Nimeufurahia utaratibu wa kuwaapisha wateule wa Rais; utaleta heshima na kutodharauliana

Mbona watu mnapenda sana kupotosha ukweli?Hawa wakuu wa wilaya ,nimeshashuhudia mara nyingi wakiapishwa na wakuu wa mikoa.Na ndio utaratibu .Leo ndugu unaibuka na uzi ,wa uongo eti walikuwa wanaapishwa na Rais.Ebu achane kuichafua JF,kuwa haina watu makini.Moderator ondoa uzi huu,ni uongo mtupu hapa.
MNYARWANDA (MTUTSI) amedhihirisha kuwa ni BONGE LA "POPOMA " 🤣🤣🤣🤣

kama anavyopenda kuwaita watu

Kuanzia Leo inabidi aitwe "KUBWA JING..." 🤣🤣🤣😂😂😃😃😃
 
Nimejiabisha nilipojiunga JamiiForums mwaka 2013 nilikuambia kuwa nakuja hapa kutafuta Kutokuaibika?

Mbona Wewe unajiaibisha kwa 'Kutinduliwa' hovyo kwa 'Udangaji' wako Uliotukuka na wala hushangai / hujishangai?

Pumbavu.
LEO WEWE MNYARWANDA UMEABIKA SANA!

Kumbe ni BARE HEADED 🤣🤣🤣✋✋

Hivi kulikuwa na ulazima gani kwa wewe kupost huu USHUZI/SHUDU???🤣🤣😃😃

USHUZI huu utanuka Sikh zote hapa jamvini! PUMBAFU!!!🤣🤣🤣✋✋
 
Nimejulishwa kuwa kuanzia sasa ( Awamu ya Mama japo ya Hayati ilijaribu ila ikatoweka ghafla ) ni kwamba ni Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri, Mabalozi, Wakuu wa Idara Nyeti na Wakuu wa Mikoa tu ndiyo watakuwa wanaapishwa na Rais akiwa mbele yao.

Kuanzia Wakuu wa Wilaya, DED na DAS sasa watakuwa wanaapishwa na Wakuu wa Mikoo tu huko ambako wamepangiwa baada ya Kuteuliwa.

Napongeza sana hatua hii ( Maamuzi haya ) kwani kwa Mtazamo wangu GENTAMYCINE nilikuwa naona 'Wateuliwaji' wote hawa ( hasa RC' na DC's ) Kuapishwa na Mheshimiwa Rais ilikuwa ni kutowapa Mipaka yao na hata Kuwafanya DC's wajione wako juu ya RC's wao na wakati mwingine hata 'wakidharauliana' pia.

Sawa DC's wote mmeteuliwa na Mheshimiwa Rais lakini 'Kudadadeki' zenu wote ( nyote ) kuanzia Kesho 'mtaapa' mbele ya RC's sasa ole wenu mkiwa huko mjifanye mpo juu yao au muanze kuwa 'Masnichi' na Kuwapikia 'Majungu' kwa Mama ili 'watumbuliwe' na mpandishwe Vyeo hivyo nyie.

Oya DC mpya wa Siha leo 'Gambe' wapi?
Acha uongo, utaratibu huo wa wakuu wa wilaya kuapishwa na mkuu husika wa mkoa ulikuwa unafanywa hata kipindi cha JPM, hizo ni chuki zako binafsi.
 
Uamuzi mzuri sana, Nawaza Sabaya na Kiburi chake cha "uandakava"feki angeapa kwa mama mghwira kweli? Bora hata JOJO amepelekwa Dar apate mwanaueme aise, maana uzazi kwa wanawake unakoma miaka ikifika 40, sasa ana miaka 35 hana hata mchumba.
kwaiyo mkifika miaka 40yrs uwezekano wa kushika mimba ni asilimia chache kumbe,

wakati umri huo kwa mtoto wa kiume ndio anakuwa mtu mzima baraabara, ujana madhubuti
 
Nimejulishwa kuwa kuanzia sasa ( Awamu ya Mama japo ya Hayati ilijaribu ila ikatoweka ghafla ) ni kwamba ni Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri, Mabalozi, Wakuu wa Idara Nyeti na Wakuu wa Mikoa tu ndiyo watakuwa wanaapishwa na Rais akiwa mbele yao.

Kuanzia Wakuu wa Wilaya, DED na DAS sasa watakuwa wanaapishwa na Wakuu wa Mikoo tu huko ambako wamepangiwa baada ya Kuteuliwa.

Napongeza sana hatua hii ( Maamuzi haya ) kwani kwa Mtazamo wangu GENTAMYCINE nilikuwa naona 'Wateuliwaji' wote hawa ( hasa RC' na DC's ) Kuapishwa na Mheshimiwa Rais ilikuwa ni kutowapa Mipaka yao na hata Kuwafanya DC's wajione wako juu ya RC's wao na wakati mwingine hata 'wakidharauliana' pia.

Sawa DC's wote mmeteuliwa na Mheshimiwa Rais lakini 'Kudadadeki' zenu wote ( nyote ) kuanzia Kesho 'mtaapa' mbele ya RC's sasa ole wenu mkiwa huko mjifanye mpo juu yao au muanze kuwa 'Masnichi' na Kuwapikia 'Majungu' kwa Mama ili 'watumbuliwe' na mpandishwe Vyeo hivyo nyie.

Oya DC mpya wa Siha leo 'Gambe' wapi?
Mkuu unaweza ukafuta tu huu uzi walau siku ya leo na kukiri kwamba umaingia cha kike?

Wakuu wa wa wilaya hawajawahi apishwa na JPM.
 
Kumbe watu wanajifanya wanajua kumbe siyo!! Ikulu ni ya watanzania wote ,yeyote anaweza kwenda,siyo kila mtu unayeitwa Ikulu ameenda kuapishwa na Rais,Ma DC waliapishwa na wakuu wa Mikoa Ila Rais alianza kuapisha wakuu wa mikoa kisha wakuu wa mikoa wakawaapisha hapohapo ma DC
 
Nilishaliona likifanyika kwa Hayati JPM.
Yaani wewe kweli kiazi
Inaonekana umepata akili kipindi cha JPM
Nikukumbushe
Kipindi unaona hilo tukio ilikuwa hivi
Bahada ya Mrisho Gambo na DC wake kumwagwa na Idd Kimantha kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa na Kihongosi kuteuliwa mkuu wa wilaya
Mkuu wa mkoa alipomaliza kula kiapo kwa rais ndio nae akamuapisha DC Kihongosi hapo hapo ikulu
Kihongosi akala kiapo mbele ya mkuu wake wa mkoa hapo hapo
Hilo tukio ndio ukalikalili
 
Yaani wewe kweli kiazi
Inaonekana umepata akili kipindi cha JPM
Nikukumbushe
Kipindi unaona hilo tukio ilikuwa hivi
Bahada ya Mrisho Gambo na DC wake kumwagwa na Idd Kimantha kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa na Kihongosi kuteuliwa mkuu wa wilaya
Mkuu wa mkoa alipomaliza kula kiapo kwa rais ndio nae akamuapisha DC Kihongosi hapo hapo ikulu
Kihongosi akala kiapo mbele ya mkuu wake wa mkoa hapo hapo
Hilo tukio ndio ukalikalili
Dummy.
 
Back
Top Bottom