Nimeumbuka

Nimeumbuka

hadithi haijaisha hii mkuu

rehema wa australia na asnath wa bongo bado wanaendelea kupigana
hapo m'city au?


mawasiliano yenu yapo vip kati
yako na hao mabondia baada ya ugomvi?
Mkuu subiri nitulie nitatoa mkasa mzima. Maana hawa wadada walipa simulizi zima baada ya Mimi kuwakimbia
 
Uandishi mzuri sana..kweli unastahili madem wakali na haswa adi kufikia atua ya kukugombania..ingekua mm cjui ingekuaje mbio zake..
6e4696bc711223491e9843848e57bc0d.jpg


Ungekimbia Kama huyo
 
Back
Top Bottom