Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,789
- 2,701
- Thread starter
- #81
Pole Sana.Najuta kupoteza muda wangu kwa kusoma post hii....
Kama ni mwanaume sio vizuri kujuta hasa mbele za watu. Ni dalili ya kukuwa na maamuzi sahihi.
Pole Sana.Najuta kupoteza muda wangu kwa kusoma post hii....
Kwahiyo zile mbwembwe na mashauzi ya kihardcore ulilazimishwa kutuambia????![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu mbona unaniumbua salale!
Yaani na umri wangu kweli niache watoto Hawa wa mji wa Daudi. Kwa kweli siwezi.
Mimi ni Bahili Sana Mkuu. Ndio maana mademu wengi sikai nao. Akijitahidi miezi mitatu tuu. Si unajua Hali ya jiji la Daudi.Kwahiyo zile mbwembwe na mashauzi ya kihardcore ulilazimishwa kutuambia????
Endelea kuwa na Mashaka tuu. Washikaji wa nini wakati hawana Papuchi.Nina mashaka na wewe yaani muda wote huo we upo na mademu tu huna hata mshikaji wako wa kiumeni?
Mala mwanamke huyu kutoka home upo na wanawake eeee
Nina mashaka na tabia zako
Sawa Mr bahiliMimi ni Bahili Sana Mkuu. Ndio maana mademu wengi sikai nao. Akijitahidi miezi mitatu tuu. Si unajua Hali ya jiji la Daudi.
Sawa Mrembo wa JF. Nitakuja PM siku yoyote nikipata nauliSawa Mr bahili
Si unaona sasa aibu uliyoipata kwa kugonganisha papuchi matokeo yake jamii itakuona kama ni kijana malayaEndelea kuwa na Mashaka tuu. Washikaji wa nini wakati hawana Papuchi.
pole sio sifa nzuri haswa wakati huu ambapo ndo umemaliza na unatafuta kibaruaNi kweli Mkuu. Umalaya si Sifa nzuri.Si unaona sasa aibu uliyoipata kwa kugonganisha papuchi matokeo yake jamii itakuona kama ni kijana malaya![]()
![]()
pole sio sifa nzuri haswa wakati huu ambapo ndo umemaliza na unatafuta kibarua
Malizana na muumbuko kwanzaSawa Mrembo wa JF. Nitakuja PM siku yoyote nikipata nauli
Asante kazi njemaNi kweli Mkuu. Umalaya si Sifa nzuri.
Ila sitafuti kibarua Kama udhaniavyo. Nilipanga safu nzuri ya mipango na Mikakati. Kwa Sasa Nina vijana watano nimewaajiri. Na nimepanga self container. Kwa ujumla nimejipanga na mipango imepangika.
Umalaya nitaupunguza Mkuu

Hawa nilishamalizana nao.Malizana na muumbuko kwanza
Ahsante kwa Ushauri Mkuu. Tupo pamojaAsante kazi njema![]()
![]()
![]()
OkHawa nilishamalizana nao.
Ngoja nitafute nauli nije huko huko.
Ahsante sana mkuuPole sana