pmwasyoke
JF-Expert Member
- May 27, 2010
- 4,594
- 2,981
Mimi mwenzenu nimefungia hapa nikidhani jamaa anajisifia kwamba ametimiza mademu mia moja aliokwishawalamba......!!!!
Jamani!
Mimi mwenzenu nimefungia hapa nikidhani jamaa anajisifia kwamba ametimiza mademu mia moja aliokwishawalamba......!!!!
kwa kweli.....mi sijaona sababu ya kutaja dini hapo....unless una lako jambo
Mimi mwenzenu nimefungia hapa nikidhani jamaa anajisifia kwamba ametimiza mademu mia moja aliokwishawalamba......!!!!
Mimi ni mkristo, imeandikwa ni heri kutoa kuliko kupokea, leo nimetimiza thanks ya 100, nimeamua kumpa mtu ambae kwangu naona ametoa point nzuri sana (kwa kipimo changu), naye ni Mwanajamiione kwenye thread ya tatizo la LD. Salamu pia kwa Nyamayao ambaye naye kwangu mimi ni kati ya wake bora( na wengine wapo), sijawahi ona akijibu kwa hasira hapa JF, ila amepotea sana siku hizi.
mwanzoni sikuelewa heading yako ingawaje umetufumba kdogo
sasa huko kutimiza 100 maana yake nini?
Hata hivyo mwendo wako ni wa kusuasua mno;
Ongeza spidi kidogo.
Hongera ila kuna watu wana elfu 9 tayari