Mungu akufariji na akupitishe katika hilo pito .Ila kuwa na amani wewe sio sababu ya kifo hicho maana unaweza ukawa unajiona guilt .Mama mtu ndio wa kulaumiwa kaweka interest zake mbele kuliko za mtoto .Roho yake ipumzike kwa amani
Duh pole sana mpendwa kwa yaliyokukuta. Kitu kimoja usijilaumu kwa haikuwa sababu ni wewe , kama hayo mema uliyoyafanya kwa marehemu Mtoto yule , hakika Mungu hatokuacha. Hebu naomba uombe mungu akupe Amani moyoni ili , uondokane na na mzigo uliojiweka nao moyoni ambao unaweza kukutia dhambini. My dear tafuta nafasi moyoni mwako ujisamehe na kuamini haikuwa wewe ndio chanzo chs yule Mtoto kufariki. Mungu akutie nguvu katika kipindi hichi kigumu . Asante !
Nawaza sana huyo mtoto alikuwa anafikiri nini mpaka akachukua maamuzi makubwa na mazito kiasi hicho ? Poor girl inaonekana aliumia sana na aliona watoto wako ndio ndugu zake sasa kuwekwa mbali nao ilimuumiza sana
Hilo nalo ni janga.
Ni heri ungeomba ushauri huku kabla ya kukabidhi mtoto.
.............. Pole..............
Sikua nimetaraji kama kilicho tokea kingeweza tokea
Binafsi nilimkabidhi kimaandishi ilikujiweka salama, na sikua nimetarajia hili