Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,372
- 176,209
Hapana.Mwee kwamba mimi ndiyo nina majibu ya hovyo
Hapana.Mwee kwamba mimi ndiyo nina majibu ya hovyo
Huamini amaaHapana nimegoma
Ukabakia kuwa singo, haki mungu anawaona.






Kwa kweli, maana siyo kwa mambo anayoyafanya aisee.Mbali hivyo, nilijua kana 17 au 18.
dada wewe naye akili zako saa nyingine huwa zinakuhama






Mkwe una hakika ukitoka nje huwa unavaa barakoa?





kwamba yawezekana kashaukwaa au ??Sio yawezekana, ili awakinge wengine.kwamba yawezekana kashaukwaa au ??
Ilifaa tuwe wote porini lakini
Kwamba wewe wa 89 ?? Mungu wangu !!
Rita si ndo alikula hela za bss
Kwa kweli, maana siyo kwa mambo anayoyafanya aisee.
Yule dogo wa singeli alokufa akafufuka anaitwa nani eti jamani

mzee wa kwioJuzi tuuKwamba wewe wa 89 ?? Mungu wangu !!