Nimeumbuka

Nimeumbuka

Ndio maana tuna wasomi wasiojielewa ,yaani huyu tunamtegemea km taifa,lakini angalia kilichomjaa kichwani ni upuuzi tu,na wengi wa wao ndio wako hivyo
Jidanganye hapo.

Kazi na dawa. Kuna muda wa mambo yenye manufaa na muda wa mambo yasiyo na manufaa.

Ndio maana mada nimeileta Weekend.
Kwani nilishindwa kuileta jumatano siku iliyofuata baada ya Mahafali.

Take easy Mkuu.
 
Kuna pahala unasema mahafaki ni kitu muhimu sana kwa nyinyi wasomi! Uko serious?
 
Mtu kuwa graduate haimaanishi ni kiumbe wa ajabu asiyepaswa kufurahia ama kupatwa na matukio wayapatayo binadamu wengine wa kawaida. Don't take life too seriously, you will NEVER get out of it alive.
Achana nae.

Hawa ndio wale wanadhani mtu akisoma basi sifa zingine za kibinadamu huyeyuka. Ni wajinga watu wa namna hii.

Kama ni Mwanamke basi hudhani akisoma ndio anabadilika na kuwa mwanaume. Matokeo yake ukimuoa anakuambia haki sawa au ndio maana alisoma.

Ni Wale ambao ukoo mzima yeye ndio anakadigrii.
 
unataka kuniambia kwenye sherehe yako ulienda na hao marafiki(ma miss,majirani n.k) lakini sijaona ndugu hapo imekaaje hapo ufafanuzi tafadhali

alafu pale sahihisha

kupakua=download
kupakia=upload
Asante kwa Masahihisho.

Tuje kwenye Tukio.

Sherehe ilikuwa Masaki kwa Baba Mdogo hivyo baadhi ya ndugu zangu walienda moja kwa Moja Masaki. Hawa Masister nilitoka nao kitaa ni Majirani zangu. Hivyo niliwaalika Kama wageni tuu.

Hata hivyo baada ya tukio la fedheha lenye mchanganyiko wa mikosi na nuksi kutokea pale Mlimani. Wao walikuja kwa maelekezo ya simu.

Ahsante sana
 
Mtu mfupi anaegombaniwa na wanawake kutoka australia na chotara
Hongera kwa hadithi
Ahsante Sana Kiongozi kwa kuandika Kama unanijua.

Wadada wa JF wanaonijua watakushangaa wakikusikia ukiniita Mtu Mfupi. Japo sio sifa mbaya lakini Kunisakazia sifa isiyo yangu si jambo jema.
 
Kuna pahala unasema mahafaki ni kitu muhimu sana kwa nyinyi wasomi! Uko serious?
Niko Serious.

Kama unajua maana ya Mahafali utaelewa nilichokisema.

Mahafali ni muhimu Sana. Hasa kwa kiumbe timamu na kwa ngazi za juu za elimu Kama digrii.
 
Back
Top Bottom