Nimetoa rushwa leo kwa traffic

Nimetoa rushwa leo kwa traffic

benizle kweli unashangilia ujinga wako? hebu fikiria gari haina insurance na umeova spidi kwenye eneo la makazi. wewe ulitakiwa kufungwa tu kosa lako ni kubwa mno.
polisi kama huyo kwanza anatakiwa afutwe kazi na kuozea jela kwa kuhatarisha maisha

Alitakiwa afungiwe miezi 6 kama Radio IMAAN
 
Last edited by a moderator:
Hii kitu hakiezi kuisha.kwanza nimekutwa na kosa la overspeeding in residential area.pili insurance imeisha muda tatu sijafunga mkanda. Ingenitoka kama 90,000 hivi. Yeye mwenyewe akaanza kuniuliza unashilingi ngapi..ah nikatoa 10,000 mfukoni nikaendelea na safari,mambo mswano kabisa

...Nilidhani utataja na jina la askari huyo pamoja na namba zake... lakini unajisifia kulea rushwa.. kwa uzembe wako... yaani gari imeisha bima?.... over speeding? Hujafunga mkanda? inaonekana kweli tabia za wabongo walio wengi za kukosa ustaarabu... na kujisifia ujinga... pole sana ..... siku nyingine njoo na issue ya kueleweka...........
 
Hii kitu hakiezi kuisha.kwanza nimekutwa na kosa la overspeeding in residential area.pili insurance imeisha muda tatu sijafunga mkanda. Ingenitoka kama 90,000 hivi. Yeye mwenyewe akaanza kuniuliza unashilingi ngapi..ah nikatoa 10,000 mfukoni nikaendelea na safari,mambo mswano kabisa

unataka kusema asingekuuliza una sh. ngapi ungelipa hiyo 90,000/= au unatafuta sababu tu....!!!nyie ndo walewale wa kuwasha taa FULL jioni hata giza halijaingia vizuri tena mjini...
 
Ndio maana nilianzw na kusema rushwa haiezi kuisha..maana jamaa alinitajia makosa yangu na gharama ya makosa,then akauliza Nina shilingi ngapi. Ningekua mjinga yeye mwenyewe angenishangaa kama nimgemuomba aniandikie fine.
 
Ndio maana nilianzw na kusema rushwa haiezi kuisha..maana jamaa alinitajia makosa yangu na gharama ya makosa,then akauliza Nina shilingi ngapi. Ningekua mjinga yeye mwenyewe angenishangaa kama nimgemuomba aniandikie fine.
Ingekuwa rushwa inachukiwa kweli
kama watu walivyo onesha hapo juu
Tanzania ingekuwa mbali sana.

Binafsi siwezi kuku hakikishia kama nisinge fanya ulichofanya,askari kanikamata,fine 90,000 ila napewa option ya kutoa 10,000 tena na askari mwenyewe unadhani nitachagua lipi!

Ila usirudie tena hayo makosa uliyokamatwa nayo,yanaweza yaka
wadhuru wengine au yaka kudhuru mwenyewe.
 
Kuna Dereva mmoja staafu wa magari makubwa ya mizigo...alinieleza kuwa Rushwa ifungiwe huko mahospitalini, mashuleni, vyuoni, mahakamani nakadhalika lakini kamwe Rushwa isizuiwe barabarani; sababu yake alisema rushwa barabarani inapunguza usumbufu kwa kutozwa faini kubwa na kupotezewa muda wakati wa safari.
 
Wewe unafaa kuwa shooted ila bahati yako afadhal ungetoa 90 ungelipa kodi.Ucwe m2mwa wa fikra
 
...WEWE uliyetoa Rushwa na YEYE aliyeomba Rushwa, WaZanaki wanasema, WOOOte....!? :nono:
 
Hahaaaaa poa sana aisee ndio nchi yetu ilivyo bora unetoa tuu mambo yakaenda mswano maana ungekua ngangari ungekesha
 
Hii kitu hakiezi kuisha.kwanza nimekutwa na kosa la overspeeding in residential area.pili insurance imeisha muda tatu sijafunga mkanda. Ingenitoka kama 90,000 hivi. Yeye mwenyewe akaanza kuniuliza unashilingi ngapi..ah nikatoa 10,000 mfukoni nikaendelea na safari,mambo mswano kabisa

Watu kama nyie mnaojisifia kutoa/kupokea rushwa mnafaa kupigwa risasi hadharani ili iwe fundisho kwa jamii ya kitanzania. Tena risasi za kukuangamiza unatakiwa kununua mwenyewe. Tumechoka sasa na hii tabia ya kutoa rushwa.

