,red,white South African,Dodoma or French name them,reds,the bill name them Miss Chagga
Watch my calibre,be my guest tena Leo Friday
Wewweeeeeee mura hapo nakukubali tukutane wapi mura ila usije na panga..
Na wewe ni mbea unanifuatilia sana wewe,utakuwa na matatizo lazima
Iv kweli na degree akose wa mtaani aje kuwa na wa jf loh....labda sio mm
We ni mrembo class gani kwanza ni iPhone,Samsung galaxy,Nokia ama nini usije ukawa Kama mmoja hapa JF name withheld alinisumbua Kuwa yuko na class Iphone,nilivyomwona nliishia kumcha pa makofi pale Mlimani city hakuamini macho yake akanipeleka Oysterbay nikahonga nikatoka
Kwa hiyo wewe unanipenda Kwante
Njoo kwa PM mengine ni matusi siyo vyema kwa watu wenye upeo Mkubwa JF kuyaona