andishile tuhuma na kutofautiana kupo katika mahusiano.pole sana mkuu! laiti usingechepuka yote haya yasingetokea!ungeendelea kuwa na mama yake hivyo huyo mwanaume asingemuoa mama yake! kuhusu huyo mume kuja juu kwa mtoto kulipiwa ada na wewe ex wa mke wake,alikuwa sahihi kabisa.
hapa sasa ndo mume ajue imekula kwake,
kwa kujilaumu huku haki ndo mtazaa kabisa na huyo x.
Tupo hapa!
r.i.p toto!
but nawaza pia essence ya mtoto kujirusha kisimani.
kuna kitu hakipo sawa,chunguzeni!
hapa sasa ndo mume ajue imekula kwake,
kwa kujilaumu huku haki ndo mtazaa kabisa na huyo x.
Tupo hapa!
r.i.p toto!
but nawaza pia essence ya mtoto kujirusha kisimani.
kuna kitu hakipo sawa,chunguzeni!
pole sana mkuu! laiti usingechepuka yote haya yasingetokea!ungeendelea kuwa na mama yake hivyo huyo mwanaume asingemuoa mama yake! kuhusu huyo mume kuja juu kwa mtoto kulipiwa ada na wewe ex wa mke wake,alikuwa sahihi kabisa.