 
Hii kitu hakiezi kuisha.kwanza nimekutwa na kosa la overspeeding in residential area.pili insurance imeisha muda tatu sijafunga mkanda. Ingenitoka kama 90,000 hivi. Yeye mwenyewe akaanza kuniuliza unashilingi ngapi..ah nikatoa 10,000 mfukoni nikaendelea na safari,mambo mswano kabisa

Elfu10 ya nini? Trafic mimi huwa nawapa elfu moja tu na wanapokea maana ndiyo level yao, unajua nawadharau sana hawa watu kwasababu wanai-dilute sana kazi yao.
 
Naona wachangiaji wengi wamekulaumu na wengine kukutukana na hii ndio hulka ya Mswahili.
Umeeleza ukweli wa mambo uliyofanya leo mojawapo likiwa ni kumpa rushwa askari polisi wa barabarani.Hukuishia hapo na ukatoa tofauti ya faini na rushwa uliyotoa.
Mimi naomba tuliangalie jambo hili from another angle,faini zinapunguza ajali wakati system ni corrupt?Kwa mtizamo wangu ni afadhali faini ziwe kidogo ili ziwazuie watu kutoa rushwa lakini unapokuwa na faini kubwa halafu kuanzia RPC mpaka constable wote wananuka rushwa husaidii kuongeza kipato,kupunguza ajali wala kuwasaidia wananchi ila unaharakisha kufa kwa askari wetu kwani wanakuwa na pesa nyingi wasizozitokea jasho na kama tujuavyo "pesa huongeza urijali"

faini ikiwa ndogo na wala rushwa watafanya discount kwa wateja wao wa haramu kwa hiyo haiwezi kusaidia kitu.
 
Ndio maana nilianzw na kusema rushwa haiezi kuisha..maana jamaa alinitajia makosa yangu na gharama ya makosa,then akauliza Nina shilingi ngapi. Ningekua mjinga yeye mwenyewe angenishangaa kama nimgemuomba aniandikie fine.

Mwache ashangae, haki ni kulipa fine ya makosa yako sio kulipa rushwa.
 
Kuna Dereva mmoja staafu wa magari makubwa ya mizigo...alinieleza kuwa Rushwa ifungiwe huko mahospitalini, mashuleni, vyuoni, mahakamani nakadhalika lakini kamwe Rushwa isizuiwe barabarani; sababu yake alisema rushwa barabarani inapunguza usumbufu kwa kutozwa faini kubwa na kupotezewa muda wakati wa safari.

Sio sawa.
 
Hii kitu hakiezi kuisha.kwanza nimekutwa na kosa la overspeeding in residential area.pili insurance imeisha muda tatu sijafunga mkanda. Ingenitoka kama 90,000 hivi. Yeye mwenyewe akaanza kuniuliza unashilingi ngapi..ah nikatoa 10,000 mfukoni nikaendelea na safari,mambo mswano kabisa
aliyetoa na aliyepokea wote mali-ganyaja.

tunaweza kukomesha haya tuki-install CCTV cameras kwenye makutano yote ya barabara nchini ambapo askari hawa husimama. (sitaki kusikia suala la fedha, mnazo nyingi tu hadi baadhi ya watu wanapata mianya ya kuziiba)
 
Ila jamani na baadhi ya sheria zetu nazo za kijinga sana! yaani kila kosa 30,000/= bila kujali uzito wa kosa lenyewe. Siku moja nilishikwa naendesha wakati kioo cha mbele kina ki-jimchilizi, eti faini 30,000/-!! Hata ktk nchi zilizoendelea sio hivi!!! nimeona kwa macho yangu. Hizi sheria pia zinachangia watu kufikiria kutoa rushwa, na hii ni furaha kwa akari wa usalama barabarani.
 
Hee ya leo kali unajisifia ujinga kweli hata ukidoo na mkeo inaonekana unasema
 
Wote walio tukana juu ya mada hii hawajui/kuelewa kwanini mtu anafikia hatua ya kutoa kitu kidogo ila endeleeni na mitizamo yenu.
 
