Nimevumilia sasa nimeona nitafute mchumba

Nimevumilia sasa nimeona nitafute mchumba

Nina Mahala pa kulala I thank God,sipandi daladala pia nashukuru Mungu
Ps:sijisifu naomba nieleweke hapo
Account yangu inatosha kumuhudumia nitakae kuwa Naye na mbali na yote Mimi ni mkulima na Mjasiriamali wa KILIMO
Nafikiri inatosha
hapa kidogo umenikosha naweza kuja pm
 
Sikuhizi wachumba tabu maana hasa kwasisi tulokuwa hatujirushi,mimi huu mwezi 6 natafuta hapa uk Mtanzania mwenzangu sijampata na kule Africa huwa nikienda wanakula helazangu nikiondoka wana mabwanazao basi tabu tu .
 
Sikuhizi wachumba tabu maana hasa kwasisi tulokuwa hatujirushi,mimi huu mwezi 6 natafuta hapa uk Mtanzania mwenzangu sijampata na kule Africa huwa nikienda wanakula helazangu nikiondoka wana mabwanazao basi tabu tu .

Hahahaha pole mkuu ndo bongo hiyo kumbe siko mwenyewe lol
 
Sikuhizi wachumba tabu maana hasa kwasisi tulokuwa hatujirushi,mimi huu mwezi 6 natafuta hapa uk Mtanzania mwenzangu sijampata na kule Africa huwa nikienda wanakula helazangu nikiondoka wana mabwanazao basi tabu tu .

tafuta wa hapo ulipo njoo mimi nitakula hela zako na utanioa njoo ukija bongo nitafute .... muhimu mapenzi na njaa siwezi kabisaaa yani kabisa
 
Napita tu...
Watu wanaoa......
Watu wanaachana...
Mmmhhh....migegedo.com

Naomba nieleweke kuwa naitaji mwenza wa Maisha na siyo mambo ya kujingakijinga sijui kugegeda and so on
 
kila la kheri mtafutaji, na Mungu akusimamie ktk hili....!
upate ubavu wako kweli na si wa mwingine....!
ukimpata tujuze tafadhali as for me nakuombea....!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom