Nimeumbuka

Nimeumbuka

Mwengine walipotezana muda tu alipoenda kusoma Australia. Mwengine haieleweki alikua wapi. Walipigana kwa lipi hasa
Zaidi ya ujinga sidhani Kama Kuna sababu nyingine.

Asinath ni mtoto wa Osyterbay. No mpenz wangu pia. Yeye amehitimu Chuo Cha IFM na Mahafali yao yalikuwa Ijumaa.

Sikumtaarifu Asinath kutokana na kuwa alikuwa Mpenzi wangu Mwingine anayeitwa Liz. Liz hakuja Mlimani City alisema anaenda Moja kwa Moja kwenye Ukumbi wa sherehe (sherehe yangu)ambapo ndio tulikuwa tunaelekea.
 
Mi nina wasiwasi na wewe Micky rafiki zako wote ni KE
Hapana.

Wapo waliokuwa kwenye sherehe wakinisubiria Kule Masaki. Waliokuja ni hawa wadada watatu ambao ni Jirani zangu ili niwapeleke kwa Baba Mdogo Masaki ambapo ndipo sherehe ilipo.
 
Mi aibu hiyo sina. Huyo alokua Australia alitegemea kua wewe upo upo tu unasubiri mkutane kwa bahati mbaya? Na huyo mwengine mbona hukumnyooshea maelezo
Mkuu huo muda wa kumnyooshea maelezo sikuwa nao. Labda nilichokosea nikumjumuisha wakati huko niendako alikuwepo Liz ambaye ndiye nilimpa VIP INVITATION.

Embu niambie wewe ungefanyaje? Wapenzi wako wanapigana, alafu wewe umevaa joho na Kofia. Embu eleza ungefanyaje?

Mimi niliona kukimbia ndio Suluhu na kwa kiasi kikubwa ilinisaidia.
 
Hawa ndio graduates wetu, halafu wanalia hawaajiriki! badala ya kufikiria what the future holds for you, upo kwenye porojo that do not match your academic qualifications
Ndio maana tuna wasomi wasiojielewa ,yaani huyu tunamtegemea km taifa,lakini angalia kilichomjaa kichwani ni upuuzi tu,na wengi wa wao ndio wako hivyo
 
Hawa ndio graduates wetu, halafu wanalia hawaajiriki! badala ya kufikiria what the future holds for you, upo kwenye porojo that do not match your academic qualifications
Mtu kuwa graduate haimaanishi ni kiumbe wa ajabu asiyepaswa kufurahia ama kupatwa na matukio wayapatayo binadamu wengine wa kawaida. Don't take life too seriously, you will NEVER get out of it alive.
 
Zaidi ya ujinga sidhani Kama Kuna sababu nyingine.

Asinath ni mtoto wa Osyterbay. No mpenz wangu pia. Yeye amehitimu Chuo Cha IFM na Mahafali yao yalikuwa Ijumaa.

Sikumtaarifu Asinath kutokana na kuwa alikuwa Mpenzi wangu Mwingine anayeitwa Liz. Liz hakuja Mlimani City alisema anaenda Moja kwa Moja kwenye Ukumbi wa sherehe (sherehe yangu)ambapo ndio tulikuwa tunaelekea.
Balaa sana
 
unataka kuniambia kwenye sherehe yako ulienda na hao marafiki(ma miss,majirani n.k) lakini sijaona ndugu hapo imekaaje hapo ufafanuzi tafadhali

alafu pale sahihisha

kupakua=download
kupakia=upload
 
Back
Top Bottom