Hii kitu hakiezi kuisha.kwanza nimekutwa na kosa la overspeeding in residential area.pili insurance imeisha muda tatu sijafunga mkanda. Ingenitoka kama 90,000 hivi. Yeye mwenyewe akaanza kuniuliza unashilingi ngapi..ah nikatoa 10,000 mfukoni nikaendelea na safari,mambo mswano kabisa
[h=1]Anti-Corruption Views - Tanzania’s new driving licence system – old wine in new bottles[/h]By Kizito Makoye | Wed., November 28, 11:21 AM | Comments ( 2 )
Source: Content Partner
photowide
Tanzanian officials examine a minibus after a crash in which 11 people were killed near Arusha in Tanzania.
By Kizito Makoye
Tanzanian authorities have introduced a new machine-readable driving licence to crack down on the rash of unqualified drivers using fake licences, a combination thought to be partly to blame for the country’s many road accidents and reckless driving.
According to the Tanzania Revenue Authority (TRA), the old driving licence was prone to manipulation because it did not specify whether the owner was qualified to drive different types of passenger vehicle. Under the new system, drivers have to undergo training at recognized institutions, irrespective of their prior driving experience, before obtaining a licence for their vehicle.
But my experience in getting a new licence showed that the new system has failed to stamp out cheating and that corruption persists -- at a cut-rate price.
Driving licences are grouped in 14 different classes, depending upon the capacity of the vehicle and whether it carries passengers. Although the road Traffic Act No 30 of 1973, as amended under (CAP 168 RE 2002), makes it illegal for anyone to forge or tamper with driving licences or to drive on an expired licence, the new system is still open to corruption that enables unqualified people to obtain the document.
I went through the procedure last year. As a journalist I was keen to see how it worked and whether it sealed off the opportunities for corruption. I suspected there might be a problem when I arrived at the TRA office because I had never attended a driving school. But I wanted to see how rigorously the officials vetted applicants.
The TRA officer in charge first asked me whether I had been through any training. My response was an emphatic “No.” The officer then handed me several forms that I filled out so that I could apply for a provisional or LEARNER licence. My fingerprints were recorded using an electronic system resembling the one I saw at the U.S. embassy in Dar es Salaam when I was applying for a visa five years ago.
Then I was given a payment slip so that I could pay at a nearby bank, and my LEARNER licence was issued the following day. As I was leaving the building, licence in hand, I met a man who introduced himself as Kabaju. He was eager to help me and asked if there had been any problems. I told him I had to go for training at a recognized driving school and that the full driving licence would be issued upon successful completion of my course.
Kabaju produced what appeared to be a Class C1 driving licence that he said he had secured without undergoing any training. That shocked me. It is very demoralizing for someone who is keen to stick to the law to find other people breaking it.
Kabaju insisted that the training procedure was so cumbersome, it would likely complicate matters and wasn’t my best bet. I wanted to follow the due procedures, but then another thought came: Maybe I should try his way, just to observe the dirty tricks.
Kabaju introduced me to a police officer known by his nickname Bonge, possibly because of his huge physique. Without mincing his words, he told me in Swahili, “Lete mzigo,” which means: Pay me my dues. Kabaju had told me earlier that this man would need Tanzania shillings 20,000 ($12) to declare that I had passed my driving test. Bonge indicated that I got excellent marks even though I had had none of the required training, nor had I been tested for competence. What he demanded was illegal, but I decided to pay him because I wanted to write the story exposing the corruption.
After pocketing his Tsh.20,000, Bonge filled in several forms, putting details in a huge ledger and adding signatures. He told me to go next door so that a senior official could approve my case. I realized that though their actions were illegal, there was a great deal of cooperation among the police officers. It is possible that they share out the bribes equally.
A genuine new driving licence costs about Tsh.50,000 ($30) which include Tsh.10,000 ($6) already paid for the LEARNER licence. But for only Tsh.20,000 ($12), one can quickly secure a licence under false pretences.
I went next door and met a sharp-eyed woman who asked me a number of questions about driving. It was quite clear that I was not qualified. She asked me if I had brought the vehicle with me for testing. I said, “No.” She told me to come the next day, and as I was making my way out she pulled my shirt and whispered to me in Kiswahili, “Sijanywa chai’ – I have not had my breakfast yet.
I was not prepared to give any more bribes. I knew she would get her cut of the bribe money, and I told her that I would not give a cent. She simply told me to come the next day.
The following day, my document was ready and waiting. I sent it along with the bank receipt to the TRA office. This is how many Tanzanians can obtain their new official driving licence without going through the correct procedures.
So what has changed? Surely this new system is like old wine in a new bottle?
Kizito Makoye is a Tanzanian journalist based in Dar es Salaam
 
Sio sawa.

Wala hujakosea...! Nilijaribu kumueleza madhara ya maoni yake hayo...lakini hakunielewa ...kumbuka ni dereva mstaafu ambaye aliamua kustaafu baada ya kumkatalia tajiri wake aliyemwagiza kasome tena chuo cha usafarishaji (NIT).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom