Ukana Shilungo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 3,041
- 2,422
MNYARWANDA (MTUTSI) amedhihirisha kuwa ni BONGE LA "POPOMA " 🤣🤣🤣🤣Mbona watu mnapenda sana kupotosha ukweli?Hawa wakuu wa wilaya ,nimeshashuhudia mara nyingi wakiapishwa na wakuu wa mikoa.Na ndio utaratibu .Leo ndugu unaibuka na uzi ,wa uongo eti walikuwa wanaapishwa na Rais.Ebu achane kuichafua JF,kuwa haina watu makini.Moderator ondoa uzi huu,ni uongo mtupu hapa.
kama anavyopenda kuwaita watu
Kuanzia Leo inabidi aitwe "KUBWA JING..." 🤣🤣🤣😂😂😃😃😃