tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,315
Degree mwisho Kama huna degree tena ya social issues you D
Jaribu kunifikiria niko seriouz
Degree mwisho Kama huna degree tena ya social issues you D
unaonaje ukafungua NGO ya social issue na ukatangaza ajira kwa vigezo ulivyo vitoa na ukatumia nafasi iyo kuchagua mchumba....kwa sababu tangazo lako linalingana sana na Job application.....Pole kwa kuchoka kuwa single ila jiandae na vishindo na mateso ya kuwa na mke....fanya mazoezi kwa sana vinginevyo unaweza kufa kwa pressure....dada zetu hawa fulll stress...
Kila MTU ni mchamungu ila inatofautiana ukitaka mchamungu utapata wakina Delila wengi
Naam kila MTU ni mchamungu na ndo maana hata ufanyapo jambo au uamkapo asubuhi humshukuru Mungu
Comfirmed. Huyu mura kabisaa
Kama ni Mura ngoja nichangamkie hii fursa fasta..!!
Huyu dada ni mkorofi aisee duh
Nimempenda Neylu