Kilichokuwa kinakufanya ujichekeshe ni nini?
nilichukia sana nilitaka nimpe maubao nikaona itakuwa kesi bure her nishuke
haaa kumbe!
yule alikuwa maji ya kunde halaf kajipodoapodoa alaf akiongea ananilegezea macho na mkufu shingonndiyo hivyo ila nsikia ubakaji wao utafurahi.. huyo shaga ni mweupe.? kuna mmoja huwaakipita napenda sana mwondoko wake kwa sababu huwa lazima nicheke... siku moja akaniuliza unacheka nini dada nikamwambia mwondoko wako waniua huku nyuma... akanigeuzia jicho akakunja usi akaniambia asante akaondoka.. huo mwendo ilikuwa balaaa alivyoongeza madoido
Kiukweli uzalendo ulinishinda nilijikuta ninemfokea kwa nguvu na kumtusi matusi ya maana sijui hata yalipotoka hayo matusi aibu ilimjaa sana jamaa ikawa habari ndani ya daladala.
aisee mambo ya kijingajinga mi huwa sipendi kabisakawaida tu mbona hao watu, cha ajabu nini sasa hapo? kwani huyo sio binadamu, we ungemjibu kistaraabu sitaki, sasa mpaka utukane? ndio maana wewe uliona aibu ukaanza kushuka, mwenzako akaendelea na safari.
We jamaa juzi kati hapa ulisema humu JF ulikinajisi kitoto cha darasa la pili.
wewewe futa kauli yako,sipendi majengo ya serikali